Miaka ambayo utawala wa Liverpool unakomeshwa paliibuka na utawala mpya kutoka jiji la Manchester, Manchester United ya Ferguson worked hard for about 6 years mpaka kuondoa huu utawala, kutoka Ferguson aanze kubeba mataji ya EPL hakupata mpinzani hasa financially, huyu mzee alikuwa na economic power kubwa sana, utawala ulioiuzuia Liverpool miaka yote umetoweka

Kwa hiyo katika past season hakukuwepo na team bora ya kuizidi Manchester United ya Ferguson

Kwa hiyo Liverpool wana nafasi kubwa msimu kwa sababu aliyewanyima hayupo, lakini tumeona tangu Klopp aje Liverpool nao wamekuwa na uimara sokoni, hivyo kuwafanya kuwa moja ya team zenye nguvu kubwa kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ferguson kaondoka jana?
 
Ferguson kaondoka jana?
Wakati Ferguson anaondoka Liverpool haikuwahi kuwa imara kama ya sisi, ilipitia hatua nyingi za kuyumba..ukiachana na 2013/2014 Liverpool haijawahi kuwa na team ya kupambania ubingwa kama msimu huu ambao wanaonekana angalau wanaweza kupambana na Manchester City

#So far Manchester City inabaki kuwa team iliyokamilika zaidi pale kwa malkia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawachukui, differenc ya point 4 ndo ikupe matumaini hawa wanakuwaga vizuri ila wanapoteana mwishoni
 
Hawachukui, differenc ya point 4 ndo ikupe matumaini hawa wanakuwaga vizuri ila wanapoteana mwishoni
Nafikiri hapa ndio kuna mtego baina ya mashabiki wa Liverpool na mashabiki wa mpira wa miguu Duniani?? Wataangusha points na kumpa City ubingwa au wata maintain na kutwaa ubingwa...hizi ni question mark ambazo watu wamekariri mno....tusubiri na kuona mpambano chief

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati Ferguson anaondoka Liverpool haikuwahi kuwa imara kama ya sisi, ilipitia hatua nyingi za kuyumba..ukiachana na 2013/2014 Liverpool haijawahi kuwa na team ya kupambania ubingwa kama msimu huu ambao wanaonekana angalau wanaweza kupambana na Manchester City

#So far Manchester City inabaki kuwa team iliyokamilika zaidi pale kwa malkia

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini nyie hamjakamilika?
 
Kwanini nyie hamjakamilika?
Wanatuacha qualitatively kwenye midfield, tunawaacha quantitatively...hili ndilo eneo ambalo Manchester City wapo ahead Liverpool...hata kwenye eneo la ushambuliaji nafikiri watu wa Manchester City wanaiacha Liverpool japo sio kwa kiasi kikubwa sana...mshambuliaji wa kati Salah anafanya vyema japo Khun Aguero anabaki kuwa specialist wa eneo hili

Ndio maana kuna sehemu nikasema ukitaka ubingwa unahitaji bahati pia hata kama una uwezo mzuri na team yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanatuacha qualitatively kwenye midfield, tunawaacha quantitatively...hili ndilo eneo ambalo Manchester City wapo ahead Liverpool...hata kwenye eneo la ushambuliaji nafikiri watu wa Manchester City wanaiacha Liverpool japo sio kwa kiasi kikubwa sana...mshambuliaji wa kati Salah anafanya vyema japo Khun Aguero anabaki kuwa specialist wa eneo hili

Ndio maana kuna sehemu nikasema ukitaka ubingwa unahitaji bahati pia hata kama una uwezo mzuri na team yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna bahati?
 
LeBron James huwa playoffs zikianza anafunga mitandao yote kuziba kelele.

Na hata wenzake anawaambia wasimsimulie chochote watakachoona kumhusu.

Stable mentality ni muhimu sana kwenye consistency ya mchezaji

Wachezaji wetu wako kwenye pressure kubwa ya kuvunja the so called 'cursed' ya top of the league after Christmas lakini hakuna kombe.

Let them settle kuna watu wanajua kukera mitandaoni
 
Transfer news
Screenshot_20190123-201548.jpeg
Screenshot_20190123-201243.jpeg
Screenshot_20190123-201621.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom