Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_5340.JPG
 
Ndio pengine ilitokea kwa sababu ya wachezaji kuvunjika moyo,, lakin pia haikuwa rahisi kushumbulia sana kwani yawezekana wangeacha gaps nyuma na kuambulia kuongezewa magoli zaidi ,, hivyo walicheza kwa tahadhari kubwa ndio mana hawakuonekana wakishambulia sana
Shuti la kwanza Spurs golini kwa Liverpool ni dakika ya 70
Spurs wanacheza kama headless chicken ndiyo eti wamecheza vizuri
 
Klopp kudadeki mwalimu aisee
Alijua kabisa Spurs watakuja na playbook ya Man City,kawaacha tu lkn hamna kufika kwenye 18 yetu
Shuti lao la kwanza kulenga goli ni dakika ya 68
Defense yetu ndiyo bora Ulaya kwa sasa

Mkuu ile defense aipanguki iliyokuwa epl ndio iliyopo uefa,uefa anaongezeka na allison becker tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom