Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Ni ujinga sasajamaa kiukwel hachokagi, na anasumbua mabeki
Sio jana tu
Hivi watu hawajiulizi kwa nini game ile tuliyomtoa barca
Salah aliwekwa benchi !
ukipata nafasi uwe una peruzi na forum za team zingine mara moja ili uweze kufahamu maoni zaid kuhusu wachezaji wako nje ya mapenzi binafsi yq liverpool..mfano chiniKuna watu wanashindwa kufahamu kile anacho-offer Salah uwanjani ni nini Bali wanaangalia tu kwanini hakumpa pasi Mane!
Hivi unadhani Timu zikicheza na Liverpool wanakuwa Concerned na Bobby au Mane?
Tumeshawahi kucheza game Mabeki wakawa Man marking na Bobby au Mane?
Timu yoyote tunapoingia uwanjani basi wanayemuangalia kama ni Threat ni Salah! Sasa mchezaji kama huyu anayeteka Tenshen za watu juu Yake na wengine wakapata nafasi unasema aondoshwe au aekwe bench kisa tu alikuwa Selfish?
Watu wanasahau kuwa hayo Magoli wanayofunga Kina Mane na Bobby nusu Yake yanatokana na Mchango wa Salah.
maSalah alikuwa majeruhi
salah is so selfish, kuna mechi moja milner alimnyima kupiga penati akamindi,wakati kapten anataka kuseal ushindi ,yeye anawaza golden boot.Insane
Mkuu huwezi bishana na mtu ambae alishafikia sehemu akaandika NO SALAH NO LIVERPOOL.. tuache tu yapite sababu tumepata ushind ila kuhusu mchango wa mane na salah kila mwenye macho na akili nadhani anaona ni Nani tishio la timu pinzani.kaka
ukipata nafasi uwe una peruzi na forum za team zingine mara moja ili uweze kufahamu maoni zaid kuhusu wachezaji wako nje ya mapenzi binafsi yq liverpool..mfano chini
spurs(thefightingcock.com)..wanamwogopa mane kuliko salah
mancity(bluemoon.com)...ikikaribia mechi na wao akili ipo kwa mane,wakiomba walker aamke vizuri kweli)
na pia vs barcelona recently ni mane aliyetubeba single ended na kusababibisha origi awe free kuperform na hakujali kama alifunga yeye au la..wakati hapo salah angetaka kuwa kama messi
nadhani hili udhubutu wa Klopp ni kutokana na ufinyu wa kikosi maana hata akisema akae benchi ni dhahiri wengine lazima wa upgrade thier goal ratio kwa bahati mbaya huo muda haupo we are gunning for EPL sio trial basis..Guadiora alikuwa anamuacha aguero nje anampa nafasi Jesus...unasemaje angeshindwa kumpumzisha Salah Kama Ana mtu wa uhakika!!??Guadiora Ana uthubutu ambao klopp Hana na huo ndio ukweli mchungu...plus sisi kwa hapo mbele hatuna mbadala wa uhakika ndio maana huyo Salah anafanya uhanithi
hilo ni muhimu sana ndugu maana kuanzia December na kuedelea tuna mechi nyingi mno na pia wear and tear itakua ishaanza kuwakamata wachezaji hivyo tunahitaji pointi nyingi mapemaaaaaMechi 4 za August tumeua na kuchota points zote 12. Sasa tunaingia September kuna mechi kama 3 hivi napo tuendelee kuuwasha tu moto tuchukue points zetu zote 9 na kuweka hesabu zetu sawa ili tuingie October na target kali sana
hilo la kuuzwa hapana, anarekebishika ni Klopp akomae nae na baada ya jana naamini Klopp atazungumza nae in length umuhimu wa team work....kazi yake ni kufunga na hua anafunga sana tu that we are thankful,....Nakubali Salah kafanya Ubinafsi lakini si sababu ya kuwa eti Auzwe au awekwe Bench! Huo utakuwa ni uzwazwa kabisa.
Mtu ana Magoli 3 na Assists 2 katika michezo 4 ya EPL unasema auzwe au aekwe bench kisa tu hakumpa pasi kipenzi chenu Mane? Hii ni too much sasa.
Tuwauzie basi Real au Man City
hii ishu imeaubuka baada ya jana tu na nadhani kama Mane angejikalia zake kimya maneno haya yangekua machache...Watu wanasema uselfish wake kuna Siku utaicost timu! Mbona magoli Yake hawayasemi kuwa kuna Siku yataisaidia timu?
Only selfish tu ndiyo tatizo lakini kufunga na kuassist sio faida?
lol the vs The Blues away...Ratiba yetu EPL ya September ni hii hapa
Ina mechi 3 tu ambazo zina changamoto kubwa ndani Yake
Saturday 14
Liverpool – Newcastle United
Saturday 21
Chelsea - Liverpool
Saturday 28
Sheffield United - Liverpool
hilo la kuuzwa hapana, anarekebishika ni Klopp akomae nae na baada ya jana naamini Klopp atazungumza nae in length umuhimu wa team work....kazi yake ni kufunga na hua anafunga sana tu that we are thankful,....
lol the vs The Blues away...
na pia kuna Carabao na Champions league..
NO WAY KUMUUZA SALAH.....kwanza hilo linajulikana kwa wenye kufuatilia mpira Mane alikua kipindi fulani ni mbinafsi zaidi ya Salah alishatu cost point na exit ya FA hivyo ni suala linalorekebishika...Mimi niliyazungumza mengi baada ya kuona Mdau mmoja kapost kuwa eti Salah ni mchoyo auzwe!
Kuna mwengine kapost eti aekwe benchi!!!
Hivi huyu ni mshabiki wa Liverpool kweli anayetaka Salah auzwe halafu tumtegemee Origi na Xhaqiri kisa tu Mane Kanuna?
Huyu ni mshabiki wa Liverpool kweli anaetaka Salah aekwe Benchi achezeshwe Origi na Xhaqiri Kiss tu Mane Kanuna??
Hivi Timu inayotafuta ubingwa wa EPL inaweza kuwaza kumuuza au kumueka benchi Mshambuliaji hatari kama Salah ambaye Hakuna hata Timu moja Duniani isiyotamani kuwa Naye?
Shida Yote ni Kuwa Watu Wanaishi kwa Kukariri!! Eti wanasema Tilimfunga Barcelona bila Ya SALAH!!! This is bloody crazy!!! Wanazani Siku zinafanana kuwa Siku zote lazima itakuwa vile??
Au wanasahau kuwa Liverpool pia ishashinda bila ya Mane?
Yani Hawa Watu Waliomshambulia Ramos kumuumiza Salah kwenye Mechi ya Final vs Real na kulialia eti angekuemo Salah tungeliwafunga Real, ndiyo leohii wanaodai eti Salah aekwe Bench au Auzwe!!!!!
Hii issue sio kubwa kihivyo lakini Kuna Hawa Washabiki wa Liverpool kutoka Mkuranga ndiyo Akinuna Mane kwao ishakuwa balaa.
hapa si mahala salama kwenda ila kuanzia gemu ya Ganaz naona vijana wameanza kurejesha makali aisee....sasa hopefuly mechi za kimataifa wachezaji watarudi wakiwa salama salmini...Hii ya Darajani huenda ikawa ngumu