Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ilee draw mliyotoka na man u itawagharimu sanaa, mlikuwa mnacheka tu wakati nafasi mlikuwa nazo za kushinda


Ile game majeruhi walikuwa wengi sana kiasi kwamba game lilikuwa lenu, lakin klopp alipuuzia, nadhani mpaka sasa anajuta


Ona sasa mnaweweseka,
 
Sis kama mashabik wa Liverpool, tunasema huu ubingwa wa ligi na uefa tumejikosesha makusudi
 
Kinachonishangaza sasa hivi mashabiki wa Arsenal, Manchester United wamekuwa kama Malaya Sinza kila mwanaume wanamtaka wao sasa hivi kila timu wanashabikia kama Mazezeta vile.

Umepanic braza Relax.. Nakukumbusha ww ulianza kwa Totts ukaja kwa Man utd then kwa Bunley leo ulikua Leicester.. huu wako tunaitaje ukiachana na lile jina la UKAHABA
 
Hahaha, mwenzio hatumwoni leo, mzee wa nani hayaogopi majogoo?
Hahaha, mwenzio hatumwoni leo, mzee wa nani hayaogopi majogoo?
hahahahahaha yupo mkuu ila ametingwa na shughuli za kimaendeleo si unajua maendeleo hayana chama so tukikosa ubingwa hapa tusione aibu kwenda kule viunga vya emirates kusheherekea ubingwa wao wa europa....

teamMAENDELEO_HAYANA_CHAMA
 
hahahahahaha yupo mkuu ila ametingwa na shughuli za kimaendeleo si unajua maendeleo hayana chama so tukikosa ubingwa hapa tusione aibu kwenda kule viunga vya emirates kusheherekea ubingwa wao wa europa....

teamMAENDELEO_HAYANA_CHAMA
Itabidi mtutoe kimaso maso mashabiki wa EPL, mchukue hiyo ndoo angalau.
 
Kinachonishangaza sasa hivi mashabiki wa Arsenal, Manchester United wamekuwa kama Malaya wa Sinza kila mwanaume wanamtaka wao sasa hivi kila timu wanashabikia kama Mazezeta vile.
umesahau Barcelona hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom