Asante sana mkuuAdrian nakuandalia Dada yangu
Sana Hendo na milner msaada upohahaha mkuu una roho ngumu...salute you comrade in what you believe and see in Hendo...
good thing is we all want what the best for this great TEAM...
Mi nilijisemea usikute jamaa ndo anakula maisha na kumchallenge vilivyo Ali maana amekuja na upepo mkaliHili ni Funzo vijana tusikate tamaa!
Yani Adrian kapata Zari uzeeni kusimama golini CL !!!!!!!?
Sana Hendo na milner msaada upo
Inajitahidi kwa kweli nadhan unawaona wapinzani wetu walivyo sharpTonatofautiana katika kuangalia Mpira lakini kuna anayeweza kuniambia Midfield yetu inacheza kitu gani?
sure mwana Kop...Sana Hendo na milner msaada upo
Ndio wanacover nafasi jamani watu Napoli wangetumaliza ...hebu niambia atoke Milner Hendo aingie Nani wa kuicheza hii game Yani aimalize salamaNisaidie Mkuu ni msaada gani wanaotupatia?
Au ndiyo Yale wazuri wakiwa hawana Mpira?
Samatta wameshapigwa 5 wakati ndiyokwanza HT
Nafasi zimetengenezwa nadhan umeona umakini mbele kidogo umepoteaNapoli wanaonekana kwenye Midfield tu ambapo wametawala kwa 100%
Lakini tukiwadhibiti kwenye Mido basi tunamaliza kazi
Hee
Kuweka mwanangu ni dhambi kwani ?
Ndio wanacover nafasi jamani watu Napoli wangetumaliza ...hebu niambia atoke Milner Hendo aingie Nani wa kuicheza hii game Yani aimalize salama
Nafasi zimetengenezwa nadhan umeona umakini mbele kidogo umepotea
No other options Mi naikubali bidii yao kwenye kutafuta mipira japo Napoli wanatujulia pale kati nakumbuka hata huyo fabinho game ya msimu uliopita na Hawa Hawa Napoli away alichemka vibaya sana lakini leo tunaonekana tumo nafasi zimetengenezwa tumeona na bidii ipo na kila mtu akitimiza kazi yake ipasavyo tunashinda ...hahaha mkuu una roho ngumu...salute you comrade in what you believe and see in Hendo...
good thing is we all want what the best for this great TEAM...