Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
nyie vijogoo vyakike nawapa offer mfungeni Manchester goal 3 nahamia rasimi kuwashabikia
Sisi Majogoo tunao Mitetea Mengi tu hata Hatutaki Mtetea Mpya kama wewe kutushabikia
nyie vijogoo vyakike nawapa offer mfungeni Manchester goal 3 nahamia rasimi kuwashabikia
Huwa nakwambia kila siku rafiki yangu siku ukiacha bangiSio uchawi tunaangalia mwendeno wa hii timu...
Kila la kheri Chelsea![]()
Huwa nakwambia kila siku rafiki yangu siku ukiacha bangi
You will be a president
Mkuu Ollachuga Oc sio wewe tu... Its us against the rest.. Hivyo wewe endeleeni tu kutuombea tushuke lakini lol tupo pale pale kileleni...Aaah wap mwisho utabiri wangu utatimia tu ..mpaka December mutakuwa chini yetu au chini ya man city ..sisi tunawajua bwana..
Kila la kheri Chelsea![]()
Huwa nakwambia kila siku rafiki yangu siku ukiacha bangi
You will be a president






hahahaha kijiti mkuu muhimu...This is real dope...
Izo assist mbona akina Ashley Cole walipiga sana..
Kwa kikosi chenu hamna maisha marefu mkuu...kikosi finyu sana na wachezaji ndo hao hao wanakipiga mwanzo mwisho..Mkuu Ollachuga Oc sio wewe tu... Its us against the rest.. Hivyo wewe endeleeni tu kutuombea tushuke lakini lol tupo pale pale kileleni...
Mtulie hivyo hivyo sindano izame.. Ni wakati wetu majogoo kutesa...
![]()



hahahaha kijiti mkuu muhimu...
Hebu nipeni sababu kwa nini huyu dogo tusimchezeshe winga sasa?!
Nmeuliza swali mkuu hapo juu kuhusu trent kwa nn aschezeshwe... Kama winga sasaThis is real dope...
At such age entering the Guinness book of records...
Well if this accolades don't get into his development then our future Captain will make loads of history...
Nyie wenye kikosi kipana tumewapiga fainaliKwa kikosi chenu hamna maisha marefu mkuu...kikosi finyu sana na wachezaji ndo hao hao wanakipiga mwanzo mwisho..
Kila la kheri Chelsea![]()
Mario gotze?Popote utapoenda hutokuta attacking midfielder kwa mpira wa klop, ndo maana ata coutinho alibadilishwa kuwa winger wakat alikuwa attacking midfielder
4-3-3 wanatumia CDM 1 na CM2 au vice versa
Au CDM na RM pamoja na LM
Attacking midfielder ni common kwa 4-4-2 au ata 5-3-1
Attacking midfielder atawekwa kwa kuforsiwa tu
Izo assist mbona akina Ashley Cole walipiga sana..
Mkuu huyo ni malfyale with a different id dont blame him since he try to prove us that LIVERPOOL HALISI has got many members lol
Mario gotze?
Napenda anajituma kwa kukaba.. ana long pass nadhan ni wa 4 ama 3 kwenye kikos, ni kiongozi anapokuwa uwanjani.Anapiga kazi kama ipi kwa Mfano?
Naomba jibu tusikimbiane





Duh hapo umesema ukweli kabisa kaka...Kwa kikosi chenu hamna maisha marefu mkuu...kikosi finyu sana na wachezaji ndo hao hao wanakipiga mwanzo mwisho..
Kila la kheri Chelsea![]()