Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Uzuri ni mawazo yako binafsi,so acha tuache uendelee kuamini unachoamini..."yaani Liverpool yote hakuna anaefikia uwezo wa SALAH"!!!?kweli ukipenda hata chongo unasema ni kengeza.

Nipo sahihi kwa hilo! Liverpool nzima hakuna anyefikia uwezo wa Salah kwa chochote kile, Angalia stats za Salah za misimu Yake miwili iliyopita kama kuna mchezaji yeyote anayemkaribia.

Tuchukulie kuwa Kilichopita ni History tu, basi tuangalie msimu huu Salah atafanya nini!

Nakuhakikishia Salah anachukua tena golden boot unless Harry Kane na Aguero wasipate majeruhi ya Mara kwa Mara msimu huu.

Kumfunga Barcelona bila ya Salah sio sababu kuwa Salah sio mchezaji wetu bora zaidi.
 
IMG_6005.JPG
 
Milner will be a boost amid epl first game against norwich,
Hapa ndo hua nachoka kabisa labda wenzangu hua wanaangalizia mpira chumbani sio hadharani kama sisi, endapo title contender anafurahi kiungo mwenye miaka 33 akirejea dimbani kama ndio mwarobaini wa midfield, title holders wanamuuza delph bila uwepo wa fernandinho na wanakua tishio zaidi kuelekea ufunguzi wa msimu.
 
For my very personal views, wachezaji baadhi walikua wauzwe kabisa ama waachwe tulete watu wa kazi ili kutoa gundu la miaka 30.
Divock Origi, toa magoli yake ya nusu fainali na baadhi ya ndondokela za hapa na pale, nadhani wengi wanamwona kama mr lucky-man hivyo wamemwongezea kandarasi ndefu. Japokuwa bahati ipo ila haipo kila siku for a player who cant even break into man u first eleven( aiming at top 4 spots) kwanini abaki kwetu tulio na harakati za kutoa gundu la miaka 30?
2. Gini wiljinaldum, mmatumbi mwingine wakufyekelewa mbali alikua huyu, playing either 10/8 bado hana madhara kabisa katika final third ya adui(assist/goals) unamwacha fekir aende betis kwa 30m£ unambakiza huyu mr slow guy halafu unakuja kutudanganya epl tutaipata tu. Madhara yake tunayapata kwenye mechi wanazorundikwa hawa wamatumbi pale kati gini/henderson ama gini/milner ama henderson/milner mfano mechi ya jana tunakosa kabisa creativity from the centre hivyo kuigawa timu vipande viwili bila kiunganshi kati.
3. Henderson, nitalia na aliyempa kitambaa cha unahodha, jamaa ukitoa kitambaa cha unahodha tu, pale liver sidhani kama atavuka dirisha hata moja hajasukumizwa nje. Huyu inatakiwa awe anambebea viatu tanguy ndombele pale tott.
4. Milner, hata milner??? Ndiyo, uwepo wake umefanya tusiongeze mashine moja kijana kijana hapo kati. Our versatile player, yes our versatile player 33yrs old. Umri umekwenda kasi akiwa kaishiwa plus pumzi cha kushangaza itafika january ndio atakua tegemeo letu either rb or lb. Mpaka hapo city wanaanza kushona suti za ubingwa hata kuwe na gap la point 12.
NB kwanini hatujanunua central striker wa hata goli kumi tu za msimu atuongezee kwa kina mane na salah? Je tumekubali origi ndio awe back up ya mane?(refer yday game) tumeshindwa kweli kumpata flexible winger atakaye weza toa kashkash pale mbele kweli???? TUNAUTAKA UBINGWA KWELI?
 
Kwa Clinical finish EPL nzima labda Pogba na Bernado Silva kidogo ndio wanaweza kumfikia Mo Salah

Kwa kumalizia chances tafuta mchezaji wa EPL anaemfikia Mo Salah
Una maana katka umaliziaji Salah ni mzuri kuliko aguero!!?,hazard(kabla hajahama),mane,Harry kane.labda Kama mpira unaoangalia ewew ni tofauti na huu ninaouona Mimi..Salah ni mchezaji mzur ila kuanzia msimu uliopita kazidisha ubinafsi na katucost mechi Zaid ya mbili ambazo zilikuwa za muhimu.na Jana vilevile ukiacha chenga mbili tatu alizopiga kakosa kumaliza gemu zaidi ya mara mbili kwa kutaka kufanya Mambo peke yake...Salah atabaki kuwa Salah lakini ni kukosa heshima kusema hakuna mmaaliziaji Kama Salah kwenye Epl.
 
Nyie mojogoo mnaiwaza sana city, ila tu niwambie kuna mbwa koko nyingine zotawatoa udenda

Spurs
Man u

Chelsea
Wolves
 
Una maana katka umaliziaji Salah ni mzuri kuliko aguero!!?,hazard(kabla hajahama),mane,Harry kane.labda Kama mpira unaoangalia ewew ni tofauti na huu ninaouona Mimi..Salah ni mchezaji mzur ila kuanzia msimu uliopita kazidisha ubinafsi na katucost mechi Zaid ya mbili ambazo zilikuwa za muhimu.na Jana vilevile ukiacha chenga mbili tatu alizopiga kakosa kumaliza gemu zaidi ya mara mbili kwa kutaka kufanya Mambo peke yake...Salah atabaki kuwa Salah lakini ni kukosa heshima kusema hakuna mmaaliziaji Kama Salah kwenye Epl.

Kwani hao uliowataja si Salah ameshachezanao Misimu Miwili mfululizo na kubeba Kiatu Huku Harry Kane akidai kupewa mpaka magoli waliyofunga wengine?

Hebu tuambie ni umalizaji upi ulioukusudia ambao Salah hajawazidi hao uliowata?

Misimu Miwili Mfululizo Salah anaibuka Mfungaji bora wa EPL mbele ya hao uliowataja halafu unasema Hazard ni Mmalizaji bora kuliko Salah wakati Hazard anafikisha Miaka 29 bila ya kuwahi kufika hata goli 20 per season katika Career Yake yote?

Wakati mwengine Mkuu be Realistic Kwasasa EPL hakuna mshambuliaji bora kama Salah.

Unless uendeleze chuki tu zidiyake.

Nasema tena No Salah, No Liverpool.

Wengi wanaangalia kuwa tulimfunga Barcelona bila ya Salah huku wakisahau Kuwa Tulimfika huyo Barcelona kuchezanae kwasababu ya Juhudi za Huyo Salah.
 
Kwani hao uliowataja si Salah ameshachezanao Misimu Miwili mfululizo na kubeba Kiatu Huku Harry Kane akidai kupewa mpaka magoli waliyofunga wengine?

Hebu tuambie ni umalizaji upi ulioukusudia ambao Salah hajawazidi hao uliowata?

Misimu Miwili Mfululizo Salah anaibuka Mfungaji bora wa EPL mbele ya hao uliowataja halafu unasema Hazard ni Mmalizaji bora kuliko Salah wakati Hazard anafikisha Miaka 29 bila ya kuwahi kufika hata goli 20 per season katika Career Yake yote?

Wakati mwengine Mkuu be Realistic Kwasasa EPL hakuna mshambuliaji bora kama Salah.

Unless uendeleze chuki tu zidiyake.

Nasema tena No Salah, No Liverpool.

Wengi wanaangalia kuwa tulimfunga Barcelona bila ya Salah huku wakisahau Kuwa Tulimfika huyo Barcelona kuchezanae kwasababu ya Juhudi za Huyo Salah.
Mi nimesoma tu hapo
No Salah no liverpool? Kama ndo hivyo henderson anastahili kabisa kupata namba liver hata akiwa injured
 
Kwani hao uliowataja si Salah ameshachezanao Misimu Miwili mfululizo na kubeba Kiatu Huku Harry Kane akidai kupewa mpaka magoli waliyofunga wengine?

Hebu tuambie ni umalizaji upi ulioukusudia ambao Salah hajawazidi hao uliowata?

Misimu Miwili Mfululizo Salah anaibuka Mfungaji bora wa EPL mbele ya hao uliowataja halafu unasema Hazard ni Mmalizaji bora kuliko Salah wakati Hazard anafikisha Miaka 29 bila ya kuwahi kufika hata goli 20 per season katika Career Yake yote?

Wakati mwengine Mkuu be Realistic Kwasasa EPL hakuna mshambuliaji bora kama Salah.

Unless uendeleze chuki tu zidiyake.

Nasema tena No Salah, No Liverpool.

Wengi wanaangalia kuwa tulimfunga Barcelona bila ya Salah huku wakisahau Kuwa Tulimfika huyo Barcelona kuchezanae kwasababu ya Juhudi za Huyo Salah.
Kwani sie ewew huko umesema Salah atashinda kiatu Cha dhahabu Tena msimu ila Kama aguero na kane wakiwa majeruhi...tuache unazi wote wakiwa wazima aguero na Harry kane ni wachezaji pekee wanaokupa uhakika wa magoli zaidi ya 20 Kila msimu..halafu nishakuambia mara kibao Mimi Sina chuki na Salah ila naongelea ukweli tatizo lako unataka unachokipenda ewew ndio Kila mtu akipnde...mpira haupo hivyo Mimi sadio mane na firmihno ndio wachezaji ninaowakubali hapo mbele lfc...na siwezi kumlazimisha mtu aone navyoona Mimi kwa kutoa maeelezo mareeefu.
 
Mi nimesoma tu hapo
No Salah no liverpool? Kama ndo hivyo henderson anastahili kabisa kupata namba liver hata akiwa injured
Yaani Kuna vitu vingine mpaka unajiuliza huyu mtu anapoandika kitu hiki yupo ktk wakati gani....ETI NO SALAH NO LIVERPOOL.
 
Kwani sie ewew huko umesema Salah atashinda kiatu Cha dhahabu Tena msimu ila Kama aguero na kane wakiwa majeruhi...tuache unazi wote wakiwa wazima aguero na Harry kane ni wachezaji pekee wanaokupa uhakika wa magoli zaidi ya 20 Kila msimu..halafu nishakuambia mara kibao Mimi Sina chuki na Salah ila naongelea ukweli tatizo lako unataka unachokipenda ewew ndio Kila mtu akipnde...mpira haupo hivyo Mimi sadio mane na firmihno ndio wachezaji ninaowakubali hapo mbele lfc...na siwezi kumlazimisha mtu aone navyoona Mimi kwa kutoa maeelezo mareeefu.

Mimi kinachofanya nikuquote ni kuwa inaonekana wazi kuwa tokea Dalah ahamie Liverpool nlanaibeba Liverpool kwa kila halo hasa inapokuwa katika Mazingira Magumu lakini still unamponda kama kwamba hana msaada wowote.
 
Yaani Kuna vitu vingine mpaka unajiuliza huyu mtu anapoandika kitu hiki yupo ktk wakati gani....ETI NO SALAH NO LIVERPOOL.

Nasema hivyo kwa uhakika kuwa aumie Salah akaejuu mpaka January tu, Basi pamoja na hao Mane na Firmino hatuingii hata Top Four.

Salah ndiye aliyetupatia points 97 msimu uliopita, Na ndiye aliyetuvuusha hatua ya Makundi kwenye CL against Napoli.

Tusingemfunga Napoli basi huyo Barcelona munaejisifia tumemfunga Bila ya Salah tusingelikutana nae.
 
Nasema hivyo kwa uhakika kuwa aumie Salah akaejuu mpaka January tu, Basi pamoja na hao Mane na Firmino hatuingii hata Top Four.

Salah ndiye aliyetupatia points 97 msimu uliopita, Na ndiye aliyetuvuusha hatua ya Makundi kwenye CL against Napoli.

Tusingemfunga Napoli basi huyo Barcelona munaejisifia tumemfunga Bila ya Salah tusingelikutana nae.
Yes !!!! Salah ndio alitupeleka kwa goli sawa ,ile save SAVE ya Allison Dk ya 90+4.,Mkuu kila mchezaji ana umuhimu kwenye Department yake ,Salah ni mchezaji muhimu kweenye idara anayoicheza the same kwa Alison, Djik ,Fabinho etc lakini sio kusema No Salah No Liverpool man uko wrong.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom