NO WAY KUMUUZA SALAH.....kwanza hilo linajulikana kwa wenye kufuatilia mpira Mane alikua kipindi fulani ni mbinafsi zaidi ya Salah alishatu cost point na exit ya FA hivyo ni suala linalorekebishika...
Binafsi nasema abakie tena sana Salah pia ni binadamu na twasema..human is to error...ishu hapa ni isiwe mazoea, kama Mane alipunguza na sasa kua tishio kwa kufunga basi naamini na Salah will work on this amicably...
We need this boys showing this HUNGRINESS as Mane did its healthy and good for the team...
Kwa hali hii kweli kombe la EPL linatuaaaa....
Chelsea walimtoa Diego na Morata mpaka leo wanahaha....Manu wamemtoa Lukaku na sasa hawasomeki tenaaa....
Salah suit us better...ukikumbuka tulipotoka kwa akima Baloteri, Aspas, Markovic nk utajua huyu mwarabu is the best we can wish and lucky he is here doing whats others couldnt even come near to offer....
hapa si mahala salama kwenda ila kuanzia gemu ya Ganaz naona vijana wameanza kurejesha makali aisee....sasa hopefuly mechi za kimataifa wachezaji watarudi wakiwa salama salmini...
Darajani mechi ngumu sana sababu wanakiungo kizuri kuliko sisi, ila beki yao haiwezi kuzuia front 3 yetuHii ya Darajani huenda ikawa ngumu
Hakuna mechi rahisi kama hiyo, huyo Chelsea lazima apandwe, najua matokeo ya super cup yatawafanya waje kwa kujiamini sana na watasahau Liverpool inabadilika kila mechi na mahataji ya, game plan ya Liverpool sasa hivi ina intelligent ya hali ya juu sanaHii ya Darajani huenda ikawa ngumu
LolKuna watu wanashindwa kufahamu kile anacho-offer Salah uwanjani ni nini Bali wanaangalia tu kwanini hakumpa pasi Mane!
Hivi unadhani Timu zikicheza na Liverpool wanakuwa Concerned na Bobby au Mane?
Tumeshawahi kucheza game Mabeki wakawa Man marking na Bobby au Mane?
Timu yoyote tunapoingia uwanjani basi wanayemuangalia kama ni Threat ni Salah! Sasa mchezaji kama huyu anayeteka Tenshen za watu juu Yake na wengine wakapata nafasi unasema aondoshwe au aekwe bench kisa tu alikuwa Selfish?
Watu wanasahau kuwa hayo Magoli wanayofunga Kina Mane na Bobby nusu Yake yanatokana na Mchango wa Salah.
Acha kutete ushoga salah hana tofauti na musiba au mourinhoHapa umeongea points
Hii Timu hatuwezi kuwa na Mane pekee wala Salah pekee! Tunawahitaji wote wawili.
Na tuliwahi kucheza Chandimu vijijini tunajuwa kuwa sometimes inatokea mpaka Teammates mukarushiana Ngumi uwanjani kwa kulaumiana uzembe lakini Siku ya pili kwenye Mazoezi Munakuwa kama Jana hakuna kilichotokea.
Na kwahili la Mane na Salah ni issue ya Kawaida kulaumiana! Kwa wale waliowahi kucheza Chandimu vijijini Magungumka Kama Mimi.
Lakini Hawa Washabiki wa Mitandaoni ndiyo shida kufanya jambo hili ni bonge la issue.
Nakumbuka kwenye game ya Everton Mane alipofanya bad decision (Sipendi kuita selfish/Uchoyo) basi Mashabiki wa Salah (Mostly ni Egyptians) walimshambulia Mane mpaka Akafuta Posts zake Twitter.
Na Leo Mashabiki wa Mane (Mostly ni Africans) wanamshambulia Salah kwa Kufanya Bad decisions (Sipendi Kuita selfish/Uchoyo) katika Mitandao.
Hii issue naamini imeshasolvika kwenye Timu, Bali Mitandaoni tu ndiyo Watabakia kupiga kelele zisizo na Maana.
Salah ni binaadamu tabadilika tu hilo naamini.
Pumbavu sana ww, watu wa aina yako sijui kwanini mimba isingeharibika tu msizaliwe?Napenda kuwapa ushauri ndugu zangu mchawi wenu nishoga wa kiarabu aitwaye salah mzee wa msingi mbio
ATAWAHARIBIA TEAM SHOGA SALAH MUWE KAMA MAN U MAANA ANAKILI KAMA MUSIBA TU
***** FAKE EGYPTIAN GAY
Pumbavu sana ww, watu wa aina yako sijui kwanini mimba isingeharibika tu msizaliwe?
wasted sperms panuakijambioPumbavu sana ww, watu wa aina yako sijui kwanini mimba isingeharibika tu msizaliwe?
Salah na Mane wote wakiwa kwenye form Salah yuko juu sana. Tuache chukiSell this MOFO Arab, he gonna destroy the dressing room, we dont need him! Hooray to the African Prince MANE.
Kwa tukio la Jana naamini Klopp ashaongea nao vijana. kwani hata last season game ya away na spurs Sadio Mane alimnyima Salah pasi ya wazi na watu walimsema sana mane Leo hii haohao wanamsema salah