Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kumbe JK ana mkubali sana JH....nimeshangaa sana!!!
IMG-20181228-WA0003.jpeg
 
Kumbe JK ana mkubali sana JH....nimeshangaa sana!!!View attachment 979283

Ukiisoma hiyo sentence kwa makini ni kama kuna chembe chembe ya maneno ya faraja.

Hakutakiwa kuanza na ...If somebody doesn't see his value...!

Most likely taarifa zimeshamfikia, ndo maana siku hizi anampanga na watu wa kumcover.
 
Kumbe JK ana mkubali sana JH....nimeshangaa sana!!!View attachment 979283

Mkuu kwani Klopp aliwahi kumponda Karius?

Hata baada ya Kutuulisha CL aliendelea kumsimu na kujiandaa kumtumia season hii.

Mkuu Klopp si Mourinho wakuwa Amkatae mchezaji hadharani.

Hata Mignolet aliyegeuka Sanamu la Liverpool basi ukimuuliza Klopp atakwambia "He is a brilliant Player".
 
Ukiisoma hiyo sentence kwa makini ni kama kuna chembe chembe ya maneno ya faraja.

Hakutakiwa kuanza na ...If somebody doesn't see his value...!

Most likely taarifa zimeshamfikia, ndo maana siku hizi anampanga na watu wa kumcover.

Kilichomfanya Hendo kuwa hai mpaka sasahivi ni Kulegalega kwa Keita tu.

Lakini Keita angeperform vizuri basi hendo angelikwishakuwa ballboys kwasasa.

Hata hivyo Aombe Fekir, Ramsey au Rabiot mmoja wapo kati ya hao asijedondokea Liverpool.
 
Mkuu kwani Klopp aliwahi kumponda Karius?

Hata baada ya Kutuulisha CL aliendelea kumsimu na kujiandaa kumtumia season hii.

Mkuu Klopp si Mourinho wakuwa Amkatae mchezaji hadharani.

Hata Mignolet aliyegeuka Sanamu la Liverpool basi ukimuuliza Klopp atakwambia "He is a brilliant Player".
Thank you
 
Kipa huwezi mjudge kwa clean sheet pekee maana sometimes unakuta uzuri wa mabeki ndio unasaidia clean sheet za kipa.... Kipa mzuri mpime kwa Save per goal ratio yaani kwa kila shuti linalolenga goli mangapi kaokoa na mangapi kafungwa.... Angalia reflexes na reactions....anticipations.... Positioning.... Hapo ndio utajua kipa gani bora ila kusema tu clean sheet ni sababu ya Alison unakosea maana ukiangalia zaidi utagundua defence ya Liverpool inaweza pia kuwa imechangia kuleta clean sheet na sio becker as becker

Kwa maoni yangu duniani hakuna kipa kama Oblak ndio kipa mwenye clean sheets nyingi zaidi ambazo sio sababu ya defence ya atletico bali Oblak ana save per goal ratio kubwa zaidi kuliko kipa yeyote yule duniani yaani kwa kila mashuti 6 on target anafungwa moja tu na save percentage yake ni 85% (ya juu zaidi ulaya) ndio maana thamani yake sokoni ni zaidi ya €100 Million ambayo imemzidi Allison kwa mbali sana kwa ufupi Oblak katika mechi 100 za kwanza za Atletico alikuwa kacheza mechi 60 bila kufungwa.... Huyo Alisson anaweza hilo??

Hakuna kama Oblak View attachment 979230

Ulitaka Kipa acheze bila beki? Hata Alison anazuia mashambuliz mengi hatari! Ungekuwa unafatilia mechi kuanzia ile ya Napoli had juz newcastle jamaa kaokoa mipira ya hatar sana ambayo kiuhalsia angekuwa kipa mwingine ni goli.

Kuhusu kuchukuliwa kwa €75 M unadhan thaman yake itakuwa haijapanda bado? Ni kama Salah aliyenunuliwa kwa €30M lakin kwa sasa bila €150 M humgusi.
 
Kilichomfanya Hendo kuwa hai mpaka sasahivi ni Kulegalega kwa Keita tu.

Lakini Keita angeperform vizuri basi hendo angelikwishakuwa ballboys kwasasa.

Hata hivyo Aombe Fekir, Ramsey au Rabiot mmoja wapo kati ya hao asijedondokea Liverpool.

Addition ya mmoja kati ya Fekir/Ramsey/Rabiot itatufanya tuwe hatukamatiki wala kushikika kabisa, itakuwa ni FIRE!
 
Ulitaka Kipa acheze bila beki? Hata Alison anazuia mashambuliz mengi hatari! Ungekuwa unafatilia mechi kuanzia ile ya Napoli had juz newcastle jamaa kaokoa mipira ya hatar sana ambayo kiuhalsia angekuwa kipa mwingine ni goli.

Kuhusu kuchukuliwa kwa €75 M unadhan thaman yake itakuwa haijapanda bado? Ni kama Salah aliyenunuliwa kwa €30M lakin kwa sasa bila €150 M humgusi.
Mkuu ni vizuri kuja na data kama nilivyofanya sio maneno maneno tu ya vijiweni tuipe hadhi JF.....narudia tena hakuna kipa dunia hii kama Jan Oblak kwa takwimu zoteee

Market value ni current trend mkuu ndio inaangaliwa kwamba akiamua kuuzwa wakati huu thamani yake ni Ipi.. ndio sasa nakuelewesha Jan Oblak ana market value kubwa kuliko huyo Becker

Kuhusu kuokoa mashuti narudia tena Save percentage ya Oblak ni 85% huyo Alisson haifiki hata 80% sasa unawalinganishaje mkuu?? Oblak katika mashuti sita ambayo yanaelekea kuwa goli anafungwa moja huyo Alison mashuti 3 yanayoelekea nyavuni moja ni goli sasa unawalinganishaje mkuu?? Save per goal ratio ya Oblak ni kubwa dunia nzima sasa Alison kma ni bora mbona ana save per goal ratio ndogo hivo??

Kingine huyo Oblak kati mechi zake 100 kacheza mechi 60 bila kufungwa hivi kuna kipa gani kawahi fanya hivo katika historia ya soka?? Huko spain Oblak msimu wa 4 huu anaenda beba tuzo ya best goalkeeper huyo Alisson ana tuzo gani ilihali kamzidi umri Oblak??

Narudia tena hakuna kipa kama Oblak duniani kma yupo njoo na takwimu tuzichambue

Cc BlackPanther
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom