Wes brown did it.
[/QUOTE
Wes Brown alimuwezea akiwa Leicester hii hii au?
Wewe sasa ndo mshabiki wa mpira ahsante mnoo unastahili kuwekwa kiti kilefu uwe unatuchora tukiburudikaOoooooow, Fantastic news. Jana nilisinzia mkiwa 0-1
Congratulations on your well deserve victory!!!!!!!!
You are a CHAMPION,you are amazing, You are a superstar!!!. You are a true legend and inspiration to all us.
All your hard work, practice, commitment, prayers and all your efforts to improve your skills, have made you a Champion.
I am happy for your success.
chaliifrancisco
Don Clericuzio
pension
KING ngwaba
Malafyale
Ed n Edd nEddy
Manga ML
Et al
It's your time to pop open the champagne. Mchumia juani hulia kivulini. (You have wanted to win for a while)
Mkuu kama unafatilia mechi za liverpool, hawa sio wachezaji wakuwa vizuri kila mechi... Yaani nina maanisha .... KEITA anakuwa mzuri mechi moja alafu mechi tatu mfululizo anaboronga vivyo hivyo kwa fabinhoMid mbona tunao mkuu Fabinho na keita labda ukiniambia tuongeze hata mmoja
Kwa mara ya kwanza jana tulikosa sapoti ya mashabiki haikua kawaida kabsaa vibanda umiza walisikika tukikoswakoswaNawapongeza sana liverpool , hongereni aiseh,, mm man utd ila jana nlikuwa upande wa Liverpool, hongereni sanaaa
![]()
Huyo jamaa wenzie tukicheka yeye akasirika siku tukichukia yeye anacheka ha ha haaaamkuu leo tuna kazi moja tu ya kujipongeza kwa ushindi wa jana hizo complains nyingine ungeziacha kwanza fan mwenzangu!
Pole sanabrother naona ulikuwa huna subiri siku ukinyanyua kwapa unifate
Huyo wa Leicester unamjua wewe
Mkuu kama unafatilia mechi za liverpool, hawa sio wachezaji wakuwa vizuri kila mechi... Yaani nina maanisha .... KEITA anakuwa mzuri mechi moja alafu mechi tatu mfululizo anaboronga vivyo hivyo kwa fabinho
Tunahitaji wachezaji wa kuaminika kila mechi kama,Mane,vin dijk,A. Anord na Allisson
Mkuu kama unafatilia mechi za liverpool, hawa sio wachezaji wakuwa vizuri kila mechi... Yaani nina maanisha .... KEITA anakuwa mzuri mechi moja alafu mechi tatu mfululizo anaboronga vivyo hivyo kwa fabinho
Tunahitaji wachezaji wa kuaminika kila mechi kama,Mane,vin dijk,A. Anord na Allisson
Hongeren Liverpool, kwa kutwaa UCL ya 6
Kama uliangalia mpira utakubaliana na mim
Mkuu hilo unaliona kwa vile tumeshinda mechi nyingi.. Unajua team ikishinda watu hawaoni makosa ya mchezaji mmoja mmoja.. FABINHO anapata namba kwasababu ukimlinganisha na KEITA bora yeye, ila kiuhalisia huwezi kumlinganisha na kante au fernandinhoNiambie Keita nitakuelewa kwamba dogo amekuwa na msimu ambao sio mzuri lakini kwa Fabinho unakosea sana sababu Fabinho mpaka amesecure namba ya kudumu
Kwa lile eneo Fabinho anaweza kucompete hata na Busquets, Kante, Fernandinho etc


Mkuu hilo unaliona kwa vile tumeshinda mechi nyingi.. Unajua team ikishinda watu hawaoni makosa ya mchezaji mmoja mmoja.. FABINHO anapata namba kwasababu ukimlinganisha na KEITA bora yeye, ila kiuhalisia huwezi kumlinganisha na kante au fernandinho
Kama uliangalia mechi ya jana Salah hakupaswa kucheza dakika 90, na kama ile mechi ya Barcelona Salah angekwepo huenda tusingefanikiwa kufanya comeback
Kwa ufupi tunahitaji usajili wa maana ili ku-maintain status yetu... msimu ujao utakuwa mgumu zaidi, tunahitaji kwenda uwanjani kwa tegemeo moja tu la kushinda
Sawa mkuu hivyo unakubali yatubidi tufanye usajili wa maana?Mkuu Fabinho anacheza CDM ambapo kazi yake ni kukaba labda labda na kuunganisha timu katikati kurudi nyuma sasa vipi useme kuwa Fabinho anapwaya ? Fabinho anakaba kwa ufanisi, anamiliki Mpira vizuri kuliko hata Firmino n.k
Tukija kwa Salah ni kweli huyu mtu kaflop sana lakini katika hili Klopp anabeba lawama maana jamaa nyuma amewakosa watu waliomsaidia sana kama Coutinho,Chamberlain na sasa hivi anawekewa nyuma yake viungo wasio na uwezo halafu wachoyo kama Milner,Henderson na Wijnaldum
Sawa mkuu hivyo unakubali yatubidi tufanye usajili wa maana?


Asante sana!
Hivi kwa nini wadada wa humu JF ni Man United?
Sherehe mnafanyia wapi? Nialikeni nisije kuwa mzamiaji bure


