Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

wakati messi hakucheza mechi ya laliga wikiend iliyopita ili kujiandaa na mechi ya liverpool....wao liverpool wanawapumsha salah na filmino kwa kutocheza mechi ya kesho ili kujiandaa na mechi ya wolvers dahhhhhh hii dunia mbona kama inavibrate maana huku sio kuzunguka
Salah na filmino ni wagonjwa mzee
 
Keep your heads high people.
the boys gave us a good fight against Rafa's Newcastle.
lets support them until the last drop.
if they still believe, the least we can do is to try and believe aswell.
Yes, We're trying to break the boulder with eggs now, but lets just beat Wolves this weekend.
wameanza mkuu Papupi
 
Salah na filmino ni wagonjwa mzee
unajua behind the scene mkuu hilo ni pichapicha tu washajua kuwa ni kwishnehiy so hakuna kupoteza nguvu nyingi bora wawekeze nguvu epl kuliko uefa kama huamini kesho ataanza hendo,origi,xhakir ila gem ya wolves ataanza salah ,filmino na mane
 
wakati messi hakucheza mechi ya laliga wikiend iliyopita ili kujiandaa na mechi ya liverpool....wao liverpool wanawapumsha salah na filmino kwa kutocheza mechi ya kesho ili kujiandaa na mechi ya wolvers dahhhhhh hii dunia mbona kama inavibrate maana huku sio kuzunguka
Liverpool wamechanganyikiwa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom