Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Juu ya kuwa Salah kaonesha ubinafsi!! Lakini kwa Mantiki hiyo hata VVD akipata mbadala (Aliyemzidi) anaweza kuekwa benchi.

The same kwa Messi, Ronaldo na Neymar wakipatikana Wabadala wanaowazidi watawaweka benchi.

Tuache chuki za kiajabuajabu hakuna Kocha anayeweza kumueka benchi Salah kwa timu yoyote ile duniani kwa sasa.

Hata Salah afanye ubinafsi lakini anayoyafanya uwanjani ni makubwa kuliko hayo unayoyaona ni Makosa.

Kama Salah si mchezaji bora kwa sasa ndani ya Liverpool hebu hao Liverpool wamueke Sokoni kwa £ hata 120m uone kama yatapita Massa 24 hajachukuliwa.

Salah hata akienda Mans City kwa Guardiola atacheza kila mechi labda aumie au aumwe
#King. Football is a game of team work. Mfano:
Mechi ya Arsenal last week @Salah,asingepewa zile through pass hata ile penati asingepata.
Wenzake wanampa clear passes za kufunga. Huwa hawaangalii Nani atafunga.
What if akina Bobby Manne,Original,Fabinho wakimchunia kumpa pass?
 
Last season Mo Salah angetumia vizuri nafasi alizokuwa anakosa asingemaliza ligi kuwa mfungaji bora kwa kushirikiana na kina Auba na Mane.

Kama ndio hivyo hizo alizokosa zingekuwa assist kwa waliompa pasi za goli.

Ukiacha hilo pia Mane na Firmino wanafanya more defensive works than Salah, mfano goli la firmino jana yy firmino alipiga pasi masafa akiwa chini kabisa afu akikimbilia mbele anamkuta Salah anahaha mpira ukiwa unaelekea kumpotea unaenda angle nzuri kwa Firmino tunapata goli la 3 na game tukaimaliza hapo.

Kumtukana SALAH sio poa lkn kuwa anazingua hilo halina ubishi na sio game moja ni nyingi tu anajipigia tu mishuti.
Only Stats Ndiyo Zinazoongea hapa! The so called selfish anaongoza kwa mbali sana kuwaassists hao wasio selfish last season

See the difference

View attachment 1194861
 
Last season Mo Salah angetumia vizuri nafasi alizokuwa anakosa asingemaliza ligi kuwa mfungaji bora kwa kushirikiana na kina Auba na Mane.

Kama ndio hivyo hizo alizokosa zingekuwa assist kwa waliompa pasi za goli.

Ukiacha hilo pia Mane na Firmino wanafanya more defensive works than Salah, mfano goli la firmino jana yy firmino alipiga pasi masafa akiwa chini kabisa afu akikimbilia mbele anamkuta Salah anahaha mpira ukiwa unaelekea kumpotea unaenda angle nzuri kwa Firmino tunapata goli la 3 na game tukaimaliza hapo.

Kumtukana SALAH sio poa lkn kuwa anazingua hilo halina ubishi na sio game moja ni nyingi tu anajipigia tu mishuti.
Mechi ya city Ngao bila mauchoyo yake tusingefika penati. Sawa anafunga magoli mengi but Uchoyo kazidi....awe kama firminho mbona jamaa yuko poa anatoa mapasi tu na yeye ndio anasimama kama striker lakini sio mchoyo kihivyo...anafuraha mda wotee...lakini salah akishasikia aguero kafunga huko basi anachanganyikiwa anajiwaza yeye tu
 
Napenda kuwapa ushauri ndugu zangu mchawi wenu nishoga wa kiarabu aitwaye salah mzee wa msingi mbio


ATAWAHARIBIA TEAM SHOGA SALAH MUWE KAMA MAN U MAANA ANAKILI KAMA MUSIBA TU

***** FAKE EGYPTIAN GAY
Wewe ni MPUMBAVU
 
#King. Football is a game of team work. Mfano:
Mechi ya Arsenal last week @Salah,asingepewa zile through pass hata ile penati asingepata.
Wenzake wanampa clear passes za kufunga. Huwa hawaangalii Nani atafunga.
What if akina Bobby Manne,Original,Fabinho wakimchunia kumpa pass?

Nadhani hakuna sehemu niliyosema Salah yupo sahihi kuto kutoa pasi pale inapohitajika/Nikimaanisha sijatakataa kuwa mpira ni Teamwork.

Nilisema tokea Jana kuwa Salah kafanya Bad decision kwa matukio tofauti kwa mchezo wa Jana.

Ninachopinga Mimi ni SALAH Kutukanwa, Kusema auzwe na Kusema aekwe Benchi wakati mchango ni unaonekana wazi.

Ni hayo tu
 
Mfano msimu wa 17/18 mwez Feb gemu ya Southampton tulishinda mbili kavu firmino alifunga na kumuassist salah, bonus ya goal alilamba £ elf85 na assist alilamba £ elf31

Kuna uwezekano mkubwa sana Salah kwenye goli anapata big bonus that's cool because nowadays money is bigger than football

Kinachonifurahisha ni hela anayokunja Bobby aki funga hiyo 85 hukunja kwa kila goli atakalo funga kuanzia goli la 16 but he's too cool got big heart

Nadhani Mane ameongezewa bonus so he trying to chop more ndo kushikwa na hasira
 
Kuna uwezekano mkubwa sana Salah kwenye goli anapata big bonus that's cool because nowadays money is bigger than football

Kinachonifurahisha ni hela anayokunja Bobby aki funga hiyo 85 hukunja kwa kila goli atakalo funga kuanzia goli la 16 but he's too cool got big heart

Nadhani Mane ameongezewa bonus so he trying to chop more ndo kushikwa na hasira
Ni kweli kilichomfanya mane awake hasira ni all about bonus si kwa kufoka Kule duh!
 
i like to see players this hungry to score but Salah is being too greedy....hata goli la Bobby alikua apige Bobby akamuwai
Wewe umeona vyema kuna mtu kamsifia Salah akizani katoa pasi kumbe Boby kavamaia tu.


Kuna vitu nilisha ona mechi iliopita ni wazi Salah alshatengwa na wenzie na Mane kumsifia Boby ile mechi ya Asenal ilikua ni ujumbe kwa Salah ajabu hajajimfunza ndo anazidisha.
 
Juu ya kuwa Salah kaonesha ubinafsi!! Lakini kwa Mantiki hiyo hata VVD akipata mbadala (Aliyemzidi) anaweza kuekwa benchi.

The same kwa Messi, Ronaldo na Neymar wakipatikana Wabadala wanaowazidi watawaweka benchi.

Tuache chuki za kiajabuajabu hakuna Kocha anayeweza kumueka benchi Salah kwa timu yoyote ile duniani kwa sasa.

Hata Salah afanye ubinafsi lakini anayoyafanya uwanjani ni makubwa kuliko hayo unayoyaona ni Makosa.

Kama Salah si mchezaji bora kwa sasa ndani ya Liverpool hebu hao Liverpool wamueke Sokoni kwa £ hata 120m uone kama yatapita Massa 24 hajachukuliwa.

Salah hata akienda Mans City kwa Guardiola atacheza kila mechi labda aumie au aumwe
Kwa upuuzi alo fanya jana kwa Guadiola atapewa karipio kali na bechi lita mhusu tu team inatengenezwa na watu si mtu
 
Vipi kama Mane na Boby na wao wakimnyima unazani ataendelea offer uwanjani kama kawaida?

Tukizungumzia kitu kuoffer uwanjani haimaanishi ni Assists za Mane na Firmino tu! Kuna mengi ya Kuoffer kama mchezaji! Hata yeye akiwa-Assist wao itakuwa ameshaoffer kitu.
 
Wewe umeona vyema kuna mtu kamsifia Salah akizani katoa pasi kumbe Boby kavamaia tu.


Kuna vitu nilisha ona mechi iliopita ni wazi Salah alshatengwa na wenzie na Mane kumsifia Boby ile mechi ya Asenal ilikua ni ujumbe kwa Salah ajabu hajajimfunza ndo anazidisha.

Hata kama Bobby alivamia haitobadilisha ukweli kuwa palikuwa na Jitihada za Salah, kwani Salah asingeukimbiza na Kudrible huyo Bobby asingelipata huo mpira wa kuvamia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom