Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna sehemu nilisoma

Jamaa anasema VVD anabebwa na mfumo/shape wa timu defensively

Hata Phil Jones akiwekwa kwenye set up ya Liverpool atang'ara
Mfalme VVD kwamba toka liverpool ianze huyo ndo bek bora kuwahi kuichezea hii timu? Yaani unashupaza kabisa et hawez kuongea mataputapu wakat juz katoa assist like phil jones tofaut ni kuwa anachezea timu iliyoshinda kikombe
 
Best comment of all time

Leo umemkana kaka yako Peni

Hivi Liverpool wana clean sheet ngapi msimu huu
Lakin mkuu VVD sioni kama ana tofauti sana na Zouma, Sema labda experience tu na ilikuwa ni wakati wake wa kushine ..mim naona radika yupo sawa tu ..magwaya is better so far than VVD ..

VVD wa msim uliopita ni tofauti sana na msimu huu..kiwango chako kinazidi kushuka taratibu..

Uwepo wa Allison unaficha makosa mengi ya VVD

Najua mutabisha lakini VVD time will tell..

Kila la kheri Chelsea
 
Kuna sehemu nilisoma

Jamaa anasema VVD anabebwa na mfumo/shape wa timu defensively

Hata Phil Jones akiwekwa kwenye set up ya Liverpool atang'ara
Uyu VVD alivyokuwa Soton ..mbona walikuwa wanachezea nyingi tu ...me nadhani uko sawa mkuu mfumo unam'beba sana jamaa...

Ukicheki pale nyuma kuna Lovren tena ..dah kwa nin VVd apate tabu
 
Hii game ya Liverpool vs Barca imewamislead wengi

Mtu unamuekea Game zaidi ya 10 kubwa tulizoharibu kwa Mido yenye Combi ya MILNER - HENDO

1) vs Madrid (Fainali UCL)
2) vs Roma (Semi Final UCL)
3) vs Napoli Away (UCL 2018/19)
4) vs Napoli Away (UCL 2019/20)
5) vs Red Star Away (UCL 2018/19)
6) vs PSG Away (UCL/2018/19)
7) vs Man City (EPL 2018/19)
8) vs Manure (EPL 2018/19)
9) vs Barca (UCL 2018/19)
Na mifano mengine mengi tu...

Lakini still Mechi yake moja vs Barca tuliyomfunga 4 kwa Mido hiyo ndiyo imekiwa best example ever kuwa hawa ndiyo Best Mido 1/9 ni hesabu ndogo sana lakini kuna watu wanaifanya hawaielewi.

Haya bhana hii mechi vs Barca tuliyompiga 4 wacha tuifanye ndiyo ya kujifariji milele na milele

Kama mpaka kwa mifano niliyokupa bado hujaelewa udhaifu wa hawa watu! Basi Nainua mikono joo sinauwezo tena wa kudebate na wewe! Itabidi uendeleee tu kujifariji kuwa tulimpoga 4 Barca tukiwa na MILNER-HENDO.
Ishu unataka acheze nani wakati ndo tuliokuwa nao hao ...sababu Napoli kutupiga..!!? mbona ligi tuko nao hao hao na game nyingi wameanza na ligi game nyingi kuliko hiyo Ucl hujaongelea hapo hata hizo takwimu ulizotoa tayari ni history...
 
Mkuu angalau wewe nakupa heshima hapa ktk jukwaa hili unajadili mpira ila sio kumshambulia mtu unakuja na starts ambazo za kimpira heshima kwako huu sasa ndo ushabiki sio wenzio wanaongozwa na hasira wanasahau mpira huambatana na utani bila utani na dhihaka hamna mpira jamaa zako kama wawili humu wametoa povu sema hamna viti wengeshang’oa
pamoja ndugu yangu...ni kweli mpira bila utani haunogi bana...

kitaa hua naona vijana wanavyotaniana mpaka huruma endapo timu fulani imefungwo, kama huna ubavu aisee mpira sio mchezo wa kushabikia maana unaweza taniwa mpaka machozi na jamaa bado wapo na wewe hawakomi na siku nao wakifungwo inakua zamu yako kuwapeleka puta...that the beuaty of football, they is always a second chance

Football brings us together, we live cry,laugh and cherish the happy moments...
 
Clean sheet watolee wapi mkuu wakati VVD yupo

Tatizo ni VVD ..Siku asipocheza watapata tu..
Ollachuga Oc mtulie sidano iingie haha...huyu VVD anawatesa sana wapinzani....hakika sis mashibiki wa Majogoo ni zamu yetu...

wewe hangaika na Zuma huyu tuachieni sisi...

Jumapili naja mazima kuchukua pointi hapo hapo Darajani...🤗🤗🤗
 
Ollachuga Oc mtulie sidano iingie haha...huyu VVD anawatesa sana wapinzani....hakika sis mashibiki wa Majogoo ni zamu yetu...

wewe hangaika na Zuma huyu tuachieni sisi...

Jumapili naja mazima kuchukua pointi hapo hapo Darajani...
Hii picha bado sijaielewa mpaka leo kila nikitazama nacheka sana bado sijaelewaaa
Screenshot_20190823-222351_1.jpeg
 
Ishu unataka acheze nani wakati ndo tuliokuwa nao hao ...sababu Napoli kutupiga..!!? mbona ligi tuko nao hao hao na game nyingi wameanza na ligi game nyingi kuliko hiyo Ucl hujaongelea hapo hata hizo takwimu ulizotoa tayari ni history...

Mimi ninapodebate kitu huwa naweka stats au Mifano ili Mtu akiamua kutrace back aweze Kuconfirm usahihi wa nilichokiongelea.
Na ndiyomana nikakuekea aina ya game hapo na Misimu ya game hizo.

Lakini ukiniambia Kuna "Game Nyingi" tu hapo nitashindwa kukucomment chochote coz sijui hizo Game nyingi nitazijuaje kuweza kuziconfirm!

Weka examples hapa hizo game nyingi ni zipi na Misimu yake ni ipi ili niweze kucomments.

Kama zipo kweli basi utaweza kuzitaja hapa hizo game! Lakini kama hazipo hizo game walizoshinda, Basi tutosheke na kuwa Zipo nyingi tu kama ulivyosema.
 
Ollachuga Oc mtulie sidano iingie haha...huyu VVD anawatesa sana wapinzani....hakika sis mashibiki wa Majogoo ni zamu yetu...

wewe hangaika na Zuma huyu tuachieni sisi...

Jumapili naja mazima kuchukua pointi hapo hapo Darajani...🤗🤗🤗

Dah! Yani ukitaja Jumapili mimi nakosa Amani. You know why?
Ukweli ni kwamba tukipoteza tu hiyo game PEP ataregain confidence na atakuja tena kwa Nguvu zote.
 
Kuna watu wana nyota tu ya kupendwa, kama VVD

Wewe si unaona Pogba akizingua, kuna watu wanataka watuaminishe kwamba shida ni kwamba hajazungukwa na World Class Palyers, wakati makosa ni yake binafsi

Najaribu kufikiria, ile assist ya £75m angeitoa huyo Lovren au Matip angeshambuliwa kiasi gani
Mbona Lovren alichezeshwa na VVD lakini alifeli, kwanini na Jones asifeli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom