Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

....so, you mean Klopp is a piece of shiite, right??
Si kihivyo bali alinoga akiwa na Buvac na alivyo ondoka ubora wote umepotea pamoja na kusajili watu muhimu.

Ha haaa wewe ulikua unatuambia anatunza nguvu kwa ajili ya mwisho tusilaumu mwisho ndo huu nguvu tulizotunza nazo hazipo.

Zama za BUVAC vigogo wote walikua wanapaki bus iwe kwao au kwetu unakumbuka?
 
Si kihivyo bali alinoga akiwa na Buvac na alivyo ondoka ubora wote umepotea pamoja na kusajili watu muhimu.

Ha haaa wewe ulikua unatuambia anatunza nguvu kwa ajili ya mwisho tusilaumu mwisho ndo huu nguvu tulizotunza nazo hazipo.

Zama za BUVAC vigogo wote walikua wanapaki bus iwe kwao au kwetu unakumbuka?
we're top of the league, aren't we?
 
Msituletee habari za Buvac ...kama huyo buvac ni mzuri mbona hapewi timu nzuri. Klop ni kocha mzuri mwenye matatizo yake kama makocha wengine....**** siki atazingua kuna siku atafanikiwa. Hata fergie alizinguaga sana tu.
Bado naamini anaweza kutupa ubingwa inngawa wachezaji wako na presha pia. Hata Man city nao kama umewaona jana wameshaanza kuwa na presha ya kuwa kama wakipoteza 1 match basi mambo yatakuwa magumu. 11 au 10 match to go. Tusubiri tuone itakuwa TUKIPITA kwa everton tutauona mwanga. Huku sio ITALY ambako mtu mmoja ndio anakimbia peke yake. Kwahiyo kupanda na kishuka ndio kawaida EPL tumepoteza just 1 match. Sema draw zimetuangusha. Bado sijaona timu nyingine ya kitufunga huko mbele....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msituletee habari za Buvac ...kama huyo buvac ni mzuri mbona hapewi timu nzuri. Klop ni kocha mzuri mwenye matatizo yake kama makocha wengine....**** siki atazingua kuna siku atafanikiwa. Hata fergie alizinguaga sana tu.
Bado naamini anaweza kutupa ubingwa inngawa wachezaji wako na presha pia. Hata Man city nao kama umewaona jana wameshaanza kuwa na presha ya kuwa kama wakipoteza 1 match basi mambo yatakuwa magumu. 11 au 10 match to go. Tusubiri tuone itakuwa TUKIPITA kwa everton tutauona mwanga. Huku sio ITALY ambako mtu mmoja ndio anakimbia peke yake. Kwahiyo kupanda na kishuka ndio kawaida EPL tumepoteza just 1 match. Sema draw zimetuangusha. Bado sijaona timu nyingine ya kitufunga huko mbele....

Sent using Jamii Forums mobile app

Eti kupanda na kushuka, kuna siku umepanda?

Au una maana gani kwa hiyo statement?
 
IMG_0659.JPG
hili tunaanza kulizungumzia lini??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
individually, they have been poor, but to be fair Klopp's negative tactics haziwasaidii pia, you cant expect them to play better with defensive oriented MF behind them.

last season we had Coutinho and then Ox, complete creative mids, ambao walikuwa ni Link-up players wazuri and they did a very good job katika ku-link our MF and attack.

we have signed Shaqiri, ambaye ni creator mzuri tu but hapati nafasi sana na kama akichezeshwa huwa anakuwa deployed as a RW, then we have Keita who can be a good link-up player from the Middle but Klopp plays him as LM/LW, hence tunakosa creativity from the middle.

I understand why he had to go with that mid-3 y'd, he wanted to shut down Pogba completely, and in order to do that we needed Hendo to press Herrera for 90 minutes, but luckily Herrera got injured mapema, so Utd's MF died from there, Pogba became invisible (hakukuwa na runners wa kumfree kwenye middle yao because OGS went in with a 442, after injures he had to change kwenda 433), so from point Klopp had to sub off Hendo for Keita and revert back to 4231, but suprisingly he remained with 433 and use Gini as our last creative mid (link-up mid) ambaye for entire 90 minutes hakupitisha hata mpira mmoja either kwa Salah au Mane. Klopp persisted na ile mid because alikuwa anaogopa kupoteza game kuliko kuwaza ushindi zaidi.

you cant blame the front three this season, you can see wamekuwa hovyo (combined) kila wakicheza mbele ya negative/defensive minded Midfield, we've seen them turning up kila wakicheza mbele ya MF inayowahusisha Faby/Gini/Keita/Shaqiri. its not their fault that the club didnt buy a creator in the summer.

They need to step up, Yes. but blaming them as a whole haiwi fair kabisa.
thank you for a convincing analysis

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1034318 hili tunaanza kulizungumzia lini??


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mkuu sometimes Stats zinamislead!
DE BRUYNE ametoka injury mbaya zaidi na ya Muda mrefu ambayo mpaka sasa hajawa fiti ndiyomana akawa anacheza kwa kiwango duni.
Na sidhani kama ataweza kuwa fiti tena.

Kwahiyo Origi kumlinganisha na De Bruyne ni kumkosea heshima De Bruyne.
 
Pamoja na kushinda goli 5 viungo washumbuliaji bado ni tatizo, magoal yote yamepikwa na fullback, ushindi huu najua utatusaulisha udhaifu wa mido zetu.

Ni yule tu anayeangalia Mpira LiveScore ndiyo atasahau kinachoendelea uwanjani Live, Lakini kwa sisi tunaoangalia Mpira kwenye TV/PC/Mobile hatuwezi kusahau Weakness zetu kwa ushindi wa jana.
 
Hapo hapana Kigumu ni kocha tu ajipange kimkakati! Nakuhakikishia tunaweza kuongoza Ligi mpaka mwisho wa Msimu.

Venginevyo akiendelea kuwa Moga wa Mechi Kibwa basi tujiandae kisaikolojia kuwa Mocked mitandaoni.

Muhimu kuwa na mipango thabiti ya game after game tutakuwa pazuri
 
You’re very wrong my brother..

Well, you should know kuwa LFC haina a natural creative AM (number 10), Firmino cant be virwed as a 10 now because tayari kishakuwa converted kama false #9. So we dont have that complete number 10.

With that being said, Klopp anatumia zaidi his fullbacks katika kutengeneza nafasi kutokea kushoto na kulia, hence he prefers zaidi offensive oriented FBs kuliko wale defensive oriented FBs,

Binafsi, sikuona tatizo na mid-3 aliyochezesha Klopp against you lot, but tatizo lilikuwa kwa Milner, i mean you have a complete Defensive MF, why deploy a negative player as RB, upande ambao anacheza Henderson (RCM), ambaye naye siyo creator or progressive passer, so kwa maana hiyo we had 2 negative players playing behind Salah, these players ndiyo walitakiwa wamchezeshe Salah kwenye ile right flank, so kwa mtazamo wako unadhani ilikuwa ni Sawa?

I mean, Luke Shaw, spent the entire 90 minutes man marking Salah, unadhani kungekuwa na offensive RB, Shaw angestick na Salah kwa muda wote?

Uliona set up ya OGS?

View attachment 1032335

Hiyo diagram inaonesha kuwa, OGS instructed his entire team to use the left flank, reason ikiwa ni kuzuia kabisa robertson (ambaye ni threat going foward) asilete madhara kabisa hasa katik kupandisha mipira, hence ukaona Mane akirudi deep zaidi kutafuta mipira, because Andy was heavly targeted, meanwhile upande wa kulia, OGS let Milner atawale mpira huku akijua wazi kuwa jamaa hana madhara yeyote going forward (and, we witnessed the same), hence Shaw had a lot of time man marking Salah, kwasababu hakukuwa na hatari yeyote kwenye ile flank (poor crosses, misplaced passes, useless fouls, etc from Milner), Salah had no service, Mane had no service, Gini (our link up player alikuwa hapati mipira from either flanks), robertson was targeted, but what about Milner?

Nilisema hapa kuwa baada ya Mechi kuwa Klopp got out-thought by care taker managers, kwasababu ya hii kitu, it was so clear to see, Milner was useless kwenye game ile, and of all the managers in the world, OGS was the first one to notice that over the titles winning manager Klopp. That was a school boy mistake from Klopp.

Stats shows kuwa, Goal scoring ratio per minute ya salah ni 95 minutes akiwa na Trent and 135 minutes asipokuwa na Trent, yes Trent is not good defensively, but when you have three defensive mids at the park, unahitaji 2 attacking FBs on either flanks kusaidia katika kupeleka mipira mbele, especially in a 433.


I’ve seen a lot of bad performances from Klopp, but that was his worst managerial performance tangu aje LFC.
dah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom