Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Hamtaamin kipigo nje ndaniLiverpool ni team ya aina yake, ni team yenye maajabu yake, uliza legend yeyote duniani atakueleza.
Liverpool ni team isiyotabirika na imekuwa aggressive sana hasa unapokuja kwenye mashindano ya mabingwa ulaya.
Sio tamaduni ya liverpool kutolewa nusu fainali, King of comeback ni Liverpool, Libery wa Bayern aliwah kukili kuwa moja ya uwanja asiopenda kucheza ni ANFIELD, ndomana kile kimsemo kinachosema "This is Anfield" hakijawah kuja kwa bahati mbaya, atmosphere ya Anfield ni zaidi ya jehanamu.
Tukutane jumanne hapa mtaenda kuniambia.
Poleni sanaaa
