IN KLOPP WE TRUST NDIO TUNACHOSEMA SISI MASHABIKI WA LIVERPOOL HALISI
MWISHO WA SIKU HAMTOAMINI MTACHOKIONA..#YNWA#
WACHAMBUZI NA WATUKANAJI WACHEZAJI MITANDAONI ENDELEENI TU..
Sent using
Jamii Forums mobile app
Key Points za hii Post yako:
1 - IN KLOPP WE TRUS
2 - HUTUTOAMINI TUTAKACHOKIONA
3 - WACHAMBUZI WATUKANAJI WACHEZAJI
Nadhani unatatizo la kutokusoma watu wanachokiandika au Unatatizo la kutokufahamu Maadiko ya Watu, Au huenda ukawa una Tatizo la Kukariri mawazo ya Wengine bila ya Kuzalisha Mawazo ya Kwako.
√ Huenda ikawa unatafuta Umaarufu wa Kuwa Uonekani Kama Wewe ni Mshabiki Bora zaidi unayeumizwa na Unayeifahamu timu kuliko sisi sote humu.
Na tutakapokuuliza umeanza kuishabikia lini Liverpool basi kwasababu humu ni JF hatujuani utatuambia umeanza kuishabikia Liverpool mwaka 1984 na umri wako ni zaidi ya miaka 50+.
Lakini ukiulizwa kijiswali kidogo tu cha mchezaji wa Jana tu hapa Liverpool
Christian Ziegi alikuwa akicheza namba ngapi Liverpool na Alikuwa akivaa jezi namba ngapi na alichezea Liverpool Misimu Mingapi utaishia kuniambia Liverpool Fake sijui Mpira.
Wakati ukweli halisi waweza jikuta umeanza Kuipenda Liverpool 2005 ilipobeba CL au sihasha umeipenda 2010+.
Leo eti unajiita Liverpool Halisi kisa tu kuna mtu kajiita hivyo! Kumbe Kukopia Hakukuanza Shuleni! Mpaka JF watu wanakopia mawazo ya Watu.
√ Na Jengine hiyo Kauli yako ya In Klopp We Trust naona unataka kujifanya Mwisho wa Msimu uwaprove watu Wrong Wakati Liverpool ni More than Klopp.
Sisi tunachotaka Liverpool ibebe Kombe na Wala si Klopp abebe Kombe.
Ufafanuzi: Mashabiki wa Liverpool hatuna asili ya Kuwa tubebe Kombe kwa ajili ya Kumpa sifa Kocha, Bali tunataka tubebe kombe kwa ajili ya kujenga Heshima kwa Merseysiders na Liverpoodlians wote in the World.
Kwahiyo wewe kama umekalia hapa Liverpool ibebe kombe ili imjengee heshima Klopp nadhani umekosea Jukwaa, Coz itakubidi Klopp akiondoka Liverpool nawewe umfuate.
Hapa hapana Mshabiki hata mmoja asiyetaka Kombe na Ndiyomana tunamkosoa Klopp kwasababu Kwa hali yoyote ile tunahitaji Kombe Msimu huu.
Sasa sijui unazungumza Kitu gani hapa ambacho unajiona unakiamini peke yako?
√ Mwisho; Nadhani hujui nini Maana ya Kutukuna, Na nini maana ya Kukosoa!
Hivi kuna timu ambayo Washabiki wake Hawakosoi Wachezaji?
Kuna Timu ambayo Washabiki Wake Hawamkosoi Kocha?
Hebu tuambie Kocha ambaye Hakosolowi hapa duniani?
Sasa tunapomkosoa Kocha Kwa Kumueka Bench TAA vs Man United unaona ni Matusi!
Tunapomkosoa Kocha Kwa Kumuingiza Sturridge vs Man Unite wakati kwenye Bench kuna Xhaqiri wewe ona ni matusi.
NAJUI UTAKUJA HIVI:
• Sijui lolote
• Nimeandika Pumba
• Nimetoa Povu
• Na mock nyengine nyingi..
Lakini Hebu Jaribu Kuandika Japo Post Moja Ya Kiuchambuzi ili Tujie Uwezo wako Wa Kimpira na sio Kila Siku unaishia Kusema "Hatutamini Tutakachokiona".
Hapa pana Wachambuzi wenye Kuleta Mawazo yao Kulingana na Mchezo Husika, Lakini Nyinyi muliokuwa Hamujui Hata Kuielezea/Kuichambua game ya Carabao au Championship ndiyo mumekuwa Eti Liverpool Halisi!!! Kwa uhalisi gani Mdogo wangu uliokuwanao?
Sasa Mzee wa Liverpool Halisi, VVD ni beki wetu bora kwa sasa na Ni Beki aliyetimia lakini ANA WEAKNESS FLANI hivi, Naomba unitajie hiyo Weakness, Utakapoitaja Naahidi Kuhama JF pamoja na Kuhama Liverpool leo hii...
Hapo ndiyo tutajua kama wewe ni Halisi na unayeifahamu Liverpool nje ndani