Messi ni shida, Liver walikuwa wanaenda vizuri na karibu wasawazishe goli lile la Suarez ila Messi dk ya 75 kaanza mambo yake VVD alidhani mesi anaokoa kumbe anapeleka mpira golini kwa kifua na ile free kick, niliona kama inakuja upande niliokaa nje ya uwanja mara ikarudi kwenye angle na Alisson (combined with Degea na Kepa) wasingeweza kuufikia ile kick
Ngoja niwachekeshe, Lile goli la Suarez VVD alidhani Suarez anatoroka uwanjani kumbe alikuwa anaenda kufunga, hii mambo ya kudhania mbaya sana. Magoli yote mawili VVD angeweza kuyazuia ila basi tu, ile nishani ya FA sijui ndio imemlevya!