Umetumia nguvu nyingi kuandika kitu ambacho ungetumia mistari michache ungeeleweka zaidi...sitafuti umaarufu Wala chochote unachohisi ewew nilichoandika ndio mawazo yangu binafsi...Kuna tofauti kujua na kujifanya unajua.wewe unajifanya unajua ndio maana unaziona hizo weakness za huyo VVD,ambazo mm nisiejua chochote sijaziona na Wala siwezi kuzitafuta ili nikuaminishe kuwa najua kuchambua soka...
Endelea na ujuaji wako mkuu na mm ntaendelea na ushabiki wangu wa Liverpool...
NB: naisupport Liverpool katika Hali zote kukusoa saaana ni kuwatoa wachezaji mchezoni ligi kubwa na yenye ushindani Kama epl hasa kipind Cha kuelekea mwisho was msimu huwa ni ngumu ukitaka kila siku upate matokeo unayotaka ewew tu na kubet kwako labda utengeneze ligi na timu zako ila sio kwa epl,an yes nampenda klopp maana kaleta mapinduz na timu imekuwa inaushindani ndani na nje an ofcos ntaumia akitoka ndio mawazo yangu hayo...
Sent using
Jamii Forums mobile app