Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

huu mwaka utakuwa mchungu sana kwenu maana kitakachokupata kesho unafunga mwaka vibaya na kitakachokupata tar 3 utafungua mwaka vibaya maana hao city kama chui aliyejeruhiwa
 
Kwaiyo akae kimya wakati anaona kocha anafanya vitu vya kikumbavu kabisa.

Unamwachaje nje mtu kama Moreno halafu una mwakikishia namba mchezaji kama Robertson?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli Makocha sometime wanazingua aisee! Kwamfano kama Sarri atamuachaje Fabregas nje halafu amchezeshe mtu kama Kante? Huu kweli ni ujinga anaofanya Sarri.
 
Kwani Katika Mechi ya Mwanzo hapo Emirates beki 2 si alikuwa huyohuyo TAA na Winger alikuwa Aubamyang sasa Mulifunga goli ngapi kupitia upande wake?

Mbona Ni wepesi Wa kusahau nyinyi?

Yeye si ndiye aliyemkaba Auba mpaka Mpira ukamshinda akatolewa bila ya goli la Hata offside?
Ww ndio mwepes wa kusahau, auba hakutolewa kwa kumshindwa huyo dogo, mmesahau maneno yenu hiyo game huyo dogo alizingua? Auba alitolewa kwa ajir ya tactic za mwalimu,

Subir kesho utamkataa hapa hapa

Maana sis arsenal hatuna upande mwingine wa kutengeneza magoli zaid ya huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huu mwaka utakuwa mchungu sana kwenu maana kitakachokupata kesho unafunga mwaka vibaya na kitakachokupata tar 3 utafungua mwaka vibaya maana hao city kama chui aliyejeruhiwa

Yani leo tunakukaribisha kwa Mikono Miwili umalize Posts zako Kabisa humu Coz Mwisho kesho humu wewe kukuona..

Tunasikitika sana kwa wewe kujipiga Ban kesho wakati tumeshakuzoea.
 
Ww ndio mwepes wa kusahau, auba hakutolewa kwa kumshindwa huyo dogo, mmesahau maneno yenu hiyo game huyo dogo alizingua? Auba alitolewa kwa ajir ya tactic za mwalimu,

Subir kesho utamkataa hapa hapa

Maana sis arsenal hatuna upande mwingine wa kutengeneza magoli zaid ya huo

Sent using Jamii Forums mobile app

Hizo tactics za Mwalimu zilikuja baada ya Kuona tactics za Kumtumia Zimeshindikana kwa kushindwa Kufurukuta kwa TAA.

Game ile haikuwa na Rotation wala Hakupata injury.

Kwahiyo hawezi kutolewa ila game ilimshinda.

TAA ni kiboko Wa Auba 😀😀
 
Ni kweli Makocha sometime wanazingua aisee! Kwamfano kama Sarri atamuachaje Fabregas nje halafu amchezeshe mtu kama Kante? Huu kweli ni ujinga anaofanya Sarri.
duuuuuuuuuuuuuuuuhhhhhh ila sawa nimekuelewa nini unamaanisha,maana nilivyosoma mwanzo nikajua mchecheto wa kichapo cha kesho.....ila sio vizuri kuongea kinyumenyume kama king wa rivasi
 
Hizo tactics za Mwalimu zilikuja baada ya Kuona tactics za Kumtumia Zimeshindikana kwa kushindwa Kufurukuta kwa TAA.

Game ile haikuwa na Rotation wala Hakupata injury.

Kwahiyo hawezi kutolewa ila game ilimshinda.

TAA ni kiboko Wa Auba 😀😀
Sikweli , TAA alizingua , mbona nakuonaga mkweli kwann ushindwe kukiri hili,

Na siku zote ndio tunapitiaga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho Former Invincible analiwa na New Invincible teh teh teh teh 😀😀
 
Sikweli , TAA alizingua , mbona nakuonaga mkweli kwann ushindwe kukiri hili,

Na siku zote ndio tunapitiaga

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa kazingua nini? Kavujisha goli au?

Si Auba alikuwa Winga! Mbona hakumruhusu kufunga kama kazingua?

Labda nipe Definition ya Neno "Kazingua" ili tuende sawa.
 
Hizo tactics za Mwalimu zilikuja baada ya Kuona tactics za Kumtumia Zimeshindikana kwa kushindwa Kufurukuta kwa TAA.

Game ile haikuwa na Rotation wala Hakupata injury.

Kwahiyo hawezi kutolewa ila game ilimshinda.

TAA ni kiboko Wa Auba 😀😀
kwahiyo wewe ndio unajua sana kuliko mwalimu?au unatumia tunguli kujua yote hayo mkuu...........acha kuweweseka kipigo chaja AUBA sio level ya hako katrent aseeeeeeh usimuoverrate kijana maana kina IWOBI tu wanamsumbua
 
Kesho Former Invincible analiwa na New Invincible teh teh teh teh 😀😀
hahahahaha ile rekodi itakuja kuvunjwa na GUNNERS wenyewe na sio takataka yoyote hapa ENGLAND......wewe jipe moyo tu😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
s
Sasa kazingua nini? Kavujisha goli au?

Si Auba alikuwa Winga! Mbona hakumruhusu kufunga kama kazingua?

Labda nipe Definition ya Neno "Kazingua" ili tuende sawa.
sasa aliyezingua nani mpaka goli likafungwa?acha kumfananisha AUBA na mambo ya kijinga kama trent
 
hahahahaha ile rekodi itakuja kuvunjwa na GUNNERS wenyewe na sio takataka yoyote hapa ENGLAND......wewe jipe moyo tu😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Ni kweli haitavunjwa na takataka ya London lakini sio England
 
s

sasa aliyezingua nani mpaka goli likafungwa?acha kumfananisha AUBA na mambo ya kijinga kama trent

Goli halikufungwa kwa kosa la Beki yeyote yule Wa Liverpool...

Bali limefungwa kwa Team work ya Arsenal ikisaidiw na Jitihada binafsi y Lacazette.
 
m
Liver mwaka huu isipochukua ubingwa ndio basi tena
isimu mingapi wanasema hivyohivyo hawa tumeshawazoea tundu likitobolewa tu kina fulham watajipigia hatareeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee......sasa hivi wanacheza kwa nguvu zote si unajua wana nguvu ya kutopoteza mchezo ila tukishawatatua kesho tutawachanganya sana na wataona hawana cha kupoteza maana kama tundu lishatobolewa watajipigia sana kina everton
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom