Plesis
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 947
- 860
hahahah umenkumbusha mbali sana mkuu.. lile bonge linabutua butua andrea dossena na mwenzake Degen.. Hivi ni kocha gani aliwaletaHili Ndiyo Tatizo la Kizazi Cha Leo! Mtu anapoharibu Michezo 7 akafunga Mchezo 1 tu tunasahau ile saba kuwa yeye ni mchezaji wa Kawaida.
Tena hapa subiri utasikia tu watu wanasema "Firmino aekwe bench achezeshwe Origi" kisa tu Leo kafunga goli.
Wanasau kuwa Hata Dosena aliwafunga Manchester United na Real Madrid lakini alikuwa hafai na akauzwa.

