Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Enzi za ujana wa Beckham hujaona alikua moto sio kipindi cha Ronaldo tu.

Brazil pia niliipenda enzi za Ronaldo de lima na akina Rivaldo. Ila kwa sasa hata haina mvuto nimeitupa kule nikabaki na R madrid
Hapo naweza kukubali, hasa kama walijoin kipindi cha Ronaldo.

Nilikuwa na rafiki wa kike alikuwa Arsenal kwa sababu ya kumpenda Thierry.
 
Mkuu Fabinho anacheza CDM ambapo kazi yake ni kukaba labda labda na kuunganisha timu katikati kurudi nyuma sasa vipi useme kuwa Fabinho anapwaya ? Fabinho anakaba kwa ufanisi, anamiliki Mpira vizuri kuliko hata Firmino n.k

Tukija kwa Salah ni kweli huyu mtu kaflop sana lakini katika hili Klopp anabeba lawama maana jamaa nyuma amewakosa watu waliomsaidia sana kama Coutinho,Chamberlain na sasa hivi anawekewa nyuma yake viungo wasio na uwezo halafu wachoyo kama Milner,Henderson na Wijnaldum
Salah hajaflop mm nakataaa usiendeshwe na mshabiki za man utd ,,game change ukiangalia msimu huu ulikuwa mgumu sana kwamfano utasema aguero kaflop starling ameimprove au!?? Mpira saivi umekuwa wakasi na mgumu ndio maana hata top score wote wanachezea goal 22 ukilinganisha na msimu uliopita top score yupo 33 huko so ni swala mpira kubadilika.
 
Enzi za ujana wa Beckham hujaona alikua moto sio kipindi cha Ronaldo tu.

Brazil pia niliipenda enzi za Ronaldo de lina na akina Rivaldo. Ila kwa sasa hata haina mvuto nimeitupa kule nikabaki na R madrid

Usinikumbushe, Beckham alikuwa na swaga sana, kuna kipindi alikuwa anafuga nywele akawa ni kama mrembo hivi, baada ya kuoa ndiyo akanyoa. Akafanya kiduku WC 2002.

Jamaa alikuwa ana mvuto sana wa kupendwa.
 
Mkuu Fabinho anacheza CDM ambapo kazi yake ni kukaba labda labda na kuunganisha timu katikati kurudi nyuma sasa vipi useme kuwa Fabinho anapwaya ? Fabinho anakaba kwa ufanisi, anamiliki Mpira vizuri kuliko hata Firmino n.k

Tukija kwa Salah ni kweli huyu mtu kaflop sana lakini katika hili Klopp anabeba lawama maana jamaa nyuma amewakosa watu waliomsaidia sana kama Coutinho,Chamberlain na sasa hivi anawekewa nyuma yake viungo wasio na uwezo halafu wachoyo kama Milner,Henderson na Wijnaldum

Very true, hapo kwa Salah umegusa point kubwa sana.

Thank you, kuna watu hawamwelewi Salah, Salah siyo self creator, ni finisher.

Anapokuwa hana watu wa kumsaidia ili afanye finishing, struggle ni lazima.
 
Very true, hapo kwa Salah umegusa point kubwa sana.

Thank you, kuna watu hawamwelewi Salah, Salah siyo self creator, ni finisher.

Anapokuwa hana watu wa kumsaidia ili afanye finishing, struggle ni lazima.

Forward yeyote leo hii ili a perform anategemea sana watu nyuma yake ambao ni viungo. Firmino msimu huu kwenye ligi ana goli 12 wakati nilitegemea apande kutoka 15 za msimu uliopita afike 20 msimu huu
 
Forward yeyote leo hii ili a perform anategemea sana watu nyuma yake ambao ni viungo. Firmino msimu huu kwenye ligi ana goli 12 wakati nilitegemea apande kutoka 15 za msimu uliopita afike 20 msimu huu
Dunia ya saivi tunahitaji multipurpose players... Hii ndio sababu messi na ronaldo ni bora Team hata kama ikizidiwa wanaweza kusadia na sio kusubiri msaada
 
Forward yeyote leo hii ili a perform anategemea sana watu nyuma yake ambao ni viungo. Firmino msimu huu kwenye ligi ana goli 12 wakati nilitegemea apande kutoka 15 za msimu uliopita afike 20 msimu huu

Kuna exceptional players kama The Ronaldos (CR7 and R9) wanaweza kujitengenezea chances.

Ila aina ya Salah, Messi ni watu ambao lazima wawe kwenye system nzuri ili kuwa effective.

Ndiyo maana leo kila siku tunalalamika performance ya Messi kwenye National Team.
 
Dunia ya saivi tunahitaji multipurpose players... Hii ndio sababu messi na ronaldo ni bora Team hata kama ikizidiwa wanaweza kusadia na sio kusubiri msaada


Off course MKUU yaani multipurpose players hasa viungo ambao wana shinda sana magoli ni muhimu sana kwa mfano yanayowakuta Real Madrid ambapo katika Forward zake aliebaki na kiwango kizuri ni Benzema tu majanga zaidi ni kwamba hata viungo wake sio wazuri katika kumalizia ila kama angekuwa na viungo ambao wana uwezo mkubwa wa kufunga magoli kama Paul Pogba hali ingekuwa nafuu kidogo
 
Kuna exceptional players kama The Ronaldos (CR7 and R9) wanaweza kujitengenezea chances.

Ila aina ya Salah, Messi ni watu ambao lazima wawe kwenye system nzuri ili kuwa effective.

Ndiyo maana leo kila siku tunalalamika performance ya Messi kwenye National Team.

Of course hasa kwa case ya Messi simkumbuki kiungo wa maana hata mmoja nyuma yake katika national team

Wakati Catalonia alikuwa na Xavi, Iniesta wote hawa wakiwa ni World Class Players
 
Umepewa one night stand na Lulu umeshindwa kula mzigo leo hii umepata one night stand na Mariam Birian unajiona mwanaume mwenyewe


Oooops Sorry hongereni wakuu
 
Of course hasa kwa case ya Messi simkumbuki kiungo wa maana hata mmoja nyuma yake katika national team

Wakati Catalonia alikuwa na Xavi, Iniesta wote hawa wakiwa ni World Class Players

True, nasubiri kuona Ox Chamberlain atatusaidia vipi, ila kuna ukweli ambao nadhani ni wasiwasi wangu labda, nahisi Firmino either hachezi namba ambayo anakuwa effective au kachoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom