Kwanini hiyo miaka yote hakubeba aje kubeba mwaka huu?
Ahahaaah...
Ungesema kuwa Liverpool atabeba kombe mwaka angekubali bila kukuuliza sababu,kwasababu yeye anaamini hivyo...
Ila umesema kuwa Liverpool hawezi kuchukua ubingwa mwaka huu,anahitaji kujua kwanini umesema hivyo,kwasababu yeye anaamini kuwa msimu huu Liverpool atabeba kombe..!
Binadamu anafurahisha sana,anachokiamini yeye anataka kiwe fact,ambacho unakiamini wewe kwake ni porojo..!
 
Kwanini hiyo miaka yote hakubeba aje kubeba mwaka huu?
Miaka ambayo utawala wa Liverpool unakomeshwa paliibuka na utawala mpya kutoka jiji la Manchester, Manchester United ya Ferguson worked hard for about 6 years mpaka kuondoa huu utawala, kutoka Ferguson aanze kubeba mataji ya EPL hakupata mpinzani hasa financially, huyu mzee alikuwa na economic power kubwa sana, utawala ulioiuzuia Liverpool miaka yote umetoweka

Kwa hiyo katika past season hakukuwepo na team bora ya kuizidi Manchester United ya Ferguson

Kwa hiyo Liverpool wana nafasi kubwa msimu kwa sababu aliyewanyima hayupo, lakini tumeona tangu Klopp aje Liverpool nao wamekuwa na uimara sokoni, hivyo kuwafanya kuwa moja ya team zenye nguvu kubwa kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kwamba atachukua ila yupo kwenye position nzuri ya kubeba ubingwa, kikosi imara, kocha mzuri na wapo vizuri kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man city Ndo wana world class hao Liverpool wakikosekana baadhi ya wachezaji tu tatizo
 
Hahaaaa our number 6 Kani-block IG lol

Yaah social media zinachanganya sana nahisi watu wameanza kuzitumia kuwatoa wachezaji wetu kwenye reli, majuzi walimzushia maneno Mane hadi nikashangaa Mane kaanza kuongea upuuzi hivi

LeBron James huwa playoffs zikianza anafunga mitandao yote kuziba kelele.

Na hata wenzake anawaambia wasimsimulie chochote watakachoona kumhusu.
 
Mo Salah deleted his all accounts kwenye Social Media!
Now Lovren will not exist any more coz he used him to get followers kwenye Social Media
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…