Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool ni team ya aina yake, ni team yenye maajabu yake, uliza legend yeyote duniani atakueleza.

Liverpool ni team isiyotabirika na imekuwa aggressive sana hasa unapokuja kwenye mashindano ya mabingwa ulaya.

Sio tamaduni ya liverpool kutolewa nusu fainali, King of comeback ni Liverpool, Libery wa Bayern aliwah kukili kuwa moja ya uwanja asiopenda kucheza ni ANFIELD, ndomana kile kimsemo kinachosema "This is Anfield" hakijawah kuja kwa bahati mbaya, atmosphere ya Anfield ni zaidi ya jehanamu.

Tukutane jumanne hapa mtaenda kuniambia.
Hamtaamin kipigo nje ndani


Poleni sanaaa
 
Hizi comment za liverpool fans nabaki nacheka tu,

Wanapeana moyo mpaka wanaongea vitu ambavyo haviwezekani

Sioni kabisa namna ya liverpool kupiga comeback 4-0 barcelona, impossible
 
Hizi comment za liverpool fans nabaki nacheka tu,

Wanapeana moyo mpaka wanaongea vitu ambavyo haviwezekani

Sioni kabisa namna ya liverpool kupiga comeback 4-0 barcelona, impossible

Mbona unaumi/mbona unateseka kama aiwezekani?
 
Acheni kuota mchana nyie mbayuwayuu hahaaa


Mpaka naona aibuu aisee

Ujui mpira wewe mbona msimu ulipita barca alishinda 4-1 nyumbani , mechi ya pili nyumbani kwa roma akafa 3 bila.sasa kama anafungwa na timu ndogo kama roma,sasa Liverpool si atakuchakaza.
 
IMG_5178.JPG
 
Ujui mpira wewe mbona msimu ulipita barca alishinda 4-1 nyumbani , mechi ya pili nyumbani kwa roma akafa 3 bila.sasa kama anafungwa na timu ndogo kama roma,sasa Liverpool si atakuchakaza.
Nimegundua tatizo la liverpool fans wanaamin historia zinaweza kuwasaidia,

Ni aibu kubwa kuamin mambo yaliyopita yanaweza kuleta matokeo chanya, hasa kwenye mpira

Kujituma ndio kutaleta matokeo na sio historia ya waliifanya wenzio?

Walio piga comeback roma huko liverpool wapo,? Au ndio watacheza j nne? S

Shame on you
 
nilipokuja kugundua mpira kitu nuksi - mashabiki wa liverpool walisema watachukua epl na uefa -hivi unajua now wanasemaje ??

wanasema hivi"
zimebaki mechi mbili epl anything can happen daah noma wakati walisema before wao mabingwa
Leo ndiyo umewajua?
 
Liverpool ni team ya aina yake, ni team yenye maajabu yake, uliza legend yeyote duniani atakueleza.

Liverpool ni team isiyotabirika na imekuwa aggressive sana hasa unapokuja kwenye mashindano ya mabingwa ulaya.

Sio tamaduni ya liverpool kutolewa nusu fainali, King of comeback ni Liverpool, Libery wa Bayern aliwah kukili kuwa moja ya uwanja asiopenda kucheza ni ANFIELD, ndomana kile kimsemo kinachosema "This is Anfield" hakijawah kuja kwa bahati mbaya, atmosphere ya Anfield ni zaidi ya jehanamu.

Tukutane jumanne hapa mtaenda kuniambia.

Kwa mpira mbovu aliocheza barca nyumbani kwake yaani pale anfield anakufa mapema,watu hawata amini.

Me naamini 100% anfield pale barca anakufa tunatinga fainali
 
Wana Liverpool HALISI,tuna game ngumu na NC muda huu!
Tuungane tuishangilie team yetu
Umoja wetu ndiyo nguvu,waacheni Liverpool FEKI waitukane team
In Klopp,we trust
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom