zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,322
- 9,771
Mkuu una mambo ya kisengerema kinoma, anyway YNWAKlopp bila BUVAC hawezi shinda lolote
BUVAC ndiyo kichwa cha Klopp
Kaondoka basi Klopp ajiandae kufukuzwa tu
Upuuzi mtupu!
Mkuu una mambo ya kisengerema kinoma, anyway YNWAKlopp bila BUVAC hawezi shinda lolote
BUVAC ndiyo kichwa cha Klopp
Kaondoka basi Klopp ajiandae kufukuzwa tu
Upuuzi mtupu!
Ha ha haaaa,uefa imeenda kwa world class players!..bingwa lazima uwe na mbwembwe kidogo 🤣kumbe bwana mashabiki wa liverpool wanajua KISWAHILI vizuri tu kumbe kingereza mnatoaga wapi mkishindaga utawasikia VVD-SALAH-MANE WORLD CLASS PLAYER daah ilibidi nakiona comment zenu tu naenda the gunners kupunga upepo
cityzen chairman am here
Final ya kijinga kabisa,
Hata waliicheza pia nadhani ni viazii tu,
Haina mvuto,
Kweli nimeamin uefa tuwaachie hispania, kwa final kama hizi za kipuuzi, bora wawewanaangalia club za kufika final
Pumbavu sanaa
Fainali tulishacheza na Barca. Jana sherehe tu ya kukabidhiwa ndoo. Kama hutaki basi jinyonge ufe.Final ya kijinga kabisa,
Hata waliicheza pia nadhani ni viazii tu,
Haina mvuto,
Kweli nimeamin uefa tuwaachie hispania, kwa final kama hizi za kipuuzi, bora wawewanaangalia club za kufika final
Pumbavu sanaa
Yule jamaa nahis nishabik wa man u
Nahisi sasa umeanza pole pole ile ahadi ya kumtukana mtu. 😀 😀
😂😂😂
Hiyo congrats to meeeee inaonesha how happy ulivyo....hongera sana Don Clericuzio japo sijapenda kabisaaaaaa
Hiyo hongera nimekupa sababu umeiomba 😁😁😁
Ooooooow, Fantastic news. Jana nilisinzia mkiwa 0-1
Congratulations on your well deserve victory!!!!!!!!
You are a CHAMPION,you are amazing, You are a superstar!!!. You are a true legend and inspiration to all us.
All your hard work, practice, commitment, prayers and all your efforts to improve your skills, have made you a Champion.
I am happy for your success.
chaliifrancisco
Don Clericuzio
pension
KING ngwaba
Malafyale
Ed n Edd nEddy
Manga ML
Et al
It's your time to pop open the champagne. Mchumia juani hulia kivulini. (You have wanted to win for a while)
Imebidi nilazimishe, hata ya kishingo upande inatosha. Maana najua ilivyokuuma.
Imeniuma kweli kweli
Ingetokea mistake jana matokeo yakawa kinyume sijui mngeeka wapi sura zenu kwa huu msimu
Mid mbona tunao mkuu Fabinho na keita labda ukiniambia tuongeze hata mmojaMsimu ujao ni msimu wa kutumia nguvu kubwa kwenye EPL zaidi.. Tujitaidi tusifungwe.. GUARDIOLA anataka aweke record england ya ku-dominate all domestic cups.. Liverpool ndio tunaweza kumzuia hakika
Nitafurahi tukichukua EPL na FA, kocha afanye usajili mzuri.. Tutafute m-badala wa salah na pia hatuna world class midfielders
We Are Champions of Europe.
brother naona ulikuwa huna subiri siku ukinyanyua kwapa unifateHa ha haaaa,uefa imeenda kwa world class players!..bingwa lazima uwe na mbwembwe kidogo 🤣
"Tunataka tuone EPL bwana hiyo uefa 2005 si tumechukua"
Sauti ya mlevi ilisikika