OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Hahahahah babu babu ...sisi Liverpool HALISI huwa tuna imani kubwaaKlopp ni definition ya soccer.... Nimemaliza
Shikamoo the Kop! Shikamoo mwenyewe wallah!



Hahahahah babu babu ...sisi Liverpool HALISI huwa tuna imani kubwaaKlopp ni definition ya soccer.... Nimemaliza
Shikamoo the Kop! Shikamoo mwenyewe wallah!



We ni MUFC fan lkn utakuwa umefurahi sana kiaina rohoni, maana hivi karibuni timu Za UK huwa Zadharaurika sana na Za Spain ktk UEFA Champions league![]()
Tunafukua makaburi mkuu uliona mbali kwa kiwango walichoonesha Barca mechi ya kwanza.Jana nimechakazwa balaaaaa, sokoine nilitoka bila, camp nou nako but mm bado na uhakika Liverpool atampiga Barcelona na kumtoa kwenye mashindano, piga ua Liverpool anaenda fainali
Kwahesabu za harakaharaka majogoo tumeaga mashindano,nivigumu sana mechi ya marudiano kumpiga Barca 4 bila labda yule mwanga Mesi awe amekufa au amepata ulemavu wa kudumu.
Hongereni sana Liverpool fans kwa kurejesha ile miujiza ya 2005 dhidi ya AC Millan

Mjinga tu huyo,akapige kelele huko simbaHaji Manara
Ha ha haaaThen what?View attachment 1091337
Hahahahaahaha eti mwanamke mlevi hahahahahaha....
Come on Liverpool![]()
Tunaweka kumbukumbu sawa mkuu, umetisha.Mechi ya marudiano Liverpool 4 - 0 Barcelona, hii iwekwe ktk kumbukumbu ili Mawatu yaaibike vzr.
Asante sana bro kakaHongereni sana Liverpool fans kwa kurejesha ile miujiza ya 2005 dhidi ya AC Millan![]()


OlaHahahahaahaha eti mwanamke mlevi hahahahahaha....
Come on Liverpool![]()


Ha ha ha tumefungwa kihalali pia selection ya timu nayo imetuangusha lazima tukubal wana Liverpool wenzangu barca ipo juu zaidi yetu na tumeona zile kelele zetu toka mwaka Jana nakumbuka tulisema maneno ya kejel juu ya barca lakn ukwel timu za Spain huwa hatuziwez fuatilia final ya Europa chn ya huyu klopp tulipigwa final uefa Madrid akatupiga Leo semi final uefa barca anatuweka
Tunafukua makaburi mkuu uliona mbali kwa kiwango walichoonesha Barca mechi ya kwanza.