Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nimeikopi mahala

Kama Manchester city watashinda ubingwa wa ligi kuu ya England klabu ya Leicester City watapata paundi milioni 5 kwaajili ya bonasi ya mauzo ya mchezaji Rihard Mahrez.

Manchester city itacheza na Leicester City Jumatatu kama Leicester City itashinda au kutoka sare itahatarisha mbio za ubingwa za Manchester city na hivyo kupelekea kutopata bonasi hiyo ya paundi milioni 5 kwani mkataba unasema Manchester City watalipa kiasi hicho ikiwa wataendelea kuwa na Mahrez na kushinda ubingwa.
Patamu hapo
 
Lolote linaweza tokea kwenye mpira nakubariana na ewew,ngoja tuone.

Mkuu Ngoja nikukumbushe kitu!

Sisi tuliyaona mapema haya kwasababu tunaamini Biashara ni Asubuhi.

Kipindi Cha January Wakati Klopp Anajaribujaribu Mechi tulipinga Vikali kutoa Draw na timu zilizojichokea! Lakini Munakumbuka Mulituambiaje?

Mulituambia kuwa "Nyinyi tatizo lenu Munataka Mushinde Kila Mchezo".

Mukaendelea kutwambia kuwa "Kutoa Sare baadhi ya game si mbaya, Hata Man City atadondosha Points".

Mara Mukasisitiza "Bado tupo Pazuri".

Sasa sisi tuliokuwa tukizilalamikia draw zisizo za lazima tuliamini tokea kipindi kile kuwa uzembe tunaoufanya utatucost baadae! Na tukajua kuwa tayari tumeshapoteza nafasi.

Sasa Mkuu Mulitulaumu kuwa 'tulitaka kushinda kila mechi'... Kwanini sasahivi na nyinyi munataka kushinda kila mechi? Si tuachie tu game ya mwisho tufungwe!

Sasa tuendelee kujisifia performance tu kwa kupost Articles za watu hapa! Eti tunaeka habari Guardiola anatusifia! Alaa! Yeye achukue kombe halafu sisi tujisifie eti tumemfukuza????? Kweli sisi ni Loserfools wanaotuita hawajakosea.

Nitaona watu ni wa ajabu sana kujisifia Msimu huu tumefanya vizuri wakati tukiwa ni Zero Trophy. Coz ninachoamini Mimi ni Makombe tu kwenye mpira na si kukusanya Points nyingi.

Hata tukimaliza ligi na Points 300 kama hatuna kombe basi kazi bure! Tutabakia kuwa sisi ni Loser tu.
 
Liverpool fc mwaionaje hali???

Kesho mnakamilisha ratba lakn sio kigezo cha messi kusitisha msako

Man city hayupo tayar kuwaachia ubngwa wa ligi (kila mtu ashinde mech zake)

Salah,mane na firminho hawatakua tayari kushuhudia mafanikio kwa majiran (wakiweka dau wanasepa)

Sasa kama msmu uliopita na msimu huu mlikua vzur na mmetoka patupu
Bas mjiandae miaka 10 tena ya ukame
Tukutane 2019

Narudi tena mwaionaje na hali????
 
Mkuu Ngoja nikukumbushe kitu!

Sisi tuliyaona mapema haya kwasababu tunaamini Biashara ni Asubuhi.

Kipindi Cha January Wakati Klopp Anajaribujaribu Mechi tulipinga Vikali kutoa Draw na timu zilizojichokea! Lakini Munakumbuka Mulituambiaje?

Mulituambia kuwa "Nyinyi tatizo lenu Munataka Mushinde Kila Mchezo".

Mukaendelea kutwambia kuwa "Kutoa Sare baadhi ya game si mbaya, Hata Man City atadondosha Points".

Mara Mukasisitiza "Bado tupo Pazuri".

Sasa sisi tuliokuwa tukizilalamikia draw zisizo za lazima tuliamini tokea kipindi kile kuwa uzembe tunaoufanya utatucost baadae! Na tukajua kuwa tayari tumeshapoteza nafasi.

Sasa Mkuu Mulitulaumu kuwa 'tulitaka kushinda kila mechi'... Kwanini sasahivi na nyinyi munataka kushinda kila mechi? Si tuachie tu game ya mwisho tufungwe!

Sasa tuendelee kujisifia performance tu kwa kupost Articles za watu hapa! Eti tunaeka habari Guardiola anatusifia! Alaa! Yeye achukue kombe halafu sisi tujisifie eti tumemfukuza????? Kweli sisi ni Loserfools wanaotuita hawajakosea.

Nitaona watu ni wa ajabu sana kujisifia Msimu huu tumefanya vizuri wakati tukiwa ni Zero Trophy. Coz ninachoamini Mimi ni Makombe tu kwenye mpira na si kukusanya Points nyingi.

Hata tukimaliza ligi na Points 300 kama hatuna kombe basi kazi bure! Tutabakia kuwa sisi ni Loser tu.
Kwahiyo unataka tusishangilie Wala kuomba tushinde Tena kisa tulipoteza point huko nyuma!!? Ushabiki Ni pamoja na kuwa nyuma ya timu vipind vyote tukiangalia yaliyotokea huko nyuma na hatuna uwezo wa kubadilisha lililopita unafikir inasaidia Nini!?
ILI MRADI KUNA MECHI BADO YA KUCHEZA NTAENDELEA KUWA NYUMA YA TIMU KWANGU YALIYOPITA HAYANA NAFASI,TULIPOTELEZA TUTAREKEBISHA MSIMU UJAO.
 
Wacha na Msimu ujao tuendelee kujenga timu
King, hii Liverpool ya mwaka huu ni bora kuliko Liverpool zote ndani ya miaka 10 iliyopita au zaidi. Ni bahati mbaya tu Liverpool bora imejengwa kipindi cha Man City bora ya PEP
Siamini kama hii hii Liverpool itaendelea kuwa bora mwaka kesho au kesho kutwa. Real Madrid na Barcelona wanawanyemelea vinara woote mliowatangaza.
Sala nasikia hana maelewano mazuri na Klopp na kwa hiyo kuna clabu kama Madrid watanusa huko, Wakitoka wachezaji wawili tu kuwa replace ni majaliwa. Mkiendelea kubaki na VVD na Salah msimu ujao basi ninyi ni wanaume kweli kweli
 
Aisee the evolution of Liverpool is so funy. From kujenga timu hadi kuwa mafisi. Maana mafisi ndo yanasubiri wakati wote mkono wa binadamu anayetembea udondoke ili yapate kitoweo. Nyie ni mafisi tu
 
Nimesoma hii makala...ni huruma tu imetawala
20190506_201715_rmscr-1.jpeg
 
Mkuu Ngoja nikukumbushe kitu!

Sisi tuliyaona mapema haya kwasababu tunaamini Biashara ni Asubuhi.

Kipindi Cha January Wakati Klopp Anajaribujaribu Mechi tulipinga Vikali kutoa Draw na timu zilizojichokea! Lakini Munakumbuka Mulituambiaje?

Mulituambia kuwa "Nyinyi tatizo lenu Munataka Mushinde Kila Mchezo".

Mukaendelea kutwambia kuwa "Kutoa Sare baadhi ya game si mbaya, Hata Man City atadondosha Points".

Mara Mukasisitiza "Bado tupo Pazuri".

Sasa sisi tuliokuwa tukizilalamikia draw zisizo za lazima tuliamini tokea kipindi kile kuwa uzembe tunaoufanya utatucost baadae! Na tukajua kuwa tayari tumeshapoteza nafasi.

Sasa Mkuu Mulitulaumu kuwa 'tulitaka kushinda kila mechi'... Kwanini sasahivi na nyinyi munataka kushinda kila mechi? Si tuachie tu game ya mwisho tufungwe!

Sasa tuendelee kujisifia performance tu kwa kupost Articles za watu hapa! Eti tunaeka habari Guardiola anatusifia! Alaa! Yeye achukue kombe halafu sisi tujisifie eti tumemfukuza????? Kweli sisi ni Loserfools wanaotuita hawajakosea.

Nitaona watu ni wa ajabu sana kujisifia Msimu huu tumefanya vizuri wakati tukiwa ni Zero Trophy. Coz ninachoamini Mimi ni Makombe tu kwenye mpira na si kukusanya Points nyingi.

Hata tukimaliza ligi na Points 300 kama hatuna kombe basi kazi bure! Tutabakia kuwa sisi ni Loser tu.
duu bro umenikumbusha kwa pamoja tuliasapoti Brexir pale Ethad na baaada ya gemu ile kutugeuka mbaya tukajua hatuwezi shinda lolote tukiwa na Brexit kama chaguo la kwanza na tangu siku hio mpaka leo msimamo wangu ni ule ule wt Brexit n Lovren uwanjani ni ngumu kua na uhakika wa kombe lolote...

sitokaa nisahau Hendo kucheza RB huku Klopp akimtoa kwa mkopo Clyne..

sitokaa nisahau gemu za kushinda aafu unamuona Lallana 1st 11 kwa kweli...


msimu huu Klopp ndio katufiksha hapa pa kupiga ramli wakati hii EPL ilikua mapema ingeshatua Anfield....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom