OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Bacra ni unstoppable team ..wanakuja!Wamekaza au?
Bacra ni unstoppable team ..wanakuja!Wamekaza au?
Mimi Nitabeba Europa, kitendo cha kung'ang'ania makombe mawili mtajikuta mnapoteza yote..
Hahaaaaa olachuga bhanaKitendo cha kuifunga Chelsea nimeamini mna kikosi bora sijapata ona, hongereni kwa ushindi dhidi yetu ..sasa ni kazi kwenu kuchagua ni kombe gani mnyanyue.
Liverpool 2-0 Chelsea
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Nitabeba Europa, kitendo cha kung'ang'ania makombe mawili mtajikuta mnapoteza yote..
Dude unanifurahishaga sana duhWeekend hii City anaenda kupigwa kipigo kitakatifu na spurs.
Liverpool tunaenda kukaa on top with 5 points clear ahead of manshit.
May 13 tutaenda kukabidhiwa mzigo.
tutazuia mipira isifike kwa Messi hayo ushoga hayatuhusu....Messi hawezi zuiwa na uyo shoga mwenye upara
arsenal kanifunga final moja tu FA ..ile Community Shield sio ya kuhesabu..Omba sana Arsenal atolewe kabla hajafika Fainali, Lakini akifika Fainali kwa Genge lenu lile usitegemee kumaliza hata dakika 90 bila ya Arsenal kukabidhiwa Kombe.
Coz kwa Fainali za hivi karibuni umekuwa ni Mteja wa Arsenal Mkubwa wa Kumkabidhi kombe.
kila mmoja yetu anaipenda timu hii kwa staili yake, wapo wanaona wengine ni plastic fans na kadhalika huo ni mtazamo wao na binafsi haunipunguzi lolote, nitazidi na nitaipenda Liverpool daima...Tunajitahid kuwa kitu kimoja ila kunampuuzi mmoja anajaribu kutukera wakuu kumpuuzia huyu kenge maana anajifanya anaijua na kuipenda LFC kuliko sisi wengine
Kwani Klopp ana misimu mingapi apo Liverpool? Usimjaji Sarri kwa msimu mmoja tu..Mlisema hata kwenye makundi hutupiti
Mkasema kwa Napoli hatuchomoi
Mkadai safari itaishia Porto
Sasa mmeanza ramli nyingine
Kwa beki ya akina Pique any team has a chance
Hiyo Futuhi hata Arsenal hutamfunga kwa Chelsix ya sasa
Sarri ball haijashinda kikombe chochote wala mashindano yoyote popote pale duniani
huu utakua ukuta wa Berlin lakini Barca kwa hili wametutangulia sana kupata saini yake......De Lite to partner with VvD!
Mkuu tulipofika sasa tunahitaji haya mawili tu yanatosha, tutapambana kuyapata.arsenal kanifunga final moja tu FA ..ile Community Shield sio ya kuhesabu..
Klopp akijidai kutaka makombe yote itakula kwake..
Ni sawa na kamba ya Ngamia kupita kwenye tundu la sindano. Ni kitu ambacho hakiwezekani ..Liverpool iko kwenye kiwango bora sana lakini apo Klopp lazima akubali kubaki na EPL tu au UEFA tu..Mkuu tulipofika sasa tunahitaji haya mawili tu yanatosha, tutapambana kuyapata.
i mean why not?
hawa Manshit hii shock waliyopata jana itawatafuna vimbaya mno kwa siku zijazo, Jmosi Spurs akitulia mbona mapema tu anawapiga...Weekend hii City anaenda kupigwa kipigo kitakatifu na spurs.
Liverpool tunaenda kukaa on top with 5 points clear ahead of manshit.
May 13 tutaenda kukabidhiwa mzigo.
Hapana Mkuu uzuri EPL inaelekea ukingoni hivyo sasa kwena full throttle kama Ferrari tunaweza na pia ukizingatia mechi zilizobaki EPL ni winnable.....Ni sawa na kamba ya Ngamia kupita kwenye tundu la sindano. Ni kitu ambacho hakiwezekani ..Liverpool iko kwenye kiwango bora sana lakini apo Klopp lazima akubali kubaki na EPL tu au UEFA tu..
Kwani Klopp ana misimu mingapi apo Liverpool? Usimjaji Sarri kwa msimu mmoja tu..
Ni sawa na kamba ya Ngamia kupita kwenye tundu la sindano. Ni kitu ambacho hakiwezekani ..Liverpool iko kwenye kiwango bora sana lakini apo Klopp lazima akubali kubaki na EPL tu au UEFA tu..