Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
LoserfoolView attachment 979007
Kushinda Mechi Moja ishakua Balaa
LoserfoolView attachment 979007
Vip kwani umepata mfadhaiko wa nafsi?Kushinda Mechi Moja ishakua Balaa
Harry Wilson ⚽⚽⚽⚽ this season from outside box (Direct Free kick).
LoserfoolView attachment 979007
Ndiyo mlichobakisha hicho, mpira umewashinda, ramli zote zimeshindwa kufanya kazi, mmebaki na vioja na vihoja kama hivyo tu.
Sisi tunasema it's coming HOME...!
mkuu Laporte ni bonge la beki, wanaomwangusha ni akina Otamendy n guys Delphi ni uchochoro nashindwa kuelewa timu nyingi huwa hawaoni weak link ya back four Mancty ni Delphi kwa sasa....Yani ukuta Mzima Wa Man City ni Laporte peke Yake ndiye Mwenye Uhai..
Lakini Otamendi, Jones na Walker ni uchochoro Wa kujipigia tu..
Sasa hapa tuwapatize kabla hajarudi Mendy na Fernandinho...
Na vile vile ni kwamba Bado KDB hajawa sawa Kutoka kwenye injury... Kwahiyo tuwapatize pia kabla KDB, Aguero na Silva hawajakaa sawa.
Coz si kwamba Guardiola kaishiwa mbinu! Bali Guardiola atabaki kuwa ni Best Coach in the World bali ni Majeruhi tu yamemuandama Kwa Wachezaji Wake.
Relax broh, haina haja ya kupanic mambo madogo haya
come May the whole of Anfiled we b full bright moon guys celebratin th 19th Epl trophy...As Kops, we are very relaxed ndiyo maana mpaka saizi ni 19-3-0!
Jumamosi tunaitafuta 20-3-0.
Sisi tunasema it's coming HOME.
Delph jana kala straight red card, so hatakuwepo hiyo tarehe 3. Kama mendy hatakua bado hajapona sijui atamweka nani. Danilo may be?mkuu Laporte ni bonge la beki, wanaomwangusha ni akina Otamendy n guys Delphi ni uchochoro nashindwa kuelewa timu nyingi huwa hawaoni weak link ya back four Mancty ni Delphi kwa sasa....
KDB na Silva ni pengo kwao mpaka washika rythm na Aguero pia sisi hao tumewaacha mbali...
Naamini Jan hii wataingia sokoni maana bila Fernaditho jamaa wanapwaya vimbaya sana na umri majeruhi nayo yanamwadama bila kusajili hivi vilpigo kwao zitaedelea...
hii kwetu ni "angels kiss" hivyo tukazane kupata pointi 3 kila mechi na tuzidi kuwaacha hukooo mbali kabisaa wakisusua maana siku wakikaa poa itakua 5G tena...
Sure jembeMkuu kinachochekesha ligi ya uingereza. Unaweza ukashinda game zote hizo au ukatoa draw moja wapo ila kuna siku unaweza shangaa Crystal Palace anakuja Anfield anakufunga au hata Carfiff akaja kutoa draw kwako. Ndio hapohapo ukaanza kupznguzwa kasi. Hiyo ndio EPL
Delph jana kala straight red card, so hatakuwepo hiyo tarehe 3. Kama mendy hatakua bado hajapona sijui atamweka nani. Danilo may be?
Waumie wote tuKuna Dogo flani hivi anaitwa Zincheko last season alikuwa akigaiwa Beki 3
Sasa kama hawajamtoa kwa pengine atacheza yeye coz Mendy Ni Spana mkononi.
Ok, kama ni huyo atakuwepo coz jana nimeona jina hilo kwenye sub za man cityKuna Dogo flani hivi anaitwa Zincheko last season alikuwa akigaiwa Beki 3
Sasa kama hawajamtoa kwa pengine atacheza yeye coz Mendy Ni Spana mkononi.
Moreno hakupaswa Kusema Maneno Haya!
Naona anataka kufuata Nyao za Sakho badala ya kuondoka LFC kama Legend.
"I disliked Klopp's decision because I was training but when I returned he only wanted Robertson.
"My relationship with Klopp hasn't changed but since this injury, I didn't have a meeting with him but our relationship is normal.
"I disliked the way that Klopp has treated me but I understand his situation that he can't change [Robertson] because the team is winning."
Moreno hakupaswa Kusema Maneno Haya!
Naona anataka kufuata Nyao za Sakho badala ya kuondoka LFC kama Legend.
"I disliked Klopp's decision because I was training but when I returned he only wanted Robertson.
"My relationship with Klopp hasn't changed but since this injury, I didn't have a meeting with him but our relationship is normal.
"I disliked the way that Klopp has treated me but I understand his situation that he can't change [Robertson] because the team is winning."