OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Mzee mama wewe kama fan kindak kindak wa Madirid na Manure ..unajisikiaje na ushindi wa Liverpool ..usiotarajiwa na wengi?Man of the match origi
Mzee mama wewe kama fan kindak kindak wa Madirid na Manure ..unajisikiaje na ushindi wa Liverpool ..usiotarajiwa na wengi?Man of the match origi
Hamna Mtu yoyote duniani aliyeamini kuwa tunaweza kumtoa barca baada ya zile goli 3 sio kocha,shabiki wala mchezaji Wa Liverpool aliye kuwa uwanjani
Wanachukulia wapi hio eplAta jumapili wanachukua EPL Champion
Mkuu Hutu mtu naona kakukera Sana manana since leaving kumwogesha matusi hivi
Hata EPL inawezekana pep gadiola kishepata wenge huko alipoEPL apo uwongo bana ..uefa iyo komaeni..![]()
Mzee mama wewe kama fan kindak kindak wa Madirid na Manure ..unajisikiaje na ushindi wa Liverpool ..usiotarajiwa na wengi?
Na ndio kilichowasaidia, walikuwa hawana cha kupoteza yanHamna Mtu yoyote duniani aliyeamini kuwa tunaweza kumtoa barca baada ya zile goli 3 sio kocha,shabiki wala mchezaji Wa Liverpool aliye kuwa uwanjani
Hahahahaha looserfoolSio looserpool tena au imebadilika,andika unayoandika kila siku.






Barca wanaenda kutafuta draw pale ..ci unajua Anfield ni uwanja m'gumu bana![]()



Yule jamaa mtoa matusie cjui ataficha wapi sura yake,asirudi tena humu,alikua anaita watu wavuta bangi.sasa cjui leo kavutishwa yeyeMechi ya kwanza Baada ya pale nou camp,nilisema kama tutapata goal dak10 za mwanzo tuta blow zeia my mind away without magic,kuna mtu akaniambia navuta bangi.
Nipo narudi kuitafuta hiyo post
Anfield is the dream land
Achana naye Kaka, hongereni sana kutinga fainali LiverpoolMechi ya kwanza Baada ya pale nou camp,nilisema kama tutapata goal dak10 za mwanzo tuta blow zeia my mind away without magic,kuna mtu akaniambia navuta bangi.
Nipo narudi kuitafuta hiyo post

Atupe kakombe japo kamoja wallah. Kama haka kameshafika mlangoni kabisa...JURGEN NORBET KLOPP
TELL YOU WHAT? HE'S THE BEST MANAGER ON PLANET EARTH RIGHT NOW.
AND, ITS GOING TO STAY THAT WAY FOREVER.
THE BEST MANAGER TO EVER COACHED THIS BEAUTIFUL GAME.
PERIOD.
Hahahaha hata nami huwa simwelewi huyu mtu, kwetu huwa anatukana hasa tunapokwama wakati mwingine basi ndo hivyoUkome na kiherehere chako sasa sijui utaamia timu gani maana unahama timu hadi uhakikishe unapata kombe