adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 15,575
- 33,983
Eti NiNi?Jaman amkeni amkeni kapigwa tena...
Eti NiNi?Jaman amkeni amkeni kapigwa tena...
HahahahahahahaMkuu msimu huu hubebi chochote ,nilikwambia acha ujuaji tulia ,kazi kunisumbua kwenye Uzi wetu
Nyambaf
3-0 , EPL man city hapotez kitu
dembele na semedo wangetulia leo mtu angelula sita.
hawa wamekosa magoli mzee wangu anafunga.
Kafanya nini kwani?Tumefungwa hii game sababu ya klopp
Dahinauma sana watu wamekomaa mpaka mei kisha vikombe vyote vinapukutika mei.




Nilisema kama nawaona hawa ndege aina ya kuku wakikosa kila kitu awamu hii tena.ukifungwa bwana hadi mashabiki wenye timu mbovu - wanaona ndo wakati wa kupunguza machungu
#arsenal fans
#real madrid fans
#chelsea fans
#red devil fans
Ukweli ni kwamba Liver walicheza vizuri. Tofauti ni kwamba kwenye viwango vya washambuliaji wa Liver na Barca. Huwezi kumlinganisha Suarez na Mane au Messi na Salah
Short on target za Liver 5 , Goals =0
Short on target za Barca 4, Goals 3
Hapo ndio tofauti
wewe andika ya salah mimi nimeandika ya barcelona!Hata sarah angetulia mbona angefunga,au unafikilia mpira umeangalia peke yako?








Mnakomaa mpk Mei alafu vikombe vyote mnapoteza within 2 weeks.. Hii haina tofauti na kujifunika shuka alafu unajamba![]()
Unamaanisha work done yao Msimu huu itakuwa = O.0000000inauma sana watu wamekomaa mpaka mei kisha vikombe vyote vinapukutika mei.
Hahahahahahaha kafungwa tenaaaaaaaJaman amkeni amkeni kapigwa tena...




angetakiwa atumie ile tuzo aliyopewa kuzuia goli
hahahahaha Pierre super sub iyoooKwenye PS Loserfools Wanaongoza 4 - 0
Pierre likwidi kapiga Hat trick moja likifungwa na salah













Vipi mkuu dawa ipo? hehehehemuda utasema hawa dawa yao tunayo watatafutana na mabeki wao wa kuungaunga..
Yan Higuan angefunga kama 2 na matokeo yangeisha 3-2. Higuain ni level nyingn, barca leo kama cyo kipigo bas mech ingeisha drooMungekuwa na ntu kama Higuan au Hazard msingepigwa nyingi ivyo..hahahahahahahaha