Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ooooooow, Fantastic news. Jana nilisinzia mkiwa 0-1
Congratulations on your well deserve victory!!!!!!!!
You are a CHAMPION,you are amazing, You are a superstar!!!. You are a true legend and inspiration to all us.
All your hard work, practice, commitment, prayers and all your efforts to improve your skills, have made you a Champion.
I am happy for your success.
chaliifrancisco
Don Clericuzio
pension
KING ngwaba
Malafyale
Ed n Edd nEddy
Manga ML
Et al

It's your time to pop open the champagne. Mchumia juani hulia kivulini. (You have wanted to win for a while)
 
Final ya kijinga kabisa,

Hata waliicheza pia nadhani ni viazii tu,

Haina mvuto,

Kweli nimeamin uefa tuwaachie hispania, kwa final kama hizi za kipuuzi, bora wawewanaangalia club za kufika final

Pumbavu sanaa
 
Msimu ujao ni msimu wa kutumia nguvu kubwa kwenye EPL zaidi.. Tujitaidi tusifungwe.. GUARDIOLA anataka aweke record england ya ku-dominate all domestic cups.. Liverpool ndio tunaweza kumzuia hakika

Nitafurahi tukichukua EPL na FA, kocha afanye usajili mzuri.. Tutafute m-badala wa salah na pia hatuna world class midfielders
 
Final ya kijinga kabisa,

Hata waliicheza pia nadhani ni viazii tu,

Haina mvuto,

Kweli nimeamin uefa tuwaachie hispania, kwa final kama hizi za kipuuzi, bora wawewanaangalia club za kufika final

Pumbavu sanaa
Wewe ndio wasema.. Hizo team za hispania zilijitoa zenyewe..?? barcelona angekuwa mzuri angefika fainali
 
Wewe ndio wasema.. Hizo team za hispania zilijitoa zenyewe..?? barcelona angekuwa mzuri angefika fainali
final gani ya vile mkuu


Mpaka unaamua kuchat na simu huku unaangalia mpira, nadhan mwakan hawazi ruhusu timu za england kufika final

Zimeonesha ujinga wao hadharan
 
Klopp bila BUVAC hawezi shinda lolote
BUVAC ndiyo kichwa cha Klopp
Kaondoka basi Klopp ajiandae kufukuzwa tu
Upuuzi mtupu!
 
final gani ya vile mkuu


Mpaka unaamua kuchat na simu huku unaangalia mpira, nadhan mwakan hawazi ruhusu timu za england kufika final

Zimeonesha ujinga wao hadharan
Wewe ndo mjinga sema tu unataka kujivika koti la kujua
 
Ukichanganya Barca na Liverpool HAMNA mchezaji hata mmoja wa Liverpool ataanza!
Barca wakaishia mikononi mwa Liverpool kwa 4-0
Tuangalie sana cha kuandika,tuweke akiba ya maneno

Am Liverpool,am mwekundu
 
Ooooooow, Fantastic news. Jana nilisinzia mkiwa 0-1
Congratulations on your well deserve victory!!!!!!!!
You are a CHAMPION,you are amazing, You are a superstar!!!. You are a true legend and inspiration to all us.
All your hard work, practice, commitment, prayers and all your efforts to improve your skills, have made you a Champion.
I am happy for your success.
chaliifrancisco
Don Clericuzio
pension
KING ngwaba
Malafyale
Ed n Edd nEddy
Manga ML
Et al

It's your time to pop open the champagne. Mchumia juani hulia kivulini. (You have wanted to win for a while)
What a compliment!
Thanks dada
Bado salamu tamu kama hizi toka kwa mkaanga sumu dada yangu everlenk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom