Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
kabisa sasa kazi kwake ajilinde na majeraha ya mara kwa mara...Maoni yangu Keita ni bora mara 100 kuliko Gini katika midfield
kabisa sasa kazi kwake ajilinde na majeraha ya mara kwa mara...Maoni yangu Keita ni bora mara 100 kuliko Gini katika midfield
Henderson sijui anafanya nini livaFor my very personal views, wachezaji baadhi walikua wauzwe kabisa ama waachwe tulete watu wa kazi ili kutoa gundu la miaka 30.
Divock Origi, toa magoli yake ya nusu fainali na baadhi ya ndondokela za hapa na pale, nadhani wengi wanamwona kama mr lucky-man hivyo wamemwongezea kandarasi ndefu. Japokuwa bahati ipo ila haipo kila siku for a player who cant even break into man u first eleven( aiming at top 4 spots) kwanini abaki kwetu tulio na harakati za kutoa gundu la miaka 30?
2. Gini wiljinaldum, mmatumbi mwingine wakufyekelewa mbali alikua huyu, playing either 10/8 bado hana madhara kabisa katika final third ya adui(assist/goals) unamwacha fekir aende betis kwa 30m£ unambakiza huyu mr slow guy halafu unakuja kutudanganya epl tutaipata tu. Madhara yake tunayapata kwenye mechi wanazorundikwa hawa wamatumbi pale kati gini/henderson ama gini/milner ama henderson/milner mfano mechi ya jana tunakosa kabisa creativity from the centre hivyo kuigawa timu vipande viwili bila kiunganshi kati.
3. Henderson, nitalia na aliyempa kitambaa cha unahodha, jamaa ukitoa kitambaa cha unahodha tu, pale liver sidhani kama atavuka dirisha hata moja hajasukumizwa nje. Huyu inatakiwa awe anambebea viatu tanguy ndombele pale tott.
4. Milner, hata milner??? Ndiyo, uwepo wake umefanya tusiongeze mashine moja kijana kijana hapo kati. Our versatile player, yes our versatile player 33yrs old. Umri umekwenda kasi akiwa kaishiwa plus pumzi cha kushangaza itafika january ndio atakua tegemeo letu either rb or lb. Mpaka hapo city wanaanza kushona suti za ubingwa hata kuwe na gap la point 12.
NB kwanini hatujanunua central striker wa hata goli kumi tu za msimu atuongezee kwa kina mane na salah? Je tumekubali origi ndio awe back up ya mane?(refer yday game) tumeshindwa kweli kumpata flexible winger atakaye weza toa kashkash pale mbele kweli???? TUNAUTAKA UBINGWA KWELI?
Sijawahi kuwa na ushabiki wa hivyo ni mara nyingi tu akifanya vizur Nampa pongez zake mm ni shabiki na mpenzi wa mpira mzuri...siwezi kuwa na kinyongo na mchezaji wa timu ninayoshangilia tokea nilipopata akili.nashangaa ewew unaetaka kusema No salah No Liverpool.kisa goli la Napoli halafu unasahau mtu unasahau uwezo wa hao wengine kwenye msimu uliopita.CHIEF ACHA MAPENZI BINAFSI. mchezaji anasifiwa na kukosolewa ndio mpira.Mimi kinachofanya nikuquote ni kuwa inaonekana wazi kuwa tokea Dalah ahamie Liverpool nlanaibeba Liverpool kwa kila halo hasa inapokuwa katika Mazingira Magumu lakini still unamponda kama kwamba hana msaada wowote.
kabisa sasa kazi kwake ajilinde na majeraha ya mara kwa mara...
Aguero hayupo level moja na Mo Salah kwenye umaliziaji kadhalika Harry Kane au HazardUna maana katka umaliziaji Salah ni mzuri kuliko aguero!!?,hazard(kabla hajahama),mane,Harry kane.labda Kama mpira unaoangalia ewew ni tofauti na huu ninaouona Mimi..Salah ni mchezaji mzur ila kuanzia msimu uliopita kazidisha ubinafsi na katucost mechi Zaid ya mbili ambazo zilikuwa za muhimu.na Jana vilevile ukiacha chenga mbili tatu alizopiga kakosa kumaliza gemu zaidi ya mara mbili kwa kutaka kufanya Mambo peke yake...Salah atabaki kuwa Salah lakini ni kukosa heshima kusema hakuna mmaaliziaji Kama Salah kwenye Epl.
Labda finisher kwenye soka sijajua maana yake, bernardo silva huyu awe finisher mzuri pale city???Aguero hayupo level moja na Mo Salah kwenye umaliziaji kadhalika Harry Kane au Hazard
Salah anajua kufinish pale EPL
Hazard angekuwa finisher mzuri kuliko Mo Salah angefunga goli zaidi ya 20 kila msimu sababu yupo exposed sana na Chances kuliko Salah cha ajabu kacheza misimu yote hiyo hajawahi fikisha goli 20, hata 17 tu nina wasiwasi na tena ndio penalty taker wa Chelsea
Kane strength yake anapiga mashuti mazito sana, ila sio finisher kumfikia Mo Salah , Spurs finisher wao bora ni Eriksen
Aguero ni mpiga mashuti mzuri sio finisher mzuri, kwa city finishers ni DeBruyne na Bernado Silva halafu huyu Aguero anapooza sana move za kufunga kama mwenzie Kane
Salah anakufanyia finishing ya kuugongesha mpira kwenye post kuwa goli(ana shabaha sana kama anataka kufunga kwa kutambaza mpira)
Ni mawazo yako na sio sheria na ulichokiandika ni unachokitaka ewew.huyo unaemuona anajua kufinish epl nzima sijui Kama alifikia hata uwezo wa Torres au Suarez lkn unaamua kuandika tu sababu hutaki kubaki nyuma.mm lfc damu lkn salah na aguero kwenye finishing ni vitu viwili tofauti....acha bla bla sijui za mashuti au kulenga goliAguero hayupo level moja na Mo Salah kwenye umaliziaji kadhalika Harry Kane au Hazard
Salah anajua kufinish pale EPL
Hazard angekuwa finisher mzuri kuliko Mo Salah angefunga goli zaidi ya 20 kila msimu sababu yupo exposed sana na Chances kuliko Salah cha ajabu kacheza misimu yote hiyo hajawahi fikisha goli 20, hata 17 tu nina wasiwasi na tena ndio penalty taker wa Chelsea
Kane strength yake anapiga mashuti mazito sana, ila sio finisher kumfikia Mo Salah , Spurs finisher wao bora ni Eriksen
Aguero ni mpiga mashuti mzuri sio finisher mzuri, kwa city finishers ni DeBruyne na Bernado Silva halafu huyu Aguero anapooza sana move za kufunga kama mwenzie Kane
Salah anakufanyia finishing ya kuugongesha mpira kwenye post kuwa goli(ana shabaha sana kama anataka kufunga kwa kutambaza mpira)
Keita is coming very good, his box to box qualities utaziona TuKeita ni misuse of resource pale liverpool, yaani unanunua viatu vya ngozi kwa bei gharama halafu badala ya kuwa cha mitoko we unakigeuza ndala (za kuogea) ilhali huna kiatu kingine. Kwa majukumu na position anayolazimishwa acheze pale sitegemei makubwa kutoka kwa naby keita(wa rb leipzig) Huyu tutaanza kumwita JORDAN KEITA
hahaha Mtu Fulani umesema vyema kabisa...hata hivyo ndogo lazima ajikinge na majeraha ya mara kwa mara...Keita ni misuse of resource pale liverpool, yaani unanunua viatu vya ngozi kwa bei gharama halafu badala ya kuwa cha mitoko we unakigeuza ndala (za kuogea) ilhali huna kiatu kingine. Kwa majukumu na position anayolazimishwa acheze pale sitegemei makubwa kutoka kwa naby keita(wa rb leipzig) Huyu tutaanza kumwita JORDAN KEITA
Ni mawazo yako na sio sheria na ulichokiandika ni unachokitaka ewew.huyo unaemuona anajua kufinish epl nzima sijui Kama alifikia hata uwezo wa Torres au Suarez lkn unaamua kuandika tu sababu hutaki kubaki nyuma.mm lfc damu lkn salah na aguero kwenye finishing ni vitu viwili tofauti....acha bla bla sijui za mashuti au kulenga goli
as long as hakuna majeraha Ox, Naby ni kazi kazi...Keita is coming very good, his box to box qualities utaziona Tu
He came.on Jana and it was lively
I don't see Henderson and lallana giving us any joy very time soon
Naby, faby, ox, Gini ndio way to go
Majeraha kwa left mid anakocheza atapata sana labda tuombe apazoee. Speaking from experience zile turn, dribble & tackles ndo zinamsababishia majeraha ya mara kwa mara kwani anakua limited space-wise kwani kule anapokuwa uwanja unakuwa finyu kwake kufanya turn ikizingatiwa kakua amezoea kuwa central kabisa sehemu yenye greater space kufanya udambwihahaha Mtu Fulani umesema vyema kabisa...hata hivyo ndogo lazima ajikinge na majeraha ya mara kwa mara...
Labda finisher kwenye soka sijajua maana yake, bernardo silva huyu awe finisher mzuri pale city???
Hivi kufinish si kutumbukiza kitu kambani?
Sasa bernardo awe finisher mzuri city? Labda ungesema ni hatari kwa ku create chance pale city ningekuelewa mkuu. Anyway nahitaji elimu yako mkuu @ MASAMILA
cant say otherwise...zile turn ndio kabisaaa hata kule Misri ndio zilimcost yale majeraha...Majeraha kwa left mid anakocheza atapata sana labda tuombe apazoee. Speaking from experience zile turn, dribble & tackles ndo zinamsababishia majeraha ya mara kwa mara kwani anakua limited space-wise kwani kule anapokuwa uwanja unakuwa finyu kwake kufanya turn ikizingatiwa kakua amezoea kuwa central kabisa sehemu yenye greater space kufanya udambwi
Unavyosema harry na aguero ndio wachezaji PEKEE wanaokupa uhakika wa magoli kuanzia 20 Salah unamtoa kwa kigezo gani haswa wakati yeye amethibitisha kua bora katika kufunga.Kwani sie ewew huko umesema Salah atashinda kiatu Cha dhahabu Tena msimu ila Kama aguero na kane wakiwa majeruhi...tuache unazi wote wakiwa wazima aguero na Harry kane ni wachezaji pekee wanaokupa uhakika wa magoli zaidi ya 20 Kila msimu..halafu nishakuambia mara kibao Mimi Sina chuki na Salah ila naongelea ukweli tatizo lako unataka unachokipenda ewew ndio Kila mtu akipnde...mpira haupo hivyo Mimi sadio mane na firmihno ndio wachezaji ninaowakubali hapo mbele lfc...na siwezi kumlazimisha mtu aone navyoona Mimi kwa kutoa maeelezo mareeefu.