Gwamahala Jr
JF-Expert Member
- Aug 26, 2018
- 464
- 780
Yaani kipigo mlichotupatia
Hongereni sana
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaa...
Yaani kipigo mlichotupatia
Hongereni sana
leo kuna mtu atajitupia mwenyewe kambani kwasababu za presha FT: liverpool 1 wolvesampton 3
baiskel la miti
Umesahau na Everton Origi alivyotupia dakika ya mwisho...
GINI was our best player Vs Arsenal
Top performance from him
he deserves a lot of praises kwa ushindi huu.
Dah ile ilitisha sana, pale ndo unaanza kuhisi bahati wanazozipata mabingwa.
Sasa hivi naanza kuwaza tu jinsi timu pinzani zitakavyokuwa zinadili na sisi msimu ujao kama mabingwa watetezi.
Kuna kipind team yetu ilikuwa dhaifu japo inashinda kutokana na Mido flat ya Hendo, Gini & Milner.
Tulilia sana na hatimaye leo hii baada tu ya kufanyika mabadiliko na kuongezwa hawa viumbe Fabhino, Shaqir au Keita, ghafla tumekuwa na transformative ya performance ya hali ya juu.
Kwa mwendo huu sion mtu wa kutusimamisha.
Muhimu inabid tuuze wachezaj type ya Lalana, Origi, strurrige, Moreno, Mignolet then tununue wachezaj wa ukwel ambao watapelekea hata sub zetu kuwa za maana.
Mafano leo tulistahil kushinda beyond goli hata 7, sema subs mbovu za kutolewa Gini na Mane na kuingiza lalana zilitukwamisha kwa kias kikubwa tukapoteana pale kati na mbele hata mashambulizi yakapoa, Arsenal ingekuwa team makin ingeweza walau kurudisha goli hata 2+.
But hatujachelewa, Tutumie vizur dirisha dogo january hii angalau tuongeze wachezaj 3 tu wakutoa backup pale sub inapohitajika.
Hahahahha mjomba una roho ngumuPiga ua, liver haichukui kombe.
Kuna kipind team yetu ilikuwa dhaifu japo inashinda kutokana na Mido flat ya Hendo, Gini & Milner.
Tulilia sana na hatimaye leo hii baada tu ya kufanyika mabadiliko na kuongezwa hawa viumbe Fabhino, Shaqir au Keita, ghafla tumekuwa na transformative ya performance ya hali ya juu.
Kwa mwendo huu sion mtu wa kutusimamisha.