I will be called a hater, but the truth is it was Pep Lijnders who won us that game against Spurs.
We started that game with 433, then in the 2nd half when Poch switched to 4 at the back, Klopp went for 442, and it was laughable bacause he switched to 442 with 2 limited CMs in the centre (Hendo and Milner), and played Gini as RW, it was a bad in-game management, and tuliona jinsi Spurs walivyotusumbua after these tactical switches, they were all over us, Then kama mliona, Pep Lijnders got to Klopp ears multple times kwenye sidelines, Then Fabinho got told kufanya warm-ups, then suddenly akarudishwa bench, Lijinders akamfata Klopp tena, i guess this time alimweleza kiurefu zaidi kuhusu umuhimu wa kuswitch tena formation, baada ya hapo Faby and origi wakaingizwa and we quickly switched to 4-4-1-1, and ending up having a little control kwenye mid, and blocking spurs passing game in 2nd transition phases and luckly getting control of the game.
If not for Lijnders, Klopp wouldve subbed on Faby/origi kwenye dk 85, muda ambao Spurs wangekuwa wameshaongeza goal, kwasababu kiukweli ile second half mpaka dk ya 78-79 walikuwa on top of us..
What Lijnders did siku ile, ndiyo kitu kilichofanya Klopp afanikiwe zaidi akiwa na Buvac, because ukiwa na msaidizi ambaye anaweza kusoma mchezo hasa pale Manager unapokuwa na pressure kubwa, ni faida kubwa sana.
Muda huu ambapo games zina-presha sana because we cant afford to drop points, unahitaji kina Ljinders wa-step up, kumsaidia Manager, because mambo yakiwa yanaenda vibaya, Manager anakuwa ana-panick kwasababu anakuwa anafikiria vitu vingi sana kwa wakati mmoja, kwahyo hata kusoma mchezo inakuwa ngumu sana. Ndiyo maana unamuona Pep guardiola kila muda huwa anaongea na Arteta kwenye bench, and i cant lie Klopp and LFC are giving Guardiola a hard time man. We just WONT go away.
if Lijnders cant convince Klopp on team selections, basi ni vizuri aendelee kufanya kama alivyofanya na spurs. tunaweza tukashinda a lot of games kwa mtindo huu.
Huge props to him.