Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Unavyosema harry na aguero ndio wachezaji PEKEE wanaokupa uhakika wa magoli kuanzia 20 Salah unamtoa kwa kigezo gani haswa wakati yeye amethibitisha kua bora katika kufunga.
Kwani aliekuwa anawatoa wafungaji wote epl kuwa hawana uwezo Kama wa salah alikuwa anatumia kigezo gani!?
 
Kwani aliekuwa anawatoa wafungaji wote epl kuwa hawana uwezo Kama wa salah alikuwa anatumia kigezo gani!?
Hajawatoa ila amesema yeye anaona salah ndio bora hata wewe pia kuna unaeona ni bora lakini nimequestion kusema wawili tu ndio PEKEE wanakupa 20+ goals kwa season kwa UHAKIKA wakati Salah AMETHIBITISHA kua magoli kwake ni hatari ndio maana nikasema kwa kigezo gani ememtoa wakati yeye magoli ndio ubora wake mkuu.

Hata tukienda statistically hakuna mchezaji kwa miaka 10 iliyopita atakaekua amemzidi kwa wachezaji wa liverpool na wa EPL statistically atakua 3 bora.
 
Aguero hayupo level moja na Mo Salah kwenye umaliziaji kadhalika Harry Kane au Hazard

Salah anajua kufinish pale EPL

Hazard angekuwa finisher mzuri kuliko Mo Salah angefunga goli zaidi ya 20 kila msimu sababu yupo exposed sana na Chances kuliko Salah cha ajabu kacheza misimu yote hiyo hajawahi fikisha goli 20, hata 17 tu nina wasiwasi na tena ndio penalty taker wa Chelsea

Kane strength yake anapiga mashuti mazito sana, ila sio finisher kumfikia Mo Salah , Spurs finisher wao bora ni Eriksen

Aguero ni mpiga mashuti mzuri sio finisher mzuri, kwa city finishers ni DeBruyne na Bernado Silva halafu huyu Aguero anapooza sana move za kufunga kama mwenzie Kane

Salah anakufanyia finishing ya kuugongesha mpira kwenye post kuwa goli(ana shabaha sana kama anataka kufunga kwa kutambaza mpira)
Labda sielewi maana ya finisher, Eriksen anakuwaje finisher mzuri hapo tot? Ungeniambia eriksen ni mpika mabao tot ningeelewa

The same kwa man city ,finisher pale ni rahim ,ambaye hana tofauti na salah kosa kosa zao, salah ninachokiona mm ,ana aina ya mpira ili umfaidi ,atanguliziwe awe free hatakuacha ,ila akiwa na watu anakuwa kama anataka kufanya vitu kama messi , pia hana first touch nzuri ,ila akiwa free au aletewe mipira free ambapo watu waliompatia sana niliowaona ni TAA, OX na hata COUTINHO alikuwa anajua amuwekee mipira kwa wakati gani, bas salah atakumaliza mapema.
 
Labda sielewi maana ya finisher, Eriksen anakuwaje finisher mzuri hapo tot? Ungeniambia eriksen ni mpika mabao tot ningeelewa

The same kwa man city ,finisher pale ni rahim ,ambaye hana tofauti na salah kosa kosa zao, salah ninachokiona mm ,ana aina ya mpira ili umfaidi ,atanguliziwe awe free hatakuacha ,ila akiwa na watu anakuwa kama anataka kufanya vitu kama messi , pia hana first touch nzuri ,ila akiwa free au aletewe mipira free ambapo watu waliompatia sana niliowaona ni TAA, OX na hata COUTINHO alikuwa anajua amuwekee mipira kwa wakati gani, bas salah atakumaliza mapema.
Hata Messi huwa anakosakosa ila quality ya umaliziaji yake ndio tunasema ni deadly finisher, kwamba anapokukosa ni basi tu bahati ya aliekoswa

Eriksen ni top finisher chance zinapomkuta kumkosa mtu ni aghalabu different from Harry Kane ambae timing&accuracy sio mzuri same to Son Hyeung-min

Wacheki Spurs msimu huu hata kama huwashabikii uone jamaa(Eriksen) chances zikija alivyo mzuri/sharp kuzitumia ipasavyo
 
Harry Wilson transfer to Bournemouth seems to be very likely dah very sad kwa Harry amejaribu sana sana kum - impress Manager lakini imeshindikana.

Wakati wa Preseason nilipolalamikia usajili na nikasema hao Madogo Wataishia kutolewa kwa Mkopo na Wengine Watapelekwa U23 na tutabaki na kikosi finyu kilekile cha last season! Kuna watu waliona kama natania na kusema eti Hao madogo ni depth! Sasa subiri tuone.
 
Kwasababu Kafikia mpaka yupo Free sijaona Timu inayomgombania.

Mignolet na ubovu wake wote lakini timu zilikuwa zikimgombania.

Sasa Kipa gani anayekosa timu huyo mpaka tukampata bure bila ya mpinzani?

Hicho ndiyo kigenzo nilichotumia kumtoa uwezo.
Ramsey hakuwa na uwezo vipi kuhusu Emre can au Dani alves
Huenda alikua approached na timu lakini yeye hazikubali
All in all usimjudge mtu usiye jua uwezo wake tusubiri apate nafasi alafu kuanzia hapo utakuwa sahihi
 
Mbona kwa Ninavyoiona Timu yetu baada ya game ya Juzi vs Man City Nahisi Msimuu huu tupo katika Nafasi Nzuri Zaidi ya Kubeba EPL kuliko msimu uliopita?

Game ya Juzi ni Kasoro Mbili tu ndiyo nilizoziona.

1) Defence ilikuwa ni disaster walipokuwa wakicheza VVD-GOMEZ.
Ikawa sawa baada ya kuingia Matip wakacheza VVD-MATIP.
Kwahiyo maoni yangu tusitumie mazoea ya last season bado Gomez hajakaa sawa baada ya ile injury.
Kwasasa Defenders ni VVD-MATIP.

2) Mido yetu ilikuwa ni disaster walipocheza HENDO-FABI-GINI.
Ilikaa sawa baada ya Sabs ya Keita na Lallana.
Bado game ya Juzi haijanipa mwanga wa kuwa nani hasa acheze kwenye Mido! But bado naprefer Mido ya FABI-GINI-KEITA.
 
Ramsey hakuwa na uwezo vipi kuhusu Emre can au Dani alves
Huenda alikua approached na timu lakini yeye hazikubali
All in all usimjudge mtu usiye jua uwezo wake tusubiri apate nafasi alafu kuanzia hapo utakuwa sahihi

Ramsey Alikuwa akitafutwa na timu nyingi tu mojawapo tukiwa ni sisi Liverpool.Emre aliwahi kufanya agreement ya Precontract na Juventus kabla ya Mkataba wake kuisha.
Dani Alves umri wake ndiyo tatizo.

Prove me wrong
 
Mbona kwa Ninavyoiona Timu yetu baada ya game ya Juzi vs Man City Nahisi Msimuu huu tupo katika Nafasi Nzuri Zaidi ya Kubeba EPL kuliko msimu uliopita?

Game ya Juzi ni Kasoro Mbili tu ndiyo nilizoziona.

1) Defence ilikuwa ni disaster walipokuwa wakicheza VVD-GOMEZ.
Ikawa sawa baada ya kuingia Matip wakacheza VVD-MATIP.
Kwahiyo maoni yangu tusitumie mazoea ya last season bado Gomez hajakaa sawa baada ya ile injury.
Kwasasa Defenders ni VVD-MATIP.

2) Mido yetu ilikuwa ni disaster walipocheza HENDO-FABI-GINI.
Ilikaa sawa baada ya Sabs ya Keita na Lallana.
Bado game ya Juzi haijanipa mwanga wa kuwa nani hasa acheze kwenye Mido! But bado naprefer Mido ya FABI-GINI-KEITA.
mkuu sioni Hendo akisugua benchi labda awe majeruhi otherwise mido ya Fabi-Gini-Keita ingetufaa sanaa ama Fabi-Ox-Keita na wakati mwingine Fabi-Naby-Milner...

Kuhusu beki wasiwasi wangu ni TAA akicheza upande mmoja na Hendo hapo naona majanga maana zile diagnol balls zitamsumbua tumeona juzi alipata shinda ya kutosha na pia vs Napoli, vs Sporting CP ilikua hivyo hivyo...he was caught offguard a few times na hilo linanipa wasiwasi cz oflate amekua so poor without the ball...

am positive by Furahaday vs Norwich the boys il be upto th task...

Come on Reds here we goooooo....💯💯💯😎😎😎
 
Ramsey Alikuwa akitafutwa na timu nyingi tu mojawapo tukiwa ni sisi Liverpool.Emre aliwahi kufanya agreement ya Precontract na Juventus kabla ya Mkataba wake kuisha.
Dani Alves umri wake ndiyo tatizo.

Prove me wrong
Wakati umebeba majibu mazuri zaidi.
 
Hajawatoa ila amesema yeye anaona salah ndio bora hata wewe pia kuna unaeona ni bora lakini nimequestion kusema wawili tu ndio PEKEE wanakupa 20+ goals kwa season kwa UHAKIKA wakati Salah AMETHIBITISHA kua magoli kwake ni hatari ndio maana nikasema kwa kigezo gani ememtoa wakati yeye magoli ndio ubora wake mkuu.

Hata tukienda statistically hakuna mchezaji kwa miaka 10 iliyopita atakaekua amemzidi kwa wachezaji wa liverpool na wa EPL statistically atakua 3 bora.
Unaongea tu ili tuendelee kubishana...ligi ya epl miaka kumi nyuma unajua aina ya wachezaji waliokuwepo mpaka umuweke salah top 3!!?au ndio mahaba yamezid kwa salah.!!? An mind u nilimaanisha aguero na Harry wanauhakika wa magoli 20 na kuendelea kwa sababu alietoa hoja ya mwanzo alisema hawana uwezo Kama salah...
 
Ndo huyohuyo mwenye golden gloves kwenye mashindano yote aloshiriki. Kepa ana nini? Hata iron gloves anazo?
Kepa ni best penalty saver + Europa cup, msimu wake wa kwanza kanyayua kwapa.. although Allison ni bora ila kwenye penalties ni boya tu
 
Hakuna penalt ya kumlaumu.goalkeeper overwise uwe umevuta bangi
Ni kweli kabisa upo sawa, ila Allison ata wacost kweny final yeyote kama mtafikia hatuna ya penalty. Hajifunzi kwa mdogo wake Kepa.!! The best penalty saver!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom