DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
basi na kesho mtapigwa magoli 3 ya aina hii,hongera kwa kujua kuwa ARSENAL wana teamwork maana tutaitumia kupeleka kilio hapo anfiel na kuwapigisha ban humu jukwaaniGoli halikufungwa kwa kosa la Beki yeyote yule Wa Liverpool...
Bali limefungwa kwa Team work ya Arsenal ikisaidiw na Jitihada binafsi y Lacazette.
