Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Mpira haupo hivyo mpira dk90,kikosi hicho hicho ndio kimeitoa huyo man city,an Jana nakukumbusha alieshinda Ni man city sio tothn so nae anaeweza kutokubali kupigwa Mara mbili mfululizo...na ili mradi Brendan Rogers bado hajachexa na Hawa watu bado nafasi ipo..
Wewe unaweka matumaini ya mwenzio kupoteza, are you sure kwamba utashinda zote zilizobaki?