Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Yah! Nikweli ila sometimes wachezaji akili zao wanazijua wenyewe
Hola señora!Hapana silali nipo macho kuangalia mnavyonyonyolewa.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Tunashinda wakuu kuweni wapole
Ule mpira mlefu kwake VVD ndo kajichanganya kumuacha mtu nyumahivi huyu Matip huyu...... anajua kuruka vichwa kwenye opposition box, lakini kwenye box lake mwenyewe bure kabisa.
VVD yuko kinyume chake na ndiyo sifa ya defender.
2nd half toa Shaq weka Origi + toa Keita weka Fabinho.
Hola!!Hola señora!
Tuwekeane dau?Hola!!
Leo hamchomoki na point 3
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
scorer alikuwa kwenye channel ya Matip bana!Ule mpira mlefu kwake VVD ndo kajichanganya kumuacha mtu nyuma
We mrembo unaongea sana leo...subiri dakika 10 zijazoHola!!
Leo hamchomoki na point 3
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Siyo Leo! Sema huwa "unaongea sana"
Hadi nakuonea huruma.Tuwekeane dau?


Labda nimeona vibaya kweli umempita Matip ila aliekua na Mangera ni Vvd nta angalia tena kama sipo sawascorer alikuwa kwenye channel ya Matip bana!
halafu mpira umempita tu kichwani, angeruka hata kidogo kumpoteza scorer.
Tuweke dau basiSiyo Leo! Sema huwa "unaongea sana"
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.