Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,755
Ferguson kaondoka jana?Miaka ambayo utawala wa Liverpool unakomeshwa paliibuka na utawala mpya kutoka jiji la Manchester, Manchester United ya Ferguson worked hard for about 6 years mpaka kuondoa huu utawala, kutoka Ferguson aanze kubeba mataji ya EPL hakupata mpinzani hasa financially, huyu mzee alikuwa na economic power kubwa sana, utawala ulioiuzuia Liverpool miaka yote umetoweka
Kwa hiyo katika past season hakukuwepo na team bora ya kuizidi Manchester United ya Ferguson
Kwa hiyo Liverpool wana nafasi kubwa msimu kwa sababu aliyewanyima hayupo, lakini tumeona tangu Klopp aje Liverpool nao wamekuwa na uimara sokoni, hivyo kuwafanya kuwa moja ya team zenye nguvu kubwa kiuchumi
Sent using Jamii Forums mobile app