eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
EPL ndio mtaisikia tu dadeki
Ipo siku utajiua kwa kufikiria LiverpoolEPL ndio mtaisikia tu dadeki
Kama nitakuwa sijakosea anaitwa Justin KessyKuna mtangazaji mmoja wa Ea radio kipindi cha Kipenga alisema "Liverpool hii ikipenya kwa Napoli (last game at FORTRESS ANFIELD) tutamuona fainali maana ndio mambo yake kwenye UEFA",. Sijanukuu exactly.
Popote alipo namwambia "He will never walk alone".
conglats to meeeee!
Daaaaah
Hiyo congrats to meeeee inaonesha how happy ulivyo....hongera sana Don Clericuzio japo sijapenda kabisaaaaaa
Hiyo hongera nimekupa sababu umeiomba![]()
kwani liver imekukosea nini hadi usipende kabisa au wewe ni fan wa TOT?
Hiyo congrats to meeeee inaonesha how happy ulivyo....hongera sana Don Clericuzio japo sijapenda kabisaaaaaa
Hiyo hongera nimekupa sababu umeiomba![]()
kwani liver imekukosea nini hadi usipende kabisa au wewe ni fan wa TOT?
EPL ndio mtaisikia tu dadeki
Mkuu uwe unajitambua nafikiri kuna shida kichwani mwako ndio tumeshinda UCL title lakini hao waliokuwa wanamsema klop ndio wamesaidia even Liverpool echo walianza kusema mido ya brexit sio ya ushindiKLOPP OUT
KLOPP OUT
KLOPP OUT
KLOPP OUT
Mkuu uwe unajitambua nafikiri kuna shida kichwani mwako ndio tumeshinda UCL title lakini hao waliokuwa wanamsema klop ndio wamesaidia even Liverpool echo walianza kusema mido ya brexit sio ya ushindi
Poor management ya klop Jan - March ilitukost kukosa EPL title hata mwenyewe anakiri
1.upangaji kikosi wakati huo
2.kumtoa Cyclne kwa mkopo tukiwa na majeruhi wengi
Klop ni kocha wetu mzuri anapokosea lazima tumwambie watu hujifunza kutokana na makosa
Two straight finals tungepoteza Jana tungekuwa tumefali sana
Hongera sana wachezaji na benchi la ufundi THIS IS LIVERPOOL
Tumecheza fainali 2 kabla ya JanaU know better mkuu... Ajax mngewafunga kwa kuwazidi uzoefu ila fainali ingekuwa ya vuta-nkuvute na isingekuwa imedorora kama hii. Kweli mmeshinda ila fainali ni mbovu sana, spurs were shit.
Noted mkuuUnapigia Mbuzi Gita?
Hivi wewe ultimate shawahi kuona KLOPP OUT humu licha ya kuwa tunamlalamiki?
Nakushauri sherehekea Ubingwa achana na Wateja wa MIREMBE mkuu.
Klopp alipoteza 2013 na Bayern ya akina Ribbery na Robben wakiwa vijana,na Mueller kijanaMkuu uwe unajitambua nafikiri kuna shida kichwani mwako ndio tumeshinda UCL title lakini hao waliokuwa wanamsema klop ndio wamesaidia even Liverpool echo walianza kusema mido ya brexit sio ya ushindi
Poor management ya klop Jan - March ilitukost kukosa EPL title hata mwenyewe anakiri
1.upangaji kikosi wakati huo
2.kumtoa Cyclne kwa mkopo tukiwa na majeruhi wengi
Klop ni kocha wetu mzuri anapokosea lazima tumwambie watu hujifunza kutokana na makosa
Two straight finals tungepoteza Jana tungekuwa tumefali sana
Hongera sana wachezaji na benchi la ufundi THIS IS LIVERPOOL