Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Final ya kijinga kabisa,

Hata waliicheza pia nadhani ni viazii tu,

Haina mvuto,

Kweli nimeamin uefa tuwaachie hispania, kwa final kama hizi za kipuuzi, bora wawewanaangalia club za kufika final

Pumbavu sanaa
Champions league hua haiachiwi mtu,ukifunga vigogo wote ndio unachukua ubingwa.liverpool ndio bingwa wa ulaya haitabadilika hio
 
Kloop loose 6 final consecutively bila kupindisha maneno toka dortmund

2014,borrusi 0-buyern2. (german cup)

2015,borrusia 1-wolfubarg 3(german cup)

Badae akaja epl

2016,liverpool 1-man city 1(leagu cup) pelnaties, kina firmino na lalana walikosa

2016,liverpool 1-sevilla 3(europa)

2017,-no final

2018,liverpool 1-real madrid 3(uefa)

Kwa izoo record za final kloop anafika ila hachukui
So unategemea nin, kloop anamkosi trust me

Ndio anaenda kuonyesha ubabe kama sarri,

Ndugu zangu reds ufukuaji wa makaburi kama hivi si ni ruksa, hahaaa
 
Final ya kijinga kabisa,

Hata waliicheza pia nadhani ni viazii tu,

Haina mvuto,

Kweli nimeamin uefa tuwaachie hispania, kwa final kama hizi za kipuuzi, bora wawewanaangalia club za kufika final

Pumbavu sanaa
Ingekua fainali nzuri km spurs wangeshinda!! Mpaka sasa ungekua unamsifia Son na Pochetino, au ulitaka wachezaji wavunjane mabega ndo iwe fainal bora?!! Sisi fainali tulishacheza na Barca, jana tulikua na sherehe ya kukabidhiwa ndoo tu.
YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom