Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
ni kweli jana jana kipindi cha kwanza kati palikufa sana, Gini alikua hafanyi kazi yake ipasavyo bivyo kumstrech sana Fabi na kama uliona Ston waligundua hilo wakawa wanatumia sana pembeni na hili shinda maana RB/LB wetu hua ni part ya attacking stratergy lakini jana walikamatika baada ya kati kupoa...alivyotoka Gini pakawa composed n solid na hii akamfanya mkata umeme Fabi kafanya kazi yake kwa utulivu...kulia pia yupo Salah ambae defending muda mwingi yeye huchelewa...Sijui lakini kwa gemu ya jana against Soton pale St Mary's first half tulipwaya sana upande wa kulia ambapo Gini alikuwa anaoperate as CM,i saw kitu baada ya ile tactics sub tulikuwa very aggressive sana na kusababisha winning ile
Sent using Jamii Forums mobile app