we jamaa una moyoompira ni dk90
Unaandika UPUUZI sanaWatu washatandika 4 huyu mpumbavu aliyeingia sasahivi anajifanya kufundisha 😡
Hivi yeye wa kumfundisha mtu vya kucheza wakati yeye mwenyewe tiamaji tiamaji!! 😀😀
Kweli bhana. Huenda arsenal wakarudisha. matumaini bado yapo tusubilimpira ni dk90
mimi hizi mtu nyingine hazinisumbui kwani najua kuwa hawa ni washabiki wa mkopo wa liverpool ila wewe nakuelewa hasaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wewe ni liverpool halisi kwa heshima yako naandika kwa red ink mkuu,leo nimekubali msimu huu upo vizuri mkuu ila najipanga kwa msimu ujaoUnaandika UPUUZI sana
WW hujui lolote kuhusu soka
Stop ujinga wako!
Naona klopp kaingiwa na roho ya huruma anapunguza idadi ya magoli
labda kombe la ujiPiga ua, liver haichukui kombe.
Ukipata hata moja jingine, chukua heinken nalipawewe
hakuna wakujipiga ban hapa game ni 90min so wait
msimu huu umeniweza mkuu,sasa pambania ubingwa tuVijana wanapambana
Tuzidi waombea tupate matokeo mazuri
So far so good!
Baada ya dakika 90 tushangilie ushindi wetu
kweli
Hahaha hatimaye wanakubali mdogo mdogo..kweli

