Sijawapangia muda, ila kwanini Liverpool ikipotea na nyie mnapotea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kawaida tu kama mashabiki wa Chelsea walivyopotea kwa miaka 55
Sijawapangia muda, ila kwanini Liverpool ikipotea na nyie mnapotea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tulikuwepo na timu bega kwa bega.Ni kawaida tu kama mashabiki wa Chelsea walivyopotea kwa miaka 55
hahaha basi niwaombe radhi wazee wa msituni!!Mkuu dah! Umewakosea heshima sana Nottingham Forest Wazee Wa Misituni kwa Kuwafananisha na Chelsea!!
Wana CL 2 hawa Wakata Misitu
Ni kweli mumejenga timu na matunda yanaonekana. Apo Klopp anahitaji pongezi za kutosha
Kwanini mliwanunua wachezaji ambao hamkuwa na future nao? Moreno mpka analalamika ubaguzi wa klopp unazani hilo liko sawa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameshindwa hoja sasa wanaleta vioja! Hakuna mtu kamili hata klopp na yeye hajakamiliki like the rest of us, so sometimes anakosea tu na anahitaji kurekebishwa.
So what i see here when you give your opinion about our team in a positive way unaambiwa unamfundisha kocha kazi, everybody is entitled to their opinions and thats a fact.
Sent using Jamii Forums mobile app
nyie mlikua wapi kwa hiyo miaka 100??..kama nyie mliweza kurudi basi na wao watarudi.Hao N.Forest wako wap sasa. Shida nyie mnaishi kwa mihemko ya historia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Club zao zinaongoza ligi na wananafasi ya kutwaaa makombe kila mwaka point yako ni ipi mkuu?Sijui wanajisikiaje huko thamani yao ilikua kubwa sanaaa wakajifanya wanaweza kuishi popote wakasahau Liverpool ndo iliowang`arisha laana iwatafune hadi wajenkuomna radhi.
Naamin Faby kaja baada ya Can kuringa.
Hizi ni story tu. Kabla ya 2004 kulikuwa na mashabiki wangapi wa Chelsea hapa Tanzania? Wengi tunaowajua walikuwa ama sio mashabiki wa Mpira au walihamia Chelsea toka timu nyingineSisi tulikuwepo na timu bega kwa bega.
Popote ilipo na sisi tupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msiwasahau lester city msizani walibahatisha hizi mechi za kalibuni wapo vizuri sana nilivyo waona.Kufungwa tunaweza fungwa mkuu ila tunaomba isitokee iyoo
Game za Man u na chelsea ni hatar kwetu lazima tupambane mpaka mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
PATA MIKEKA YENYE UHAKIKA MKUBWA WA USHINDI.
WASILIANA NASI KWA WHATSAP 0658642362
Sent using Jamii Forums mobile app
ni sahihi nadhani marefa msimu walipata kalipio au ndio upepo wa bahati na marefa upo nasi...sitaki hata kuzizungungumzia penat zilizotokea mkuu kwani naamini kabisa tumepoteza ila katika mpira haiko hivyo unavyotaka kuaminisha watu hivi hujui kuna matukio katika mchezo yanaweza kuathiri ari na morali za wachezaji uwanjani ikiwemo maamuzi ya refa,ila yote ya yote mlikuwa bora nyumbani kuliko sisi na kukubali kushindwa ndio sifa ya mchezo
Hao hawajui maana ya ushabiki, wanataka mchezaji abaki tu timu moja na akiondoka wanamchukia mazima na kufikia hatua ya kumuombea mabaya.Club zao zinaongoza ligi na wananafasi ya kutwaaa makombe kila mwaka point yako ni ipi mkuu?
sio goal difference tu mbali Rangers wamezidi mchezo mmoja pia....all in all hii derby Rangers hawajashinda kwa zaidi ya gemu 7 wamekua wakipigwa wao tu hivyo ushindi wao jana ni shangwe sana...Hahahaaaa... Alichokifanya Gerrard anaweza kukifanya hata VVD. So don't get it twisted.
Kwa taarifa yako Gerrard jana kashinda kamfunga kocha wake Rogers. Kwa sasa wanalingana point sema kazidiwa kwa goal difference.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ndivyo nilivyomsoma jamaa hatar sana hajui kama timu zao zinaongoza ligi na uhakika wa kubeba ndoo coutinho kishabeba ndoo kule barcaHao hawajui maana ya ushabiki, wanataka mchezaji abaki tu timu moja na akiondoka wanamchukia mazima na kufikia hatua ya kumuombea mabaya.
Kama kupata majeruhi, aanguke afe....
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa wanaroho Mbaya sana ndio maana hawana sportsmanship kwa wachezaji wao ambao sio 1st 11Club zao zinaongoza ligi na wananafasi ya kutwaaa makombe kila mwaka point yako ni ipi mkuu?
Mbona huzungumzii kina FABREGAS kupigwa benchi so FABREGAS alinunuliwa wa nini??Ni kweli mumejenga timu na matunda yanaonekana. Apo Klopp anahitaji pongezi za kutosha
Kwanini mliwanunua wachezaji ambao hamkuwa na future nao? Moreno mpka analalamika ubaguzi wa klopp unazani hilo liko sawa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tulikuwepo kabla ya Chelsea ya 2004. Na pia tumeshudia timu ikibeba makombe.Hizi ni story tu. Kabla ya 2004 kulikuwa na mashabiki wangapi wa Chelsea hapa Tanzania? Wengi tunaowajua walikuwa ama sio mashabiki wa Mpira au walihamia Chelsea toka timu nyingine