Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,852
Dah vitakuja humu kuongea
Shit ....
Shit ....
Uzuri Chelsea na yy kalambwaDah vitakuja humu kuongea
Shit ....
Jamaa wanawasumbuaga sana ,sijui kwannNAPOLI Hatuwawezi huo ndio ukweli Pre season wametupiga na Leo kwenye UCL wametupiga tena.
Uzuri Chelsea na yy kalambwa

Carlo AncelotiJamaa wanawasumbuaga sana ,sijui kwann
Mkuu ilipotoka draw tu nikawaona Napoli nilihesabu palepale tumeshapoteza mechi ya kwanza Away,Manager wao ,Players walionao,na Style ya uchezaji wao ni kama ya kwetu hatutofautiani kabisa.Jamaa wanawasumbuaga sana ,sijui kwann
Jamaa wanawasumbuaga sana ,sijui kwann
Yaah nashukuru Mungu aiseeUzuri Chelsea na yy kalambwa
Bakelele alichotufanyia Chelsea kwa penati aliyopiga haitofautiani kabisa na ujinga wa PogbaMkuu ilipotoka draw tu nikawaona Napoli nilihesabu palepale tumeshapoteza mechi ya kwanza Away,Manager wao ,Players walionao,na Style ya uchezaji wao ni kama ya kwetu hatutofautiani kabisa.

Hilo kundi lina vichaa watupu, kasoro Genk mgawa point, ndio atawaachia msala wenzake , atakayeteleza kati ya Liverpool ,Napoli au RB tunampokea Europa ,Hivi hawa NAPOLI wana mpango kweli wa kuwaoa ndugu zetu, au wanataka kuwachezea tu?![]()
Hichi kitu nimenote , wanatumia nao nguvu , toka msimu uliopita wanawasumbuaMkuu ilipotoka draw tu nikawaona Napoli nilihesabu palepale tumeshapoteza mechi ya kwanza Away,Manager wao ,Players walionao,na Style ya uchezaji wao ni kama ya kwetu hatutofautiani kabisa.
Wewe siumepigwa Leo 1-0?tena home?Haya rudi tena kuleta kiherehere chako kwenye uzi wa kiumeni kule darajani ili nikusikie ulivyo zumbukuku matata![]()
hahaha they are hungry and very hungry...leo wamekutana na like for like defenders...Nilipokuwa namtetea Salah nilijuwa Makosa mchezoni kila Mtu anafanya
Nadhani mumekiona alichokifanya Mane
Hilo kundi lina vichaa watupu, kasoro Genk mgawa point, ndio atawaachia msala wenzake , atakayeteleza kati ya Liverpool ,Napoli au RB tunampokea Europa ,
Hili kundi halina tofauti na kund lao mwakajana , game ya mwisho save ya Allison ndio inawapeleka round of 16