Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,460
- 70,172
Unaweza kutaja hizo game 3 ambazo Man City anapoteza clearly..!?Next 5 games lfc
Brighton A
Crystal H
Leicester H
Westham A
Bournemouth H
Next 5 games man city
Wolves H
Huddersfield A
Newcastle A
Arsenal H
Chelsea A
Kama tukizichanga karata zetu vizuri bila tatizo tunaweka gape zuri kabisa lingine
City kuna 3 games anapoteza hapo clearly
Unaweza kutaja hizo game 3 ambazo Man City anapoteza clearly..!?
Nataka nibet,ukinitajia hizo mechi nitashukuru sana..!
Uyo Salah Siku hizi bila penalty hafungi kabisa magoli.Naona leo kila ninapopita wanamuandama Mo Salah kuhusu ile incident ya ku dive vs Palace.
Kila media wamemwandika yani mpaka kero. Nahisi wanataka kumdistract hawa jamaa sio watu wazuri.
Baada ya kelele zao za "one season wonder" kunyamazishwa sasa wamegeukia suala la ajabu kabisa ambalo mchezaji wao Harry Kane alikua ana dive bila hata kuguswa ana claim penalty na kupewa.
Salah pamoja na kuto claim penalty lakini wanamsakama hatari. I hope he keeps his head focused. Aachane na shombo za wenye wivu.
January inakaribia kuisha Chief..!unafahamu vyema Majogoo sio timu ya kubabaishwa na City, hawa leo tunao...
Pep presha juu maana kila akitazama weak link ya Liverpool haioni hivyo itamlazimu ashambulie zaidi kipindi cha kwanza na hapo ndio pace ya Mane na Salah itawaumbua maana wao wanawaza kupunguza gepu angalau ibaki pointi 4, hivyo wao watakua ni ushindi tu maana hata kupaki toi Pep hajui yeye ni kushambulia , upande wa pili sisi ni kaunta tu wala hatuna kingine...
wapiga ramli msikae mbali kushuhudia gepu ya pointi 10 mapema Januari...
YNWA
Kwani Hazard na Salah wanacheza nafasi moja?Hazard wenu kafunga magoli ma tatu ya penalty na salah nae kafunga matatu ya penalty. Lkn hazard ana jumla ya magoli 10 na salah magoli 16.
Kwaiyo ukichukua magoli 16 ya salah ukatoa 3 ya penalty unapata 13. Ambayo bado ni mengi kuliko magoli yote ya hazard 7 + penalties 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Refer ile penalty aliyopewa dhidi ya arsenal ..huoni reffaree wa England wanambeba sana?Hebu simulia Magoli mawili ya last game dhidi ya Crystal Palace yalifungwaje.
Alijirusha kwenye minyavu akagongana na Mpira wote wakajaa wavuni....+ kudiveHebu simulia Magoli mawili ya last game dhidi ya Crystal Palace yalifungwaje.
Mo-diverRefer ile penalty aliyopewa dhidi ya arsenal ..huoni reffaree wa England wanambeba sana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alijirusha kwenye minyavu akagongana na Mpira wote wakajaa wavuni....+ kudive
Sent using Jamii Forums mobile app