DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Kwa kweli huyu Michael Edwards ni guru kwenye hizi transfer business...tujipe hongera sana.
Huyo Ki-jana umri kupewa namba on a permanent basis bado sana mkuu
Miaka 16 kweli aaminiwe tena kwenye beki
LUGHA,Kuna Mimbumbumbu huwa hayana uwezo wa kufanya analysis za kimpira kama hizi!
Basi yatashindwa kuchallenge chochote badala Yake yatakuja na mipasho hapa kama Mikahaba ya kwenye Vigodoro kusema ujinga wao kuwa Hujui kitu wakati wao hayaleti chochote zaidi ya usenge hapa.
Kama hatujui kitu si wao wanaojua walete hapa hizo analysis za mpira wanzozijua ili tusome!!!!!
Lakini Jinga flani lishachoka kuuza Karanga Ubungo linakuja hapa kuleta mipasho na mihemko ya Kisenge.
SavedKwa Mara ya kwanza Natamka Bila ya Woga wowote nikiwa Ninajiamini kuwa "LIVERPOOL FC NDIYE BINGWA WA EPL 2018/2019"
ASIEAMINI ATUNZE HII COMMENT KWA AJILI YA REFERENCE
Yule mwamba ni LIVERPOOL HALISI na nyinyi ni livapulichipolopoloYule ni Mshabiki mwenziwe wana timu yao inaitwa Arsenapool
Tuna TAA, Gomez, Jorginho na Milner wote wanaweza kucheza samba 2..
Kwahiyo sidhani kama Klopp ana mpango wa kusaini Beki ya Kulia hii January
Kwahiyo na joginho mumeshamsajili?kweli kichapo noma mpaka unatamani joginho angekuwa liverpoolTuna TAA, Gomez, Joginho na Milner wote wanaweza kucheza namba 2..
Kwahiyo sidhani kama Klopp ana mpango wa kusaini Beki ya Kulia hii January
😃😃😃😃😃😃Tuna TAA, Gomez, Joginho na Milner wote wanaweza kucheza namba 2..
Kwahiyo sidhani kama Klopp ana mpango wa kusaini Beki ya Kulia hii January
Bei yake ni balaa mkuu.
If that happens, basi nitajua kweli FSG are seriously serious about lifting the trophy.
Kipimo chako kinakuja.Chelsea anapigwa na spurs mechi ijayo nao wajiandae kisaikolojia
Uyo King Ngwaba Si ndo anajulikana apa kama mchambuzi bora kabisa wa soka!!!King Ngwaba anakuambia TAA ndio right back bora pale EPL
Kwani wewe utachomoka Pale Whitehurt land??Na ww unachomolewa na spurs sijui mnacheza ka kombe gani kale una majeruhi kama wodi y wagonjwa.
Hahahaa wazee wa YNWA
Hahahahaha unaeza shangaa Man city akachakazwa vibaya ukabaki mdomo wazi.Huo mpira tuliopigiwa leo Chelsea atachakazwa vibaya pale Etihad kama utapigwa mpira kama huu aliopiga leo Man City
Katika timu msimu huu HAZITONIFUNGA basi ni MAN CITY na LIVERPOOL.naona hampo mbali ndugu Sariboys au Sirloser....
tumefungwo fairly big up to Pep n clu...
wakati mwachekelea mkumbuke huyo City bado mnae mazimaaaa.....
Uyo King Ngwaba Si ndo anajulikana apa kama mchambuzi bora kabisa wa soka!!!
Au..!!??
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Hahahahaha unaeza shangaa Man city akachakazwa vibaya ukabaki mdomo wazi.
Sasa kufungwa nyie ndo kufungwa sisi.?
Au mumejiaminisha kuwa nyie ni bora kuliko sisi.?
Mpira hauko ivyo mkuu.
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app