Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nakukumbusha tu. Sisi binadamu ni wasahaulifu mno. Nitakukumbusha wakati muafaka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu ushabiki wa mpira ni "Moment to moment", siwezi kuacha kushangilia au kuponda timu pinzani inapozingua kwa kigezo kwamba na mimi nitachemsha.

Wakati wangu ukifika nitauishi kama ulivyokuja.
 
Happy he got his first goal yesterday , but he still needs more time to settle in looking at his performance yesterday .

Sent using Jamii Forums mobile app

Nadhani, he was pretty good kulingana na eneo aliloambiwa acheze.


At Leipzg alikuwa anacheza kwenye Pivot in a 4222, lakini tangu aje LFC amecheza kwenye pivot si chini ya mara 3 and his best perfomances zimekuja akicheza kwenye hilo eneo.

Our best shape kama Keita akiwepo uwanjani ni 2-1, jana Klopp alicheza na shape ya 1-2, yaani Fabinho as a lone sitter, nyuma ya Gini na Keita in a 433. Ndo maana kiungo kilikuwa na gapes na ukizingatia Gini was so out of the game y’day.

Things got a lot better, baada subs, as Klopp decided to switch to 4231, Faby and Keita in a pivot and Henderson kwenye advanced role. The shape kwenye mid helped us a lot and ilimpunguzia Faby kazi ya kupress, and helped Keita to connect the MF and attack more and most of all helped Hendo to make his runs kwenye opponent box.

Keita is a monster kwenye pivot, but kwa jinsi nilivyoona jana, ameanza ku-adopt vizuri kwenye 433 pia, ambapo ni good sign as Klopp loves this Formation, so in the future i can see a MF-3 of Faby/Keita/Ox.
 
Kesho Everton anakupiga hamsa. Huna pa kutokea pale..

Sent using Jamii Forums mobile app
How the league will end by May...

1. Manchester City
2. Liverpool
3.Arsenal
4. I don't care
5. I don't care
6. Manchester United

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Uo ubwabwa utaambulia kesho baada kipigo cha Everton...

Usijali mkuu tutakuwa pamoja kukutia moyo baada ya kipigo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhan Everton alivyokufumua wewe basi atawafumua wote?, wewe una kipa pazia , kwahiyo lazima ufumuliwe

Njoo kesho ushuhudie Everton anavyokufa kwa sex football

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Hahaa.. An Arsenal fan at his best. Sema nini, sisi binadamu tumeumbwa kusahau ukifika muda wako nitakukumbusha kaforomondo wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Cheltako msimu huu futuhi lazima muende ,mkitaka msiende mfungen liver na manyua

Na huo uwezo hamna .....manyua lazima ang'ang'ane na nyie

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Unadhan Everton alivyokufumua wewe basi atawafumua wote?, wewe una kipa pazia , kwahiyo lazima ufumuliwe

Njoo kesho ushuhudie Everton anavyokufa kwa sex football

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Wewe ushindi wako wa kubahatisha bahatisha ..ukishinda kesho nitaamini una kikosi cha kuleta ushindani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Everton ndio timu ninayoipigaga ninavyotaka ikifuatiwa na Chelsea

Una westham ,una liver , una manyua

Points 6-7 lazima uzitapike hapo

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Hahaha eti Chelsea ..unapoandika utumbo usiandike kwenye public hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
How the league will end by May...

1. Manchester City
2. Liverpool
3.Arsenal
4. I don't care
5. I don't care
6. Manchester United

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Unajipaje uhakika wa nafasi ya tatu wakati kesho Everton anakukalisha?

Wewe bado uko hovyo sana afadhali manure wanaeza pambana na kubaki top four lakin sio wewe assanal..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom