Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

(Hendo,gini,milner) sio kbs hamna kiungo mbunifu hata mmoja


(Fab,keita,gini)
(Fab,gini,shakir)
(Fab,hendo,shaqir)
(Fab,millie,gini)

Hendo,lovren wote hawa ni muda tu ndo unaowafanya wawe LFC mpk ss muda ukifika hutowaoma wakicheza hata na QPR


Sent using Jamii Forums mobile app

Kweli tunamidfielders bora duniani za kuweza kucheza Pangapangua kwenye kikosi cha Barcelona wala sipingi tena kuanzia leo.

Natangaza rasmi kujitoa kwenye mjadala wowote unaohusiana na Midfielders wetu hata apangwe Mwinyi kazi moto nitaridhia tu.

Na nimeridhia kuwa GINI-HENDO-MILNER kuanzia leo iwe Midfield yetu ya kudumu mpakaa watakapostaafu wenyewe kucheza mpira.

OVA
 
Liverpool HALISI hapa ambao tunakuwa behind na team kwa kila hali tuwe watulivu!
Tunarudi Melwood kujipanga zaidi na mechi zijazo
Klopp katupa sana heshima mwaka huu mambo mazuri


Sent from my iPhone using JamiiForums
YNWA On to the next one..

Still on top of the table, lost to a good team in need results after three losses in four games.

On to the next one Reds.
 
Hands up to Mancty well drilled to win this game,

we ddnt come near our best today n we were punished for that...the best team won...

we lose today we go again...next ni FA vs Wolves come Monday....

what a rollcoaster have been since th EPL started mpaka kuja kufungwo leo, tumeteleza hatujaanguka guys...

YNWA
Hahahahahah "YOU WILL NEVER WIN AGAIN" sorry mkuu "YOU WILL NEVER WALK ALONE" hahahaha..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom