Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Malafyale kiongozi wetu wa liverpool KHALISI wewe ulituahidi tutabeba EUFA na EPL na mpaka sasa hatuna matumaini ya kubeba chohote apo. Tena ulitupa uhakika wa kwamba Klopp huwa akosei yeye anajua sokker mgt zaid yetu; tulivyotoa zile draw mfululizo wale Liverpool FEKI walimjia Klopp juu wakitamani ata kumla nyamalakini wewe Liverpool KHALISI ulikuwa upande wa klopp muda wote ...sasa mkuu maji yanaelekea kuzidi unga na ulichotuahidi hakina uwakika wa kutimia tena. Sisi followers wako tutaficha wapi sura zetu maana tulitamba mtaani kuwa tutapita na EPL na UEFA....

JE? Prezidaa tutapata chohote msimu ili tuendele kukuamini?
 
FB_IMG_15571790172223534.jpeg

Game iliendelea
 
Umepanic braza Relax.. Nakukumbusha ww ulianza kwa Totts ukaja kwa Man utd then kwa Bunley leo ulikua Leicester.. huu wako tunaitaje ukiachana na lile jina la UKAHABA
Umemjibu vizuri sana. Leo James Maddison na Kelechi Iheanacho wamemuangusha.
 
Kinachonishangaza sasa hivi mashabiki wa Arsenal, Manchester United wamekuwa kama Malaya wa Sinza kila mwanaume wanamtaka wao sasa hivi kila timu wanashabikia kama Mazezeta vile.
Hahahahaa

Wanatafuta faraja mkuu...hahahaha
 
Malafyale kiongozi wetu wa liverpool KHALISI wewe ulituahidi tutabeba EUFA na EPL na mpaka sasa hatuna matumaini ya kubeba chohote apo. Tena ulitupa uhakika wa kwamba Klopp huwa akosei yeye anajua sokker mgt zaid yetu; tulivyotoa zile draw mfululizo wale Liverpool FEKI walimjia Klopp juu wakitamani ata kumla nyamalakini wewe Liverpool KHALISI ulikuwa upande wa klopp muda wote ...sasa mkuu maji yanaelekea kuzidi unga na ulichotuahidi hakina uwakika wa kutimia tena. Sisi followers wako tutaficha wapi sura zetu maana tulitamba mtaani kuwa tutapita na EPL na UEFA....

JE? Prezidaa tutapata chohote msimu ili tuendele kukuamini?
Maji yakizidi unga tutakunywa uji tu kwani shida iko wapi
 
Malafyale kiongozi wetu wa liverpool KHALISI wewe ulituahidi tutabeba EUFA na EPL na mpaka sasa hatuna matumaini ya kubeba chohote apo. Tena ulitupa uhakika wa kwamba Klopp huwa akosei yeye anajua sokker mgt zaid yetu; tulivyotoa zile draw mfululizo wale Liverpool FEKI walimjia Klopp juu wakitamani ata kumla nyamalakini wewe Liverpool KHALISI ulikuwa upande wa klopp muda wote ...sasa mkuu maji yanaelekea kuzidi unga na ulichotuahidi hakina uwakika wa kutimia tena. Sisi followers wako tutaficha wapi sura zetu maana tulitamba mtaani kuwa tutapita na EPL na UEFA....

JE? Prezidaa tutapata chohote msimu ili tuendele kukuamini?
Liverpool HALISI tuwe watulivu TUKO
VIZURI ,tuachane na FEKI wanaotukana wachezaji wetu, hata mungu wao PEP ametolewa uefa kwa aibu, kwani nani adondoshi point City hii tayari IMEJICHOKEA inashinda goli moja moja,itapoteza kwa Brighton, MAMBO MAZURI YANAKUJA, tujiandae KUSHONA SUTI.Mwisho wa kunukuu nimemkumbuka mpambanaji Malafyale
 
Ilee draw mliyotoka na man u itawagharimu sanaa, mlikuwa mnacheka tu wakati nafasi mlikuwa nazo za kushinda


Ile game majeruhi walikuwa wengi sana kiasi kwamba game lilikuwa lenu, lakin klopp alipuuzia, nadhani mpaka sasa anajuta


Ona sasa mnaweweseka,
wewe umesahau Klop alisema wazi majeruhi ya UTD yalifanya liverpool itoke kwenye game plans, wachezaji wa Liverpool walishikwa na bumbuwazi kuona UTD wachezaji wake wanaumia hovyohovyo
 
Wengi humu hawajamfatilia klopp vizuri. Huyu Mwl hana tofauti sana Mwl Wenger,yeye hupendelea wachezaji waso na majina ili aje awanoe washine na wacheze mpira mzuri kisha ikiwezekana awauze. Ni mzuri sana kwa timu zenye kupenda pesa zaidi kuliko mpira. Alikuwa hivyo borusia na sasa yupo hivyo Liverpool. Kwa hyo masuala ya makombe msitegemee sana ila tegemeeni kucheza mpira Wa kuvutia,kuibua vipaji na majina yasojulikana na kuwauza kwa mihela mingi. Hapo bodi itafurahi sana na itafikiria haraka kumpa huyo msela mkataba mnono zaidi
 
Kinachonishangaza sasa hivi mashabiki wa Arsenal, Manchester United wamekuwa kama Malaya wa Sinza kila mwanaume wanamtaka wao sasa hivi kila timu wanashabikia kama Mazezeta vile.
Mbona umepanik kiongozi,

Kwan hujazoea kutoka kapa,mbona kwenye jukwaa la arsenal na man u unapayuka sana,kwann unakuwa mkali ?

Hahaaaaa

30yrs loading.....
 
wakati messi hakucheza mechi ya laliga wikiend iliyopita ili kujiandaa na mechi ya liverpool....wao liverpool wanawapumsha salah na filmino kwa kutocheza mechi ya kesho ili kujiandaa na mechi ya wolvers dahhhhhh hii dunia mbona kama inavibrate maana huku sio kuzunguka
salah na filmino majeruhi hata wolves salah hatacheza
 
Liverpool HALISI tuwe watulivu TUKO
VIZURI ,tuachane na FEKI wanaotukana wachezaji wetu, hata mungu wao PEP ametolewa uefa kwa aibu, kwani nani adondoshi point City hii tayari IMEJICHOKEA inashinda goli moja moja,itapoteza kwa Brighton, MAMBO MAZURI YANAKUJA, tujiandae KUSHONA SUTI.Mwisho wa kunukuu nimemkumbuka mpambanaji Malafyale

Ndiyo anamalizia hatua za mwishomwisho kushonesha Suti yake ya Ubingwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom