Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hawawez kupata heshima kama walivyokuwa wakipata liverpool sababu hizo timu zimewakuza kisoka kule wamefata mafanikio na pesa kama ronaldo tu na manchester united madrid hakupata heshima kama tuliyompa
Sikubali hili kwa Ronado mana huko aliendeleza zaidi na kua kee player.

Fata pesa acha zarau mbona hatuja mchukia Suarez?
Unazani angekomaa kuuzwa ule mwaka Asenal tungekua na furaha nae?
 
Sikubali hili kwa Ronado mana huko aliendeleza zaidi na kua kee player.

Fata pesa acha zarau mbona hatuja mchukia Suarez?
Unazani angekomaa kuuzwa ule mwaka Asenal tungekua na furaha nae?
Kukubalika kwa mashabik
 
nafikiri hatupo serious hadi tuwaombee majanga ya kuwa majeruhi bin-adam wenzetu sema tu tunaongea kiushabiki tunaelewa pia kuwa kuna factor nyingi zinazofanya mchezaji kuhama timu na mojawapo ni maslahi mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukizungumzia ushabiki wee acha tu kuna vitu vinakera sana jiulize hapa natumia bando sababu ni ushabiki tu kuna wanao tukanana pia ushabiki ni pamoja ya kumuombea mabaya mpinzani wako hii.
Kumchukia mchezaji anaesababisha tuharbu sikosei pia.
 
Kukubalika kwa mashabik

Mkuu sisi hatujamchukia Coutinho kwasababu Kaenda Barcelona!

Kwani Hata Suarez kaenda Barcelona, Alonso Kaenda Real Madrid, MacCmanaman Kaenda Real Madrid, Hao wote walikuwa Ni Key Players Wa Liverpool.

Tulichomchukia Coutinho Ni kule kulazimisha Aondoke January wakati akijua fika timu ipo CL na inafanya Vizuri na yeye ndiyo Main main wetu wakati alishaahidiwa Kuwa Mwisho Wa Msimu ataruhusiwa kuondoka.

Hivi jaalia mwaka 2008/09 Ronaldo angeliondoka January Washabiki Wa Man United wangelimchukuliaje?

Na kibaya zaidi aligoma kufanya Mazoezi na timu, Akawa anajitengenezea injury Fake, anakwenda kwao Brazil na kufanya Interview za kutusema vibaya.

Mbona Suarez na Alonso wameondoka tunalia lakini hatukuwa na Chuki nao kwasababu wameondoka kistaarabu bila ya dharau.
 
Mkuu sisi hatujamchukia Coutinho kwasababu Kaenda Barcelona!

Kwani Hata Suarez kaenda Barcelona, Alonso Kaenda Real Madrid, MacCmanaman Kaenda Real Madrid, Hao wote walikuwa Ni Key Players Wa Liverpool.

Tulichomchukia Coutinho Ni kule kulazimisha Aondoke January wakati akijua fika timu ipo CL na inafanya Vizuri na yeye ndiyo Main main wetu wakati alishaahidiwa Kuwa Mwisho Wa Msimu ataruhusiwa kuondoka.

Hivi jaalia mwaka 2008/09 Ronaldo angeliondoka January Washabiki Wa Man United wangelimchukuliaje?

Na kibaya zaidi aligoma kufanya Mazoezi na timu, Akawa anajitengenezea injury Fake, anakwenda kwao Brazil na kufanya Interview za kutusema vibaya.

Mbona Suarez na Alonso wameondoka tunalia lakini hatukuwa na Chuki zao kwasababu wameondoka kistaarabu bila ya dharau.
Kweli ni usaliti nakumbuka ronaldo aliambiwa ataondoka msimu unaofuata wa 2009/2010 alikubali ina maana angeandoka msimu wa 2008/9 kuchukua uefa ingekuwa vigumu alifunga goli muhimu sana kwetu nimekuelewa.
 
Sisi tulikuwepo kabla ya Chelsea ya 2004. Na pia tumeshudia timu ikibeba makombe.

Wewe ni fan wa Liverpool kutokana na historia yake. Hujawahi "SHUHUDIA" wala kunyanyua kwapa kwenye kombe lolote..

Sent using Jamii Forums mobile app
Unavuta bhange wewe sio bure, kama wewe ulikuwepo kabla ya 2004 kwanini yeye hakuwa liver kabla ya 2004, unajua kuwa 2001 liver ilichukua makombe matatu
 
Wanacheza kama walevi

Sasahivi iwapo OGS atapata mtaalamu Wa Kutumia Propaganda kwenye Media kuwajenga Wachezaji Kuwa na Ari kibwa kuliko Hata viwango vyao!
Na vilevile kuwafanya Washabiki Wawe na Moral kawa Wa Liverpool pale Anfield wanomfunga Pep kwa Shangwe tu! Basi January haiwahi kumaliza Munamshusha Arsenal na Chelsea.
 
Binadamu hawazaliwi siku moja. Sio wote tulimuona Nyerere akipigania Uhuru wa Tanganyika miaka 59 iliyopita. Lakini tunashangilia Uhuru wetu leo.
Labda walikuwa shule, hawakuwa na " touch" bundle, walikuwa vijijini hakuna Umeme. Sababu zipo tele.

Sent using Jamii Forums mobile app
dah umemjibu kifilosophy sanaa ndugu yangu cjui aliwaza nini kuuliza swali kama hilo hivi hajui kwamba kila cku jf inapata member wapya?na kama ikitokea member mpya wa jf amejiunga jf wakati timu iko vizuri ndio aache kushangilia eti kwa vile ataulizwa wakati timu inafanya vibaya ulikuwa wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
alieyetoa hoja ya ligi kuu ni nani??liverpool kama zilivyotimu nyingine nia yake kuu ni kuchukua makombe yote inayoshiriki,haijalishi ni ligi kuu au carabao..unajua kwetu sisi mashabiki kikubwa tunachokitaka kutoka kwenye timu ni furaha maana kama timu ikipata pesa nyingi mimi sifaidiki na chochote kikubwa nipate furaha tu,ican guarantee you pamoja na kwamba sijabeba hilo kombe lako unalosema ila mimi shabiki wa liverpool ninafuraha miaka yote kuliko shabiki wa arsenal...mafanikio katika mpira sio kubeba kombe tu bali kuwa mshindani wa kweli..nmecheza fainali uefa,nimebeba uefa kombe ambalo timu yenu haijawa kuliona live mnaliona kwenye tv,nmecheza fainali ueropa league,nmekua contender wa ubingwa wa ligi mara kadhaa...nadhani furaha tunayoipata kutoka kwenye timu ndo kitu pekee kinatufanya tuendelee kuzipenda timu zetu..
well said

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sisi hatujamchukia Coutinho kwasababu Kaenda Barcelona!

Kwani Hata Suarez kaenda Barcelona, Alonso Kaenda Real Madrid, MacCmanaman Kaenda Real Madrid, Hao wote walikuwa Ni Key Players Wa Liverpool.

Tulichomchukia Coutinho Ni kule kulazimisha Aondoke January wakati akijua fika timu ipo CL na inafanya Vizuri na yeye ndiyo Main main wetu wakati alishaahidiwa Kuwa Mwisho Wa Msimu ataruhusiwa kuondoka.

Hivi jaalia mwaka 2008/09 Ronaldo angeliondoka January Washabiki Wa Man United wangelimchukuliaje?

Na kibaya zaidi aligoma kufanya Mazoezi na timu, Akawa anajitengenezea injury Fake, anakwenda kwao Brazil na kufanya Interview za kutusema vibaya.

Mbona Suarez na Alonso wameondoka tunalia lakini hatukuwa na Chuki zao kwasababu wameondoka kistaarabu bila ya dharau.
Inakera, lakini mlivuta mpunga mwingi kufidia maumivu so mwombeeni heri huko alipo. unakumbuka suala la Tevez man city alichezea bench sana kwa kulazimisha ishu kama hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point yangu huko wamekua sehem ya mafanikio wakati Liver walikua ndo mafanikio yenyewe.

Labda unambie wanapata heshima kama waliokua wanaipata Liverpool.

cc radika[/QUbac

Coutinho kawa Lalana wa Barcelona, mwezako hana uhakika wa namba, mara aingilie sub mara asipangwe kabisa.

Huko alipo roho lazima imuume na ulimbuken wakucheza Barca.
 
Kweli ni usaliti nakumbuka ronaldo aliambiwa ataondoka msimu unaofuata wa 2009/2010 alikubali ina maana angeandoka msimu wa 2008/9 kuchukua uefa ingekuwa vigumu alifunga goli muhimu sana kwetu nimekuelewa.
Hatimae umepata muandishi mzuri umemuelewa nashangaa kuna mi popoma inalazimisha kila mshabiki achangie bila kujua uchangiaji nao ni kipaji.
 
dah umemjibu kifilosophy sanaa ndugu yangu cjui aliwaza nini kuuliza swali kama hilo hivi hajui kwamba kila cku jf inapata member wapya?na kama ikitokea member mpya wa jf amejiunga jf wakati timu iko vizuri ndio aache kushangilia eti kwa vile ataulizwa wakati timu inafanya vibaya ulikuwa wapi

Sent using Jamii Forums mobile app

Nilichogundua Ni kwamba Kuna Watu Wanapima Ushabiki Wa Mtu kwa Kuangalia Tarehe aliyojiunga JF.

Pia wanapima umri Wa Mtu kwa Kuangalia Mwaka Mtu aliojiunga JF.

• Wanaamini Kuwa Wao waliojiunga Kati ya 2006 mpaka 2010 ndiyo walioanza Kupenda Mpira mwanzo na Ndiyo wao Wakubwa Kuliko sisi tuliojiunga Mwaka 2016.

• Kumbe Hawajui Kuwa mwaka 1994 ambao Mwanzilishi Wa JF yupo shule ya Msingi sisi SAA SABA usiku tunakesha Kuwaangalia Nigeria wakicheza World Cup.
Na wakati huo huo tunamshangilia Robbie Fowler akifanya Mambo Yake Liverpool.

MFANO: kwenye Halmashauri ninayoifanyia Kazi Mwaka Niliojariwa Kulikuwa na Jamaa Mmoja ananita DOGO na akawa anajiamini Kuwa yeye Ni Mkubwa kisa tu kaajiriwa Miaka 5 kabla yangu.

Kwahiyo Alijipima kulingana na Muda Wa kuajiriwa na kujikna yeye Ni Mkubwa.

Siku alipokuja kuina Tanzania ID yangu alijishangaa alipojikutia Mwaka aliozaliwa yeye Mimi nasoma Darasa la 3.

Kumbe hakujua Kuwa Kabla ya Kuanza kuajiriwa nilikuwa nikifanya Shughuli gani.

Kwahiyo kujiunga JF Leo haimaanishi Kuwa Mtu kapenda Mpira leo.

Abdallah Natepe Zanzibar Ni Mwanachama Wa Newcastle na Mdau Mkubwa Wa EPL lakini JF Hata hajui kama inaexist.
 
Nilichogundua Ni kwamba Kuna Watu Wanapima Ushabiki Wa Mtu kwa Kuangalia Tarehe aliyojiunga JF.

Pia wanapima umri Wa Mtu kwa Kuangalia Mwaka Mtu aliojiunga JF.

• Wanaamini Kuwa Wao waliojiunga Kati ya 2006 mpaka 2010 ndiyo walioanza Kupenda Mpira mwanzo na Ndiyo wao Wakubwa Kuliko sisi tuliojiunga Mwaka 2016.

• Kumbe Hawajui Kuwa mwaka 1994 ambao Mwanzilishi Wa JF yupo shule ya Msingi sisi SAA SABA usiku tunakesha Kuwaangalia Nigeria wakicheza World Cup.
Na wakati huo huo tunamshangilia Robbie Fowler akifanya Mambo Yake Liverpool.

MFANO: kwenye Halmashauri ninayoifanyia Kazi Mwaka Niliojariwa Kulikuwa na Jamaa Mmoja ananita DOGO na akawa anajiamini Kuwa yeye Ni Mkubwa kisa tu kaajiriwa Miaka 5 kabla yangu.

Kwahiyo Alijipima kulingana na Muda Wa kuajiriwa na kujikna yeye Ni Mkubwa.

Siku alipokuja kuina Tanzania ID yangu alijishangaa alipojikutia Mwaka aliozaliwa yeye Mimi nasoma Darasa la 3.

Kumbe hakujua Kuwa Kabla ya Kuanza kuajiriwa nilikuwa nikifanya Shughuli gani.

Kwahiyo kujiunga JF Leo haimaanishi Kuwa Mtu kapenda Mpira leo.

Abdallah Natepe Zanzibar Ni Mwanachama Wa Newcastle na Mdau Mkubwa Wa EPL lakini JF Hata hajui kama inaexist.
big up sana mkuu nafikiri kwa hilo somo watakuwa wamekupata uzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nataman iwatokee kama ya Owen kaondoka tu tukacheza fainali 2 na kunyanyua kwapa kabsaa ha ha haaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom