Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tumepoteza ugenini na Naples
Hakuna haja ya kuanza kutukana kocha na wachezaji
Liverpool HALISI waachieni hiyo kazi ya matusi hao Liverpool-Pep wenye hasira na Norwich!
We stand pamoja,Liverpool hii game haina madhara yyt kwenda playoffs.
Hahahah kuna Liverpool pep tena ?

Mkuu hiyo mech INA umuhimu mkubwa sana , unakumbuka last season ilibid usubir mech ya mwisho
 
Tumepoteza ugenini na Naples
Hakuna haja ya kuanza kutukana kocha na wachezaji
Liverpool HALISI waachieni hiyo kazi ya matusi hao Liverpool-Pep wenye hasira na Norwich!
We stand pamoja,Liverpool hii game haina madhara yyt kwenda playoffs.
Mimi nilishaonya hapa Naples sio watu wazuri
 
Hawa jamaaa Hawa! Ninawaogopa.
ni wepesi,wanajua wapi wasimame kuzuia mashambulizi, hawapoteani uwanjani ovyo, wakishambulia wanaacheza kama 3 nyuma na 4 kati....

kwa staili ile ya uchezaji wao ni mwendo wa kuwapiga kaunta kwa vile hatuna mchezaji wa kuwachana na kutupia pasi ya mwisho...

wanastahili pongezi....
 
No other options Mi naikubali bidii yao kwenye kutafuta mipira japo Napoli wanatujulia pale kati nakumbuka hata huyo fabinho game ya msimu uliopita na Hawa Hawa Napoli away alichemka vibaya sana lakini leo tunaonekana tumo nafasi zimetengenezwa tumeona na bidii ipo na kila mtu akitimiza kazi yake ipasavyo tunashinda ...
bidii ziko wapi?
 
Mr Klopp hana plan B kwa timu za aina ya Napoli
Ni mtazamo wangu Mimi tu.
hana wachezaji wa Plan B wala C...kwa matokeo kama haya ndio utaona Keita akiwaishwa kurudi uwanjani...

kwa timu staili kama hawa Naples unahitaji mchezaji aina ya Fekir ama Countino....sasa unategemea hao Mido wetu ndio watupie pasi.chokozi...

hata hivyo nafasi tumepata hatakua makini kwenye umaliziaji...
 
Tumepoteza ugenini na Naples
Hakuna haja ya kuanza kutukana kocha na wachezaji
Liverpool HALISI waachieni hiyo kazi ya matusi hao Liverpool-Pep wenye hasira na Norwich!
We stand pamoja,Liverpool hii game haina madhara yyt kwenda playoffs.
Tatizo wewe jamaa unapenda sana mipasho mipasho,unapenda vimaneno vya umalaya umalaya,Acha mambo ya ovyo usijifanye una Hati miliki ya kuishabikia Liverpool.
 
Nilijua tu hii game itatupa challenge kubwa sana....


Yaan mpaka tumemsahau Adrian bana dah so sad...hasa hasa goli la 2..jepesi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom